startergear
JF-Expert Member
- Jun 2, 2015
- 1,148
- 1,478
Ulitaka aseme magu ndo alimpiga risasi hajipendi?Pia Mzanzibar alisema hivi.
Uchaguzi 2020 - Samia Suluhu Hassan: Askari wa Serikali ya CCM akipiga mtu risasi 3 akamkosa atawajibika
Mama Samia Suluhu Hassani ambaye ni Mgombea mwenza wa kiti cha Urais kupitia Chama cha Mapinduzi(CCM) amesema kuwa anawaomba wafanye kampeni kwa amani wakipita wawasikilize wala wasigombane nao. Amesema kuwa wapo wagombea watakwenda kuwaambia kuwa walivunjwa miguu na mwingine alimsikia akisema...www.jamiiforums.com
Alikugawia pesa za epa na mgodi wa kiwira?Sawa na hakuna Rais Tanzania ninayemkubali kama Benjamin William Mkapa.
Alitengeneza miundombinu ambayo hapo awali ilikuwa shida.Akafuta kodi ya Kichwa na kodi mbalimbali za Halmashauri ambazo hazikuwa na tija.Ndiyo kipindi Tanzania ilipiga hatua kuliko wakati wowote.Ametuachia uwanja wa Mkapa,Chuo Kikuu Dodoma.Aliboresha shule za Msingi karibia Tanzania nzima.Vijana waliokuwa wamehitimu Form Four,Form Six aliwapa ajira ya Ualimu bila gharama yoyote.Alilipa madeni yote ambayo Serikali ya Mwinyi ilikuwa imekopa.Ni mtu pekee aliyefanya Tanzania iheshimiwe na majirani.Mungu amtunze sehemu nzuri.Alikugawia pesa za epa na mgodi wa kiwira?
Acheni kutafuta kuhurumiwa. Mwacheni Lissu auseme ukweli kuhurumiana ndo kumetufikisha hapa kama taifa.Historia mwalimu mzuri, baada ya Lissu kushambuliwa kwa risasi, kiongozi mkuu wa kitaifa aliyeenda kumpa pole ni mzanzibari, leo anatembea huku na kule akimtukana.
Tundu Lissu alimkimbia mtanganyika mwenzake akaenda kuishi ubeleji, mzanzibari alimfata mpaka ubeleji, akampa passport ambayo watanganyika walikataa kumrudishia.
Watanganyika walimyima fedha ya matibabu wakamfukuza bungeni.
Nashangaa Lissu anajitapa na utanganyika ili apate nini, waasisi wa bara hili na Afrika walitanguliza UTU
Una uhakika gani kama waliomshambulia ni Watanganyika, kwanini wasiwe wazanzibari? 🙁Historia mwalimu mzuri, baada ya Lissu kushambuliwa kwa risasi, kiongozi mkuu wa kitaifa aliyeenda kumpa pole ni mzanzibari, leo anatembea huku na kule akimtukana.
Tundu Lissu alimkimbia mtanganyika mwenzake akaenda kuishi ubeleji, mzanzibari alimfata mpaka ubeleji, akampa passport ambayo watanganyika walikataa kumrudishia.
Watanganyika walimyima fedha ya matibabu wakamfukuza bungeni.
Nashangaa Lissu anajitapa na utanganyika ili apate nini, waasisi wa bara hili na Afrika walitanguliza UTU
Hizi ni akili kisoda kabisa hizi, kwako wewe ukipewa msaada, mambo yote utayoambiwa na mtoa msaada utayatii hata kama yanadharilisha utu wako siyo?Historia mwalimu mzuri, baada ya Lissu kushambuliwa kwa risasi, kiongozi mkuu wa kitaifa aliyeenda kumpa pole ni mzanzibari, leo anatembea huku na kule akimtukana.
Tundu Lissu alimkimbia mtanganyika mwenzake akaenda kuishi ubeleji, mzanzibari alimfata mpaka ubeleji, akampa passport ambayo watanganyika walikataa kumrudishia.
Watanganyika walimyima fedha ya matibabu wakamfukuza bungeni.
Nashangaa Lissu anajitapa na utanganyika ili apate nini, waasisi wa bara hili na Afrika walitanguliza UTU
Kamrudisha? Wapi? hapa ni KENYA? hapa nikwao lazima arudi CCM mmeishiwa hoja...Historia mwalimu mzuri, baada ya Lissu kushambuliwa kwa risasi, kiongozi mkuu wa kitaifa aliyeenda kumpa pole ni mzanzibari, leo anatembea huku na kule akimtukana.
Tundu Lissu alimkimbia mtanganyika mwenzake akaenda kuishi ubeleji, mzanzibari alimfata mpaka ubeleji, akampa passport ambayo watanganyika walikataa kumrudishia.
Watanganyika walimyima fedha ya matibabu wakamfukuza bungeni.
Nashangaa Lissu anajitapa na utanganyika ili apate nini, waasisi wa bara hili na Afrika walitanguliza UTU
Tatizo la watu wasiofikiri kila kitu wanafikiri kibinafsi. Hoja ya Lissu sio kwasababu ya Lissu ni hoja ya taifa nzima. Uraisi wa Samia ni katiba na sheria sio kwamba Samia na Lissu binafsi ni watu wabaya. Kinachoongolewa hapa ni katiba mbaya , upendeleo wa wazi kwa wanzanzibari kuanzia idadi ya wabunge na uongozi. Sheria za zanzibar za kupendelea watu wa zanzibar pekee wakati wenyewe wana haki sawa. Haya ndiyo matatizo sio nani kaenda hospitali nani hakwenda. Bonduki, risasi, hospitali haina maana mtu aunge mkono sheria mbaya kwasababu zake binafsi.
Mnatakiwa kuelewa mambo kwa upana badala ya kuongelea mambo binafsi.
Siasa kama siasa nyingine
Mi na wewe wapi na wapiTumia kichwa kufikiri, sio kubebea kamasi
Mkuu unataka tutukanane?Tofauti kabisa, wewe sawa na jalala
Sasa huyo ndo mwasisi wa maufisadi yote mpaka baba wa taifa alishuka na masikitiko kaburiniAlitengeneza miundombinu ambayo hapo awali ilikuwa shida.Akafuta kodi ya Kichwa na kodi mbalimbali za Halmashauri ambazo hazikuwa na tija.Ndiyo kipindi Tanzania ilipiga hatua kuliko wakati wowote.Ametuachia uwanja wa Mkapa,Chuo Kikuu Dodoma.Aliboresha shule za Msingi karibia Tanzania nzima.Vijana waliokuwa wamehitimu Form Four,Form Six aliwapa ajira ya Ualimu bila gharama yoyote.Alilipa madeni yote ambayo Serikali ya Mwinyi ilikuwa imekopa.Ni mtu pekee aliyefanya Tanzania iheshimiwe na majirani.Mungu amtunze sehemu nzuri.
Ufisadi uliasisiwa na Nyerere pale alipotupa Muungano usio na faida kwetu,pili alizuia tusichimbe madini kitu ambacho kilikuwa haramu kwa wakati huo.Sasa huyo ndo mwasisi wa maufisadi yote mpaka baba wa taifa alishuka na masikitiko kaburini