Kuna siku nilikasikia eti Kama sema "Magufuli Hana jeshi la kukafanya kasiwe ka Rais"😂😂Nilimsikiliza kwenye moja ya kampeni zake akanza kuwachokoza jukwani et anawambia na nyie mtakuwa wastafu na mtapatashida kwenye mafao
Nikajiuliza uyu bwana mdogo why Ni mchokozi kiasi hiki ?anataka nini? na kwa nini anze kuwananga jukwani?,
Lisu Ni mchokozi anayetafuta huruma ya wananchi kwa kila namna ajuayo yeye na genge lake Ni WAKUPUZA KIFUPI
Ni sahihi kabisa ingawa pressure kutoka nje huenda ndio sababu.
TL anacheza mind games na vyombo vya Ulinzi na Walimu ambayo ndio wahesabu kura.
Anawaaminisha Polisi kama ana imani nao na yuko nao pamoja ili likija kutokea wawe na 2nd thought.
Kwa hiyo mnataka kubadili katiba?Kiki ya kukamatwa haipo....
Not a good thing
Viva Magu 2020 to 2030
Kwa hiyo mnataka kubadili katiba?
Kwa hiyo mnataka kubadili katiba?
Na wao wanacheza mind games na Lisu na wafuasi wake ........angalia baada ya uchaguzi kupita zile kesi zikiamshwa tena.......jamaa kaingia kwenye mtego na wategaji wanaangalia tu purukushani zake atakapoishia.......inajulikana akichokonolewa sahv anaweza kutumia sababu ya uchaguzi kusema anaonewa acha uchaguzi uishe ndo utaona nani anachezewa mind gamesTL anacheza mind games na vyombo vya Ulinzi na Walimu ambayo ndio wahesabu kura.
Anawaaminisha Polisi kama ana imani nao na yuko nao pamoja ili likija kutokea wawe na 2nd thought.
By then mangapi atakuwa ameshayasema kuhusu utawala huu?Na wao wanacheza mind games na Lisu na wafuasi wake ........angalia baada ya uchaguzi kupita zile kesi zikiamshwa tena.......jamaa kaingia kwenye mtego na wategaji wanaangalia tu purukushani zake atakapoishia.......inajulikana akichokonolewa sahv anaweza kutumia sababu ya uchaguzi kusema anaonewa acha uchaguzi uishe ndo utaona nani anachezewa mind games
Kusema wamesema wengi........ishu ni vitendo....mamlaka yapo kwa yule anaeweza kutenda na si kusema tuBy then mangapi atakuwa ameshayasema kuhusu utawala huu?
Mgombea urais wa JMT kupitia Chadema Tundu Lisu anasema jeshi la polisi limefanya kazi nzuri katika maeneo yote aliyopita na kufanya kampeni.
Lisu anasema polisi wasisingiziwe kwa lolote kwa sababu wanafanya kazi yao vizuri.
Source Ayo tv.
Maendeleo hayana vyama!
Tuliamini jeshi letu japo kwa hiki kilichotajwa.
Hiyo ndio maana ya kuwa mfariji,sio kufumba macho na masikio hats kwa Mambo ya umuhimu mkubwa.TL anacheza mind games na vyombo vya Ulinzi na Walimu ambayo ndio wahesabu kura.
Anawaaminisha Polisi kama ana imani nao na yuko nao pamoja ili likija kutokea wawe na 2nd thought.
Lisu anaaminika sana,ila wewe ni janga kuuChadema Wana uadui na taasisi zote hapa nchini,
Anachokisema lisu hakina tofauti na namna anavyoisifia mahakama inapotoa maamuzi yanayoipa faida upande wake ila pale maamuzi yakiwa kinyume cha matarajio yao utasikia jaji au hakimu anafuata maelekezo toka juu.
Huyu jamaa sio wa kumuamini ni mbinafsi na hapo anawapaka mafuta kwa mgongo wa chupa, wakifanya kinyume na matarajio yake utasikia wanafuata maelekezo toka juu.
Hakuna jipya hapo ni muendelezo wa tabia zao za kila siku.
Makima kama nyie, sisi waelevu tunaishi nao tu🚶.Endelea kusubiri nazi kwenye mpampai.Panya magawa naona umerudi TANZANIA na tuzo.basi tukutane October
TBC pia wametangaza uckHiyo source ya habari sijui kwanini nashindwa kuamini.
TBC pia wametangaza uck