Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na inawezekana ndiye aliyepanga kumfyatulia risasi Lissu😁😁Mlivyoambiwa Mbowe ni gaidi mlisema anaonewa.
Lissu atakuwa yuko kwenye hatari sana. Naelewa sasa kwanini aliomba ahakikishiwe usalama wake na aliomba ulinzi kwa serikali, sasa sishangai akivaa bullet proof vest.Lissu aongezewe Ulinzi
We jamaa umenifanya niwaze matukio mengi sana ya CHADEMA, ndio maana huyu mtu hawezi kukubali kuachia nafasi ya Uenyekiti.Lissu shikilia hapo hapo.
Mbowe NI mtu hatari Sana.
System ilipomkamata Kwa ugaidi haikuwa Bahati mbaya.
Mbowe ni gaidi na aliachiwa na system sababu ya ujinga wetu kujidai kujua kuliko system.
Lissu ameshakuwa big fish, kumuondoa sasa hivi itakuwa vigumu baada ya kushindwa kwa jaribio la awali.Lissu atakuwa yuko kwenye hatari sana. Naelewa sasa kwanini aliomba ahakikishiwe usalama wake na aliomba ulinzi kwa serikali, sasa sishangai akivaa bullet proof vest.
Sababu ya kumuondoa Kibao inaweza kutumika hiyo hiyo kujaribu kumuondoa Lissu duniani.
Wana mbinu nyingi. Sio lazima direct hit. Kwa Mwendazake kuna rumours kwamba betri ya moyo ilizimwa remotely na some technician with camera, kipaza sauti kiliwekewa Covid.Lissu ameshakuwa big fish, kumuondoa sasa hivi itakuwa vigumu baada ya kushindwa kwa jaribio la awali.
Alivyovaa bullet proof kwa tahadhari, sie tukadhani kiki vile, kumbe jamaa kuna mengi mno yanaendelea nyuma ya pazia!Na inawezekana ndiye aliyepanga kumfyatulia risasi Lissu😁😁
Stori za vijiweni zinaendelea😁Wana mbinu nyingi. Sio lazima direct hit. Kwa Mwendazake kuna rumours kwamba betri ya moyo ilizimwa remotely na some technician with camera, kipaza sauti kiliwekewa Covid.
🤔🤔🤔Kumbe ndio maana maCCM wanachukulia powa sana wananchi kwasababu wanajuwa hatuna kimbilio.
Kuna watu tumekosana na marafiki na Ndugu kwa kumtetetea Mbowe, watu wamepoteza maisha, mali muda na kila kitu kwa kuijenga CHADEMA wakati Mwenyekiti wake akiwa anafanya deal la kula kuuza nchi kwa kushirikiana na CCM.
Hahahaa.Na inawezekana ndiye aliyepanga kumfyatulia risasi Lissu😁😁
🤔 🤔 🤔 💭Na inawezekana ndiye aliyepanga kumfyatulia risasi Lissu😁😁
Watu walihoji hayo tokea 2017!🤔 🤔 🤔 💭
Yericko Nyerere pengine mtu wa Kwanza mwenye kuhisiwa kuhusika na suala la Mzee Kibao ni wewe.
Je huu ndio ujasusi wako?
Tofautisha kati ya kuvujisha siri na kufichua uovu.Dot zinaunganishwa hivi.
Kuvuja au kuanza kwa harakat za fedha za Abdul na mama yake ni lini?
Tangu hapo mjumbe gani Kamati Kuu CHADEMA amefariki?
Mzee Kibao alikuwa mjumbe Kamati Kuu? Maana kifo chake kilikuwa na dalili za mtu aliyeuawa kutokana na kuvujisha "Siri" Fulani
Mzee Kibao aliuawa kukiwa na ishara kwamba alikuwa akiwakimbia watu Fulani aliokosana nao Dar.