Mnakuwa wajinga hadi mnakera. Kwanini analilia kupanda kitu ambacho kwa maneno yake hakina maana kwa watu.Kwani kimenunuliwa kwa kodi nani siyo ya wananchi ukweli utasemwa tena Nyerere ndiye alisema huwezi kujenga barabara au majumba ukasema hayo ni maendeleo sasa hivi tuadhimishe siku ya Nyerere kwa kukataa kauli yake hiyo kwakuwa tunaunga juhudi. Mi siwezi tafsiri ya maendeleo itabakia vile vile
Hapo hata CCM wasio na hatia leo hawavuki Ukerewe [emoji16][emoji16][emoji16]Anataka nini na vitu, si aogelee. Kivuko ni maendeleo ya vitu. Mnakuwa wapumbavu hadi mnapitiliza!
Mkuu kama chechefu inageuka kuwa ni chefuchefu, nahisi una kichefuchefu kwa sababu ya uchefuchefu unaoupata kutokana na nondo na spana za Tundu Lissu.Lissu ni mtu wa hovyo na domo lake halina breki.. Hafai hata kuwa konda wa dala dala.. Ana mitusi kuliko fundi umeme wa Tanesco.
He has no respect for any one big or small.. Kama anathubutu kumvunjia heshima kiongozi wa nchi kwa kumwita mshamba, je? Ataweza kumuheshimu nani mwingine!
Oooh, kumbe alikaribishwa Mwitongo!Unajifanya wewe ndugu sana wa Nyerere kuliko akina Madaraka na mama yao waliomkaribisha Lisssu na timu yake kulala Mwitongo hivi karibuni? Unaongea pumba tu. Nyerere mwenyewe hakutaka kuabudowa. Alisema viongozi lazima wakubali kukosolewa na kujikosoa. Wewe ni nani mpaka uone dhambi Nyerere kukosolewa?
Zitto ndie alianzaLissu ni mtu wa hovyo na domo lake halina breki.. Hafai hata kuwa konda wa dala dala.. Ana mitusi kuliko fundi umeme wa Tanesco.
He has no respect for any one big or small.. Kama anathubutu kumvunjia heshima kiongozi wa nchi kwa kumwita mshamba, je? Ataweza kumuheshimu nani mwingine!
Umewasikia wamelalamika. Mnampa chizi ndiyo aongoze chama kuwania Offisi kubwa na nyeti, mna Akili nyie!Hapo hata CCM wasio na hatia leo hawavuki Ukerewe [emoji16][emoji16][emoji16]
Tumia ndimu kwa wingi pengine utapata ladha tamu wazipatazo mamilioni ya Watanzania wenye kumuunga mkono zilizopo ktk hoja zake mujarabu.Lissu kachanganyikiwa sana.
Ukijua maana ya ushamba wala hupati tabu .tatizo na wewe ni mshamba vile vile!Lissu ni mtu wa hovyo na domo lake halina breki.. Hafai hata kuwa konda wa dala dala.. Ana mitusi kuliko fundi umeme wa Tanesco.
He has no respect for any one big or small.. Kama anathubutu kumvunjia heshima kiongozi wa nchi kwa kumwita mshamba, je? Ataweza kumuheshimu nani mwingine!
Na za kuzomewa mtuletee sio za kushangiliwa tuAma kwa hakika kama CHADEMA kwenye uchaguzi huu wangemsimamisha mtu legelege basi cha moto wangekiona. Huyu jamaa anapambana kwelikweli!
View attachment 1599690
Na ziwani humo humo anasalimiana na wavuvi
View attachment 1599699
HAPA CHINI NI VIDEO AKIPOKELEWA UKEREWE BAADA YA KUFIKA SALAMA AKITUMIA MTUMBWI
View attachment 1599732
mbona hilo daraja haliendi huko alipoendaNdo aelewe kwa vitendo umuhimu wa daraja la Kigongo-Busisi.
Angepiga mbizi kabisa kuonesha maendeleo ya vitu hayana maana.
Mbona kama umepanic?Umewasikia wamelalamika. Mnampa chizi ndiyo aongoze chama kuwania Offisi kubwa na nyeti, mna Akili nyie!
Mshamba huku anataka kutumia alivyovibuni huyo huyo mshamba, kisa ati Kodi ya wananchi utafikiri ndio wameanza kulipa awamu hii.Lissu ni mtu wa hovyo na domo lake halina breki.. Hafai hata kuwa konda wa dala dala.. Ana mitusi kuliko fundi umeme wa Tanesco.
He has no respect for any one big or small.. Kama anathubutu kumvunjia heshima kiongozi wa nchi kwa kumwita mshamba, je? Ataweza kumuheshimu nani mwingine!
Zaidi yule bwana ni kichaaaHivi kuitwa jina lako au ulivyo ni matusi? Jee sio mshamba kweli?
Hivi kweli unawakusanya watu unawaambia Vitambulisho vya wajasiriamali ukienda CRDB au STANBIC Bank unapewa mkopo ni nini kama sio uongo wa kishamba kabisa?
Na ushamba sio tusi bwana! Kama ilivyo Kilaza, bwege nk
kweli kachanganyikiwa, kawa ka Magu anataka Sugu amsugueLissu kachanganyikiwa sana.
Anataka nini na vitu, si aogelee. Kivuko ni maendeleo ya vitu. Mnakuwa wapumbavu hadi mnapitiliza!
Umepanic wewe budha ndio maana umetoka ulikotoka na kuvamia comment yangu! Dawa imekuingia kwa ufupi, angalia kwenye uzi huu ni comment ngapi umecomment halafu jiulize kwanini umekoment yanguMbona kama umepanic?
Wamelalamika sana.