Tundu Lissu: Aliyenipa ushahidi wa pesa za Abdul na mama yake kwa sasa ni marehemu

Tundu Lissu: Aliyenipa ushahidi wa pesa za Abdul na mama yake kwa sasa ni marehemu

Mgombea Uenyekiti wa Chadema Tundu Lissu amefunguka kupitia Twitter space jinsi alivyokusanya ushahidi wa kutosha kuhusu rushwa ya pesa za Abdul na mama yake kwa viongozi wa Chadema.

Ameeleza kuwa mmoja wa wajumbe wa kamati kuu ya Chama cha CHADEMA aliyempatia ushahidi wa kina kuhusiana na tuhuma hizo na aliyemsaidia kuthibitisha tuhuma hizo mbele ya kamati kuu ya Chama cha CHADEMA kwa sasa ni Marehemu. Hata hivyo Lissu alikataa kumtaja Mjumbe huyo akidai kwamba haitasaidia kitu chochote.

Na alipoulizwa iwapo kifo cha Mzee Ali Kibao kinahusiana na tuhuma za pesa za Abdul aliomba asilizungumzie Hilo kwa sasa.
Mbowe na Lissu nitawachapa viboko ,wameniumiza sana moyo wangu ,najuta kukipenda chama ichi , ila sihami tutabanana hum hum
 
Mgombea Uenyekiti wa Chadema Tundu Lissu amefunguka kupitia Twitter space jinsi alivyokusanya ushahidi wa kutosha kuhusu rushwa ya pesa za Abdul na mama yake kwa viongozi wa Chadema.

Ameeleza kuwa mmoja wa wajumbe wa kamati kuu ya Chama cha CHADEMA aliyempatia ushahidi wa kina kuhusiana na tuhuma hizo na aliyemsaidia kuthibitisha tuhuma hizo mbele ya kamati kuu ya Chama cha CHADEMA kwa sasa ni Marehemu. Hata hivyo Lissu alikataa kumtaja Mjumbe huyo akidai kwamba haitasaidia kitu chochote.

Na alipoulizwa iwapo kifo cha Mzee Ali Kibao kinahusiana na tuhuma za pesa za Abdul aliomba asilizungumzie Hilo kwa sasa.
Keshamtàja kuwa ni Ally Kibao, ndo maana wakaamua kumuua.
Mbowe mtu mbàya sana.
 
wapi kasema Samia anaupiga mwingi? Unajua kama siyo "maridhiano" hata mikutano ya vyama ingelikuwa bado imefungiwa? Kesi 400 plus zingelikuwa bado mahakamani, etc etc. Sema kuwa huo ni mwanzo.... bado mengi ya kufaya kuleta utawala bora, katiba mpya tume huru y uchaguzi etc etc.

NIKUULIZE: Lisu atamlazimishaje samia alete katiba mpya? Tume huru ya uchaguzi? naomba jibu. kwanini hajafanya leo na jana, mpaka awe mwenyekiti?


Kwani CHADEMA ilipokuwa na Wabunge 147 na madiwani zaidi ya 1,000 kulikuwa na Katiba Mpya?

Vijana wa Mbowe hopeless kabisa
 
Dot zinaunganishwa hivi.

Kuvuja au kuanza kwa harakat za fedha za Abdul na mama yake ni lini?

Tangu hapo mjumbe gani Kamati Kuu CHADEMA amefariki?

Mzee Kibao alikuwa mjumbe Kamati Kuu? Maana kifo chake kilikuwa na dalili za mtu aliyeuawa kutokana na kuvujisha "Siri" Fulani

Mzee Kibao aliuawa kukiwa na ishara kwamba alikuwa akiwakimbia watu Fulani aliokosana nao Dar.
Washasema Kibao alikuwa kamati kuu.
 
Mimi nilishtuka nilipo sikia habari za mtu aliyempa Lissu hizo info ni marehemu na kwamba alikuwa mjumbe wa kamati kuu

Nikajiuliza huyo mtu ni nani na alikufa kifo cha aina gani?

Mambo ya Abdul na Wenje na rushwa zao ni swala la hivi karibuni tu, Aliyefariki karibuni ambaye ni mjumbe bila shaka ni Mzee Ali Kibao

Kwa mazingira haya sio chadema wala serikali watatoka kwenye kashfa ya kifo cha Kibao, hii inaelekea ni joint operation kati ya serikali na baadhi ya watu chadema

Halafu ndio maana pia mama yenu aling'aka aliposkia kifo cha Kibao na kuishia kusema kwa hasira kifo ni kifo tu wamekufa wangapi mnahangaika na Kibao?

Huenda siri alizokuwa nazo Kibao zina implicate familia yake ndio maana akawa kama katiwa pilipili

Muda ni mwalimu mzuri, Tusubirie
 
Ina maana mstaafu wa inteligence ya kijeshi Mzee kibao aliuawa akihojiwa aliekua anampa siri za ndani za Abdul na ikulu Kwa ujumla!!?

Kuna mahali nilisoma eti mkubwa alitaka wamharass TU ili wajue siri hizo na sio kumuua kabisa!!

Tunaanza ku connect dots!Sasa je wanainteligence ya kijeshi waliopo Sasa watakubali!!?

Hawatolipa kisasi!!?je na viongozi wa ccm hasa uvccm ambao wamekutwa wamekufa ni kisasi au Kuna genge la wahuni !!?

Naendelea kujiuliza Kwa uvumilivu huku nikiimba kama wengine waimbavyo eti"mama Hadi 2035!!
 
Itoshe tu kusema Mbowe ni gaidi. Wale vijana wapiga miluzi ya CHADEMA hasa wa mitandaoni hasa hapa JF sasa mnaanza kuelewa kuwa adui mnaye ndani na ni mkubwa sana.

Ukiona mbowe amekunja lile jicho anawa zoom kwa mbaaali kichwani mle kuna siri nyingi za hatari.
 
Tukisema chadema ni chama cha wapumbavu muwe mnaelewa, joka linalowaua na kuwateka kila siku mnalo mnalilisha nyie halafu mnakaza mafuvu kuisingizia ccm. Code aliyosema mlopokaji wenu ni mazhombi pekee hawatamuelewa wataendelea ccm ccm ccm ccm.
Wewe huna macho ya kuona ndani na kusoma hata alama ...
Wewe umekalia vyama vya siasa...
Unashindwa kuona code ya wahusika...
Unashindwa kuona kwamba Ally Kibao katoa code inayoharibu picha ya Boss kubwaaa ...na Kuna uwezekano ikawa technical mistake kwakwe ...
Wewe unakimbilia sijui CDM ...

Hivi wewe kwa akili Yako lile tukio la TEGETA linaweza kufanywa na vyama vya siasa ?
 
wapi kasema Samia anaupiga mwingi? Unajua kama siyo "maridhiano" hata mikutano ya vyama ingelikuwa bado imefungiwa? Kesi 400 plus zingelikuwa bado mahakamani, etc etc. Sema kuwa huo ni mwanzo.... bado mengi ya kufaya kuleta utawala bora, katiba mpya tume huru y uchaguzi etc etc.

NIKUULIZE: Lisu atamlazimishaje samia alete katiba mpya? Tume huru ya uchaguzi? naomba jibu. kwanini hajafanya leo na jana, mpaka awe mwenyekiti?
Utatetea sana lakin utaishia kuugua presha bro! Kubali tu kuwa Mbowe ndo anaiua CHADEMA na watu wake. Yule mwamba ana siri nyingi sana ila kuna watu mna mahaba naye kuliko hata Lilian
 
Kumbe ndiyo maana kuna watu, hata humu JF wamevimba midomo, macho, masikio hadi pua; na vidole kujipinda kwa kubonyeza 'keyboard' wakimlaumu Tundu Lissu kwa wanaouita wao "uropokaji".

Kumbe wanajua mabomu aliyo nayo Tundu Lissu na wanayo hofu kubwa kuwa atayalipua!

Uovu wa aina hii nao uwe ni sehemu ya kuwekeana siri viongozi?

Hovyo kabisa.
Ningelipenda 'TALL' amwage ugali kabisa ili kila raia amege matonge kwa kadri anavyotaka.

Aina hii ya ulishi wa kutulisha matonge kidogo kidogo huku akipulizia, hatuwezi kushiba haraka.

Tuna njaa sana sisi bhana.
 
Mtu kama Mzee Kibao hawezi kuuwawa bila sababu ya msingi.

Ukiaangalia jinsi Mwenyekiti alivyowanyamazisha wanachama, Mama Abdul aliposema kwa dharau kifo ni kifo tu, Mama Abdul alitoa ahadi uchunguzi wa haraka utafanyika, hadi leo kimya.

Inaonekana Kibao alikataa rushwa ya Abdul na aliwajua wote walipokea rushwa, labda alitishia kuwa-expose, kwahiyo order ikatolewa kwa namna yoyote awe liquidated ili iwe onyo kwa wengine. Ndio maana ya kutekwa, kuteswa na kuuaawa mchana kweupe.
Naomba uje Central tuyafile haya uliyoandika hapa Mkuu! Ukifika tu central ulizia Busumabu.
 
Wewe huna macho ya kuona ndani na kusoma hata alama ...
Wewe umekalia vyama vya siasa...
Unashindwa kuona code ya wahusika...
Unashindwa kuona kwamba Ally Kibao katoa code inayoharibu picha ya Boss kubwaaa ...na Kuna uwezekano ikawa technical mistake kwakwe ...
Wewe unakimbilia sijui CDM ...

Hivi wewe kwa akili Yako lile tukio la TEGETA linaweza kufanywa na vyama vya siasa ?
Mkuu umewaza kwa kutulia na umetufungia mada hii.
 
Ukitaka akili yako ijione haina akili basi kuwa mfuasi wa siasa za Afrika...
💯%.

Leo hii wameanza kuchenjiana wao kwa wao huku wengine wakidondosha vidokezo kuwa Mbowe anahusika moja kwa moja na baadhi ya matukio.

Ipo siku watamuomba radhi Magufuli na Pengine hata kumpigia kampeni kwa Papa ili apate utakatifu.
 
ule mwamba ana siri nyingi sana ila kuna watu mna mahaba naye kuliko hata Lilian
evidence, evidence, evidence...... anatoa revelations tu bila ushahidi.. kama akina Mbowe wangelikuwa kama yeye, wangelibwatuka tu na kumvika uongo kama anavyofanya yeye........

Fine sasa anashindwa nini kumuondoa Samia madarakani, kinamzuia nini ambacho atakipata kwenye uenyekiti?
 
Back
Top Bottom