Tundu Lissu akiwa Uganda amemsifia Mwalimu Nyerere lakini ni yeye ndiye aliyemtukana kwenye Bunge la Katiba

Tundu Lissu akiwa Uganda amemsifia Mwalimu Nyerere lakini ni yeye ndiye aliyemtukana kwenye Bunge la Katiba

Mwanasiasa msanii sana huyu, wakati wa bunge la katiba alimkashifu sana Baba wa Taifa, aliwaudhi watu wengi sana kwa kauli zake dhidi ya Mwalimu Nyerere.

Alivyo mnafiki ameonekana kule uganda akitoa mhadhara na akamwelezea vizuri kabisa Mwalimu Nyerere.

Ukiwa mnafiki utotoni ukifikia uzeeni lazima utakuwa mchawi
Huelewi English mbwa wewe.
 
Kwa sababu Wakatoliki wenyewe wana njama mbovu za kumvika utakatifu.

Kwa mantiki hiyo, kuna harakati kubwa ya kumsafisha sana Nyerere hadi atakate, kama ambavyo CDM walimsafisha Lowassa na kumtunuku heshima kubwa ya kupeperusha bendera ya urais.

Wanachofanya wanaanza kumsafisha mabaya yake, kisha wanayasahau, halafu wanamsifia kabla ya kumhusudu na kumwabudu.
Huo upuuzi wa wakatoliki hauta badilisha ukweli kwamba alikua binadamu na alikua anakosea na sio dhambi wala sio kuvunja sheria kusema makosa yake
 
Soma tena alichoandika Bob Manson na majibu nilio yatoa.

Nikuulize, je, ni Tanzania pekee ndio ukimkosoa kiongozi unaambiwa umemtukana?

Anzia hapo ndipo nikujibu.
We umetolea mfano wa US na Trump hapo ndipo napingana na wewe.
Trump si kukosolewa tuu ana tukanwa pia.
Na hakuna anachofanya.


Ungetolea mfano hata wa North Korea nisingekupinga.
 
TAL huwa anaongea, mazuri na mabaya, yote bila kumuogapa mtu yoyote pia hata awe nani ndio navyopendea.?
 
Mwanasiasa msanii sana huyu, wakati wa bunge la katiba alimkashifu sana Baba wa Taifa, aliwaudhi watu wengi sana kwa kauli zake dhidi ya Mwalimu Nyerere.

Alivyo mnafiki ameonekana kule uganda akitoa mhadhara na akamwelezea vizuri kabisa Mwalimu Nyerere.

Ukiwa mnafiki utotoni ukifikia uzeeni lazima utakuwa mchawi
Wala hajamsifia kamsema kwa makosa yake yote na kamsema kwa mema yake
 
Ukisema makosa ya nyerere humtukani bali unathibitisha ubinadamu wake.
Museveni anapambana sana Nyerere apate hadhi ya mtakatifu kitu ambcho ni ndoto.
 
Kwani "ukimtukana" mtu huruhusiwi kumsifia anapositahiri sifa.

Tatizo la watu wenye akili finyu ni kuamini mtu hawezi kuwa na mabaya pamoja na mazuri.

Mwalimu Nyerere Mwenyewe alijikosoa kiasi fulani.
Kuna tofauti kubwa sana kati ya kutukana na kukosoa. Nadhani wewe unayachanganya hayo mawili. Lisu alimtukana mwl Nyerere!
 
“Only stupid people don’t change their minds.”


— Boutros Boutros-Ghali
 
Hujui kiingereza mleta mada, nenda kwa rasi Simba halafu ndipo uje utazame tena video clips za mjadala wa Lisu akiwa Uganda.
 
Back
Top Bottom