Uchaguzi 2020 Tundu Lissu alipongeza jeshi la polisi kwa kutenda haki katika mikutano yake ya kampeni

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu alipongeza jeshi la polisi kwa kutenda haki katika mikutano yake ya kampeni

Hata nzi akiacha ujinga anaweza kutengeneza asali
 
Wanaolichonganisha jeshi LA polis na wapinzani in viongozi was ccm has a wakuu wa mikoa na rais. Amri zisizofuata sheria walipaswa kuzipuuza...
 
Lisu ametepeta, anawaya waya kwa police.
Si alisema OCD watamtupia kwenye karandinga?.
Baadhi ya polis wamejitaidi kufuata sheria kwa kutenda haki.maneno wawaachie wanasiasa wanyukane majukwaani
 
Chadema Wana uadui na taasisi zote hapa nchini,

Anachokisema lisu hakina tofauti na namna anavyoisifia mahakama inapotoa maamuzi yanayoipa faida upande wake ila pale maamuzi yakiwa kinyume cha matarajio yao utasikia jaji au hakimu anafuata maelekezo toka juu.

Huyu jamaa sio wa kumuamini ni mbinafsi na hapo anawapaka mafuta kwa mgongo wa chupa, wakifanya kinyume na matarajio yake utasikia wanafuata maelekezo toka juu.

Hakuna jipya hapo ni muendelezo wa tabia zao za kila siku.
Mara zote unapofanya vizuri unasifiwa na unapofanya hovyo unapondwa, hivi wewe unafikiri yule askari aliyemkamata sugu wakati wa kuchukua fomu alikuwa sahihi?
 
Mgombea urais wa maccm hana tofauti na gari la kubebea mkaa.
Tripu moja shamba kufuata mkaa, Tripu ya pili gereji

Unaposhabikia dhulma miaka 5 na kushabikia watendaji wa dhulma; na ukikalia kimya maiti kuokotwa kwenye viroba, wananchi kutekwa na kupotea, watu kubambikiwa kesi, biashara za watu kufungiwa - basi ujue umekosa uhalali wa kuongelea amani

Wakati muuaji na genge lake wanajulikana
 
Polisi wamechoka kuishi nyumba za bati na zilizoozavbila matumaini ya kuboreshwa

Nao ni watu, huku mtaani wana madeni ya kutosha tunakimbiana tu. Wanahitaji mabadiliko katika familia zao

Lissu 2020#NiYeye#
 
Nilimsikiliza kwenye moja ya kampeni zake akanza kuwachokoza jukwani et anawambia na nyie mtakuwa wastafu na mtapatashida kwenye mafao

Nikajiuliza uyu bwana mdogo why Ni mchokozi kiasi hiki ?anataka nini? na kwa nini anze kuwananga jukwani?,

Lisu Ni mchokozi anayetafuta huruma ya wananchi kwa kila namna ajuayo yeye na genge lake Ni WAKUPUZA KIFUPI
 
Back
Top Bottom