Yoso
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 954
- 1,417
Hawa ndio wanufaika na ufisadi ndani ya Chadema kwa jinsi anavyoshupaza shingo kutetea upumbavu.Hautaki na hauupendi ukweli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa ndio wanufaika na ufisadi ndani ya Chadema kwa jinsi anavyoshupaza shingo kutetea upumbavu.Hautaki na hauupendi ukweli?
TAML kazua kasheshe,kazeze,mzozo,kizaazaa na zogo!Hawa ndio wanufaika na ufisadi ndani ya Chadema kwa jinsi anavyoshupaza shingo kutetea upumbavu.
Utakua unaamini kila kitu bila ushahidi?Sasa usipomuamini yeye utamwamini nani? Kama mbowe kakiri hata yeye alitaka kuhongwa na maghufuli Cha ajabu nn
Kuhakikisha kwamba hakuna ushindani utakaomsumbua Mama yake ndani ya utawala wake, unaweza kujiuliza kwa nini yaliwekwa mabango nchi nzima yakimsifia na kumuumbia sifa ?Hiyo yote ili afaidike na nini ?
Na kusikia mengi !Dunia ina mambo,tutaona mengi
Mbowe anamsema Magufuli Kila Siku Bila kuweka Ushaidi lakin husemi kitu kuhusu hilo. Lakin Samia Kaharibu Uchaguzi , Watu wanatekwa na kuuawa lakini Mbowe anasema mama anaupiga mwingi na maridhianao yan maana kubwa kwake,Unaona Lisu alivyompuuzi....... leta vielelezo, si alikuachia? si alikupa ushidi? au alikwambia kwa maneno which is not evidence!
Anataka kuwapakazia walio kufa akijua hawatarudi!
Za kwenye Vijiwe vya Kahawa na kwenye Komon au kwenye Wanzuki ??! 😅😂👏Stori za vijiweni zinaendelea😁
Tukisema chadema ni chama cha wapumbavu muwe mnaelewa, joka linalowaua na kuwateka kila siku mnalo mnalilisha nyie halafu mnakaza mafuvu kuisingizia ccm. Code aliyosema mlopokaji wenu ni mazhombi pekee hawatamuelewa wataendelea ccm ccm ccm ccm.Mgombea Uenyekiti wa Chadema Tundu Lissu amefunguka kupitia Twitter space jinsi alivyokusanya ushahidi wa kutosha kuhusu rushwa ya pesa za Abdul na mama yake kwa viongozi wa Chadema.
Ameeleza kuwa mmoja wa wajumbe wa kamati kuu ya Chama cha CHADEMA aliyempatia ushahidi wa kina kuhusiana na tuhuma hizo na aliyemsaidia kuthibitisha tuhuma hizo mbele ya kamati kuu ya Chama cha CHADEMA kwa sasa ni Marehemu. Hata hivyo Lissu alikataa kumtaja Mjumbe huyo akidai kwamba haitasaidia kitu chochote.
Na alipoulizwa iwapo kifo cha Mzee Ali Kibao kinahusiana na tuhuma za pesa za Abdul aliomba asilizungumzie Hilo kwa sasa.
Ukiunganisha dots unapata hisiaNa alipoulizwa iwapo kifo cha Mzee Ali Kibao kinahusiana na tuhuma za pesa za Abdul aliomba asilizungumzie Hilo kwa sasa.
Na inaonekana wazi sasa hawa CHADEMA wanashirikiana na serikali ya CCM kuwa-eliminate wapinzani wao- rejea kauli ya Dr. Slaa kwamba alilazimishwa kugombea- vinginevyo angeuawa.Nilikuwa nashangaa how come viongozi wa CHADEMA wanakuwa wa kwanza kupata Habari za kutokwa na kuokota kwa miili! Code imefunguka !
Mgombea Uenyekiti wa Chadema Tundu Lissu amefunguka kupitia Twitter space jinsi alivyokusanya ushahidi wa kutosha kuhusu rushwa ya pesa za Abdul na mama yake kwa viongozi wa Chadema.
Ameeleza kuwa mmoja wa wajumbe wa kamati kuu ya Chama cha CHADEMA aliyempatia ushahidi wa kina kuhusiana na tuhuma hizo na aliyemsaidia kuthibitisha tuhuma hizo mbele ya kamati kuu ya Chama cha CHADEMA kwa sasa ni Marehemu. Hata hivyo Lissu alikataa kumtaja Mjumbe huyo akidai kwamba haitasaidia kitu chochote.
Na alipoulizwa iwapo kifo cha Mzee Ali Kibao kinahusiana na tuhuma za pesa za Abdul aliomba asilizungumzie Hilo kwa sasa.
Ukisikia mtu anatuhumiwa kwa uropokaji basi huyo mtu ni mkweli. Ingekua sio kweli wangemtuhumu ni muongo.Kumbe ndiyo maana kuna watu, hata humu JF wamevimba midomo, macho, masikio hadi pua; na vidole kujipinda kwa kubonyeza 'keyboard' wakimlaumu Tundu Lissu kwa wanaouita wao "uropokaji". Kumbe wanajuwa mabomu aliyo nayo Tundu Lissu na wanayo hofu kubwa kuwa atayalipua!
Uovu wa aina hii nao uwe ni sehemu ya kuwekeana siri viongozi?
Hovyo kabisa.
Ngoja tusikie ukweli zaidi.Kumbe ndiyo maana kuna watu, hata humu JF wamevimba midomo, macho, masikio hadi pua; na vidole kujipinda kwa kubonyeza 'keyboard' wakimlaumu Tundu Lissu kwa wanaouita wao "uropokaji". Kumbe wanajuwa mabomu aliyo nayo Tundu Lissu na wanayo hofu kubwa kuwa atayalipua!
Uovu wa aina hii nao uwe ni sehemu ya kuwekeana siri viongozi?
Hovyo kabisa.
Na Mbowe aliwaweza akisikia minong'ono anasema tu pipoooz wanajibu pawaa kila mtu anapotea...CHADEMA walipoteza credibility waliposimama na Lowassa kugombea Urais, mtu ambaye walitumia nguvu nyingi kumuita fisadi...hakuna majibu yoyote yaliyotoa huo mkanganyiko zaidi ya misemo ya kihuni sijui kubadili gia anganiWatu walihoji hayo tokea 2017!
Ila ilikuwa ukihoji, unaishia kuitwa Mataga.
These people are dumb.