Uchaguzi 2020 Tundu Lissu alakiwa na Maelfu ya Wakazi wa Bunda Mjini, Wajaza fomu za Udhamini

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu alakiwa na Maelfu ya Wakazi wa Bunda Mjini, Wajaza fomu za Udhamini

Hata mwaka 2015 ilikuwa hivi hivi lakini makamanda tulishindwa. je tulikosea wapi??
Tume kaka. Walichokifanya wanajua wenyewe! Kama umeshuhudia uchaguzi wa wazi wa CCM na manguko ya wakubwa, basi ikitokea kila kitu kikawa hadharani mwaka huu basi upinzani wanashinda. Rejea kauli ya Polepole, kwamba kama uchaguzi utakuwa huru na haki, basi CCM ijianda kufungasha virago
 
View attachment 1535001
Kutoka Kushoto: Salum Mwalim Mgombea Mwenza wa Urais wa Tanzania(CHADEMA), Tundu Lissu Mgombea Urais wa Tanzaniana(CHADEMA) Esther Bulaya Mgombea ubunge Jimbo la Bunda Mjini Kupitia CHADEMA
View attachment 1535013
View attachment 1535003View attachment 1535004View attachment 1535005View attachment 1535007View attachment 1535011View attachment 1535008View attachment 1535010

Mgombea Urais wa Chadema Mhe. Tundu Lissu akiwa ameambatana na Mgombea mwenza Mhe. Salum Mwalim wakizungumza na Wananchi wa Jimbo Bunda mjini waliofika kwa ajili ya kumdhamini. Leo Jumatano 12/08/2020.

#NiYeye2020
#SasaBasi #PeoplesPower
#NoHateNoFear
Mwenzao juzi alikuwa kutafuta wazamini Dumila akitembea na wauza mahindi kutoka Dar
 
Watu wanaenda kumshangaa Mtu anayetaka kubadili wimbo wa Taifa kwa manufaa yake. Wakimaliza kumshangaa watarudi tena? Subiri kampeini. Nawaza tu makamanda. Bila vionjo kama hivi uzi haunogi. Ha ha haaa!
Sio tena msaliti wa taifa? Sio rafiki wa mabeberu tena?? Vipi upinzani haujafa tu??
 
Watu wanaenda kumshangaa Mtu anayetaka kubadili wimbo wa Taifa kwa manufaa yake. Wakimaliza kumshangaa watarudi tena? Subiri kampeini. Nawaza tu makamanda. Bila vionjo kama hivi uzi haunogi. Ha ha haaa!
hahahaaaa hahahaaaa hahahaaaaaaaa!
 
Wamesombwa na malori hawa
HS
JamiiForums-1995350078_390x520.jpg
 
Waandishi wanozunguka wanaopata wasaa wa kushuhudia matukio ya mgombea wetu tumie camera nzuri zinazoweza kuchukua tukio kutoka angani pande zote.
 
Wahenga tujikumbushe mafuriko ya chadema 2015

Screenshot_20200812-152033.jpg

Na kauli mbiu ulipotupo😂😂😂😂😂
 
Tuliwaambia hadi kufikia 2020 Chadema itakuwa imekufa,lakini mnabisha.
 
Mwenzao juzi alikuwa kutafuta wazamini Dumila akitembea na wauza mahindi kutoka Dar
🤣 🤣 🤣 hivi unaweza kumuuzia raisi hindi la kuchoma akala hapohapo kwenye gari? Jamaa walitengeneza ile movie
 
Back
Top Bottom