Huelewi English mbwa wewe.Mwanasiasa msanii sana huyu, wakati wa bunge la katiba alimkashifu sana Baba wa Taifa, aliwaudhi watu wengi sana kwa kauli zake dhidi ya Mwalimu Nyerere.
Alivyo mnafiki ameonekana kule uganda akitoa mhadhara na akamwelezea vizuri kabisa Mwalimu Nyerere.
Ukiwa mnafiki utotoni ukifikia uzeeni lazima utakuwa mchawi
Huo upuuzi wa wakatoliki hauta badilisha ukweli kwamba alikua binadamu na alikua anakosea na sio dhambi wala sio kuvunja sheria kusema makosa yakeKwa sababu Wakatoliki wenyewe wana njama mbovu za kumvika utakatifu.
Kwa mantiki hiyo, kuna harakati kubwa ya kumsafisha sana Nyerere hadi atakate, kama ambavyo CDM walimsafisha Lowassa na kumtunuku heshima kubwa ya kupeperusha bendera ya urais.
Wanachofanya wanaanza kumsafisha mabaya yake, kisha wanayasahau, halafu wanamsifia kabla ya kumhusudu na kumwabudu.
We umetolea mfano wa US na Trump hapo ndipo napingana na wewe.Soma tena alichoandika Bob Manson na majibu nilio yatoa.
Nikuulize, je, ni Tanzania pekee ndio ukimkosoa kiongozi unaambiwa umemtukana?
Anzia hapo ndipo nikujibu.
Wala hajamsifia kamsema kwa makosa yake yote na kamsema kwa mema yakeMwanasiasa msanii sana huyu, wakati wa bunge la katiba alimkashifu sana Baba wa Taifa, aliwaudhi watu wengi sana kwa kauli zake dhidi ya Mwalimu Nyerere.
Alivyo mnafiki ameonekana kule uganda akitoa mhadhara na akamwelezea vizuri kabisa Mwalimu Nyerere.
Ukiwa mnafiki utotoni ukifikia uzeeni lazima utakuwa mchawi
Kuna tofauti kubwa sana kati ya kutukana na kukosoa. Nadhani wewe unayachanganya hayo mawili. Lisu alimtukana mwl Nyerere!Kwani "ukimtukana" mtu huruhusiwi kumsifia anapositahiri sifa.
Tatizo la watu wenye akili finyu ni kuamini mtu hawezi kuwa na mabaya pamoja na mazuri.
Mwalimu Nyerere Mwenyewe alijikosoa kiasi fulani.