Laki Si Pesa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2018
- 5,085
- 9,022
Hicho kiherehere chako kitakuponza !We jamaa umenifanya niwaze matukio mengi sana ya CHADEMA, ndio maana huyu mtu hawezi kukubali kuachia nafasi ya Uenyekiti.
Mbowe ana mengi ya kuyalinda nje ya maslahi ya kifedha tuliyodhani na kuyapa kipaumbele.