Uchaguzi 2020 Tundu Lissu amelazimika kuvuka kwa Mtumbwi kuelekea Ukerewe baada ya kuambiwa kuwa kivuko ni kibovu

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu amelazimika kuvuka kwa Mtumbwi kuelekea Ukerewe baada ya kuambiwa kuwa kivuko ni kibovu

Lissu ni mtu wa hovyo na domo lake halina breki.. Hafai hata kuwa konda wa dala dala.. Ana mitusi kuliko fundi umeme wa Tanesco.
He has no respect for any one big or small.. Kama anathubutu kumvunjia heshima kiongozi wa nchi kwa kumwita mshamba, je? Ataweza kumuheshimu nani mwingine!
Kwani si mshamba?
 
Yote hayo yanadhihirisha uonevu unaosemwa na ubaguzi ndani ya taifa letu.Nakuongeza Kura upande was wapenda haki.
Sio yeye aliekuwa anasema kuwa haoni faida ya vivuko vinavyonunuliwa na kufanyiwa ukarabati,huku akijinasibu kuwa hayo ni maendeleo ya vitu? Yeye angepiga mbizi tu.
 
Lissu ni mtu wa hovyo na domo lake halina breki.. Hafai hata kuwa konda wa dala dala.. Ana mitusi kuliko fundi umeme wa Tanesco.
He has no respect for any one big or small.. Kama anathubutu kumvunjia heshima kiongozi wa nchi kwa kumwita mshamba, je? Ataweza kumuheshimu nani mwingine!
Kwan ushamba ni tusi??
 
Lissu ni mtu wa hovyo na domo lake halina breki.. Hafai hata kuwa konda wa dala dala.. Ana mitusi kuliko fundi umeme wa Tanesco.
He has no respect for any one big or small.. Kama anathubutu kumvunjia heshima kiongozi wa nchi kwa kumwita mshamba, je? Ataweza kumuheshimu nani mwingine!
"M - shamba" maana yake nini kwani?

Hata wewe ni "m - shamba" tu kwa sababu umezaliwa na kukulia shamba na wazazi wako ni "wa - shamba" vilevile..

Sasa kama hili ni tusi, basi uelewa wako ni lazima uwe questioned..!
 
Lissu ni mtu wa hovyo na domo lake halina breki.. Hafai hata kuwa konda wa dala dala.. Ana mitusi kuliko fundi umeme wa Tanesco.
He has no respect for any one big or small.. Kama anathubutu kumvunjia heshima kiongozi wa nchi kwa kumwita mshamba, je? Ataweza kumuheshimu nani mwingine!
Sasa kama mshamba kwanini asiambiwe..mwambieni aache ushamba.
 
Lissu ni mtu wa hovyo na domo lake halina breki.. Hafai hata kuwa konda wa dala dala.. Ana mitusi kuliko fundi umeme wa Tanesco.
He has no respect for any one big or small.. Kama anathubutu kumvunjia heshima kiongozi wa nchi kwa kumwita mshamba, je? Ataweza kumuheshimu nani mwingine!
Huyo ni mshamba
Na kuitwa mshamba sio tusi..
Ukienda nchi zingine Wakullma wakubwa wanapenda kuitwa farm boy au farm girl
Matusi ni kama kudhalilishwa wanawake weusi
Hivi kweli umrwahi kusikia kiongozi yeyote anadharau Akina Mama?
 
Aogelee na Hilo tumbo tuone Kama atatoboa. Oooh tunataka maendeleo ya watu, Magufuli kaleta maendeleo ya vitu. Sasa Hilo li feli anataka la nini, apige mbizi
Kwani kakifanya yeye?
 
Akome si amendeleo ya vitu haya ngoja apande mtumbwi.
 
Una ona ulivyo mjinga, kila alichojenga Magufuli ni Maendeleo ya vitu, hizo barabara, Zahanati, vituo vya afya, Hospitality za Wilaya madaraja haviwagusi watu. Acheni ujinga na muache kuwaona Watanzania wajinga.
Subirini tarehe 28/10/2020 raia watawapa salaam za Kama ni maendeleo ya watu au laa!
Hujataja ndege na tija ndogo kiuchumi za sgr na stiglers gorge..miradi ambayo ina athari kubwa hasi kwa maisha ya watu
 
Mara paap!! Mtumbwi unazama😂

Utasikia MtumbwiCCM.

Lakini inshaalah atafika salama.
 
  • Kicheko
Reactions: UCD
Lissu ni mtu wa hovyo na domo lake halina breki.. Hafai hata kuwa konda wa dala dala.. Ana mitusi kuliko fundi umeme wa Tanesco.
He has no respect for any one big or small.. Kama anathubutu kumvunjia heshima kiongozi wa nchi kwa kumwita mshamba, je? Ataweza kumuheshimu nani mwingine!
Bora yule anayemtafutia mamake mabwana
 
Lissu ni mtu wa hovyo na domo lake halina breki.. Hafai hata kuwa konda wa dala dala.. Ana mitusi kuliko fundi umeme wa Tanesco.
He has no respect for any one big or small.. Kama anathubutu kumvunjia heshima kiongozi wa nchi kwa kumwita mshamba, je? Ataweza kumuheshimu nani mwingine!

Zitto ndiye aliyevujisha hiyo siri ya ushamba. Lissu kadandia tu “kama kawaida yake”[emoji23]
 
Back
Top Bottom