MsemajiUkweli
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 13,171
- 23,996
- Thread starter
- #201
"Aliingia madarakani nchi ikiwa na demokrasia ya kuridhisha"
Nani huyo mwenye jukumu la kupima demokrasia!
Democracy is not a bottle of Coca-Cola which you can import. Democracy should develop according to that particular country”. ~Julius.K.Nyerere.
Nani huyo mwenye jukumu la kupima demokrasia!
Democracy is not a bottle of Coca-Cola which you can import. Democracy should develop according to that particular country”. ~Julius.K.Nyerere.
Aliingia madarakani nchi ikiwa na demokrasia ya kuridhisha, hivi sasa anapanga matokeo yawe vipi akiwa ikulu. Hakukuwa na wakimbizi wa kisiasa, ila sasa hivi wapo. Nchi aliikuta ikiwa na mijadala na midahalo, sasa hivi kawageuza wananchi makondoo wa kuhutubiwa na kushurutishwa kutawaliwa...