Uchaguzi 2020 Tundu Lissu alipongeza jeshi la polisi kwa kutenda haki katika mikutano yake ya kampeni

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu alipongeza jeshi la polisi kwa kutenda haki katika mikutano yake ya kampeni

Nilimsikiliza kwenye moja ya kampeni zake akanza kuwachokoza jukwani et anawambia na nyie mtakuwa wastafu na mtapatashida kwenye mafao

Nikajiuliza uyu bwana mdogo why Ni mchokozi kiasi hiki ?anataka nini? na kwa nini anze kuwananga jukwani?,

Lisu Ni mchokozi anayetafuta huruma ya wananchi kwa kila namna ajuayo yeye na genge lake Ni WAKUPUZA KIFUPI
Kuna siku nilikasikia eti Kama sema "Magufuli Hana jeshi la kukafanya kasiwe ka Rais"😂😂
Sasa jeshi na kampeni wapi na wapi,au ndo kutafuta sababu za kutaka watu wakuonyeshe uwezo walionao?
 
Kiki ya kukamatwa haipo....

Not a good thing

Viva Magu 2020 to 2030
TL anacheza mind games na vyombo vya Ulinzi na Walimu ambayo ndio wahesabu kura.

Anawaaminisha Polisi kama ana imani nao na yuko nao pamoja ili likija kutokea wawe na 2nd thought.
 
TL anacheza mind games na vyombo vya Ulinzi na Walimu ambayo ndio wahesabu kura.

Anawaaminisha Polisi kama ana imani nao na yuko nao pamoja ili likija kutokea wawe na 2nd thought.
Na wao wanacheza mind games na Lisu na wafuasi wake ........angalia baada ya uchaguzi kupita zile kesi zikiamshwa tena.......jamaa kaingia kwenye mtego na wategaji wanaangalia tu purukushani zake atakapoishia.......inajulikana akichokonolewa sahv anaweza kutumia sababu ya uchaguzi kusema anaonewa acha uchaguzi uishe ndo utaona nani anachezewa mind games
 
Na wao wanacheza mind games na Lisu na wafuasi wake ........angalia baada ya uchaguzi kupita zile kesi zikiamshwa tena.......jamaa kaingia kwenye mtego na wategaji wanaangalia tu purukushani zake atakapoishia.......inajulikana akichokonolewa sahv anaweza kutumia sababu ya uchaguzi kusema anaonewa acha uchaguzi uishe ndo utaona nani anachezewa mind games
By then mangapi atakuwa ameshayasema kuhusu utawala huu?
 
Wanapofanya vizuri wanahaki ya kupongezwa na pale wanavulunda pia ni haki yao kusemwa.
 
Sheria ya jeshi la polisi ikibadirika kuwa huduma.. mbona hawa watu ni wazuri sana.

Police anaongoza magari hadi saa 4 usiku hadi unamwonea huruma.. ukatili wanalazimishwa.

Jeshi la.police linahitaji sheria mpya na liwe huru kwenye kazi zake.
Mgombea urais wa JMT kupitia Chadema Tundu Lisu anasema jeshi la polisi limefanya kazi nzuri katika maeneo yote aliyopita na kufanya kampeni.

Lisu anasema polisi wasisingiziwe kwa lolote kwa sababu wanafanya kazi yao vizuri.

Source Ayo tv.

Maendeleo hayana vyama!
 
TL anacheza mind games na vyombo vya Ulinzi na Walimu ambayo ndio wahesabu kura.

Anawaaminisha Polisi kama ana imani nao na yuko nao pamoja ili likija kutokea wawe na 2nd thought.
Hiyo ndio maana ya kuwa mfariji,sio kufumba macho na masikio hats kwa Mambo ya umuhimu mkubwa.
 
Chadema Wana uadui na taasisi zote hapa nchini,

Anachokisema lisu hakina tofauti na namna anavyoisifia mahakama inapotoa maamuzi yanayoipa faida upande wake ila pale maamuzi yakiwa kinyume cha matarajio yao utasikia jaji au hakimu anafuata maelekezo toka juu.

Huyu jamaa sio wa kumuamini ni mbinafsi na hapo anawapaka mafuta kwa mgongo wa chupa, wakifanya kinyume na matarajio yake utasikia wanafuata maelekezo toka juu.

Hakuna jipya hapo ni muendelezo wa tabia zao za kila siku.
Lisu anaaminika sana,ila wewe ni janga kuu
 
Back
Top Bottom