Uchaguzi 2020 Tundu Lissu alipongeza jeshi la polisi kwa kutenda haki katika mikutano yake ya kampeni

Hata nzi akiacha ujinga anaweza kutengeneza asali
 
Wanaolichonganisha jeshi LA polis na wapinzani in viongozi was ccm has a wakuu wa mikoa na rais. Amri zisizofuata sheria walipaswa kuzipuuza...
 
Lisu ametepeta, anawaya waya kwa police.
Si alisema OCD watamtupia kwenye karandinga?.
Baadhi ya polis wamejitaidi kufuata sheria kwa kutenda haki.maneno wawaachie wanasiasa wanyukane majukwaani
 
Mara zote unapofanya vizuri unasifiwa na unapofanya hovyo unapondwa, hivi wewe unafikiri yule askari aliyemkamata sugu wakati wa kuchukua fomu alikuwa sahihi?
 

Wakati muuaji na genge lake wanajulikana
 
Polisi wamechoka kuishi nyumba za bati na zilizoozavbila matumaini ya kuboreshwa

Nao ni watu, huku mtaani wana madeni ya kutosha tunakimbiana tu. Wanahitaji mabadiliko katika familia zao

Lissu 2020#NiYeye#
 
Nilimsikiliza kwenye moja ya kampeni zake akanza kuwachokoza jukwani et anawambia na nyie mtakuwa wastafu na mtapatashida kwenye mafao

Nikajiuliza uyu bwana mdogo why Ni mchokozi kiasi hiki ?anataka nini? na kwa nini anze kuwananga jukwani?,

Lisu Ni mchokozi anayetafuta huruma ya wananchi kwa kila namna ajuayo yeye na genge lake Ni WAKUPUZA KIFUPI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…