Uchaguzi 2020 Tundu Lissu amelazimika kuvuka kwa Mtumbwi kuelekea Ukerewe baada ya kuambiwa kuwa kivuko ni kibovu

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu amelazimika kuvuka kwa Mtumbwi kuelekea Ukerewe baada ya kuambiwa kuwa kivuko ni kibovu

Mamba wa ukara hawakupewa signal wazame naye.

Angetafunwa vikabaki vidole viwili tu kwa ajili ya kuwekwa makumbusho
 
Adui wa mwafrika ni mwafrika mwenzake, mambo mengine ni kutia watu gadhabu tu!
Gadhabu ya nini sasa??!! wakati Chadema wameshasema maendeleo ya vitu hayana maana!! Hayo ndiyo matokeo yake unafikiri wafanyakazi wa vyombo hivyo wanajisikiaje wakimsikia akisema hataki maendeleo ya vitu wakati wao wanapata mishahara kupitia vitu/vyombo hivyo!!?
 
Aogelee na Hilo tumbo tuone Kama atatoboa. Oooh tunataka maendeleo ya watu, Magufuli kaleta maendeleo ya vitu. Sasa Hilo li feli anataka la nini, apige mbizi
Tayari yupo ukerewe, leo lazima uhare
FB_IMG_1602667019023.jpg
 
Huyo ni mgombea mwenzie. Hata Nape na Kinana wanajua ni mshamba na walisema hivyo. Kama unamwona kiongozi wako mkaribishe nyumbani unywe naye chai. Hujuma zenu za kigaidi zinamwongezea TL umaarufu.
Lissu ni mtu wa hovyo na domo lake halina breki.. Hafai hata kuwa konda wa dala dala.. Ana mitusi kuliko fundi umeme wa Tanesco.
He has no respect for any one big or small.. Kama anathubutu kumvunjia heshima kiongozi wa nchi kwa kumwita mshamba, je? Ataweza kumuheshimu nani mwingine!
 
Lissu ni mtu wa hovyo na domo lake halina breki.. Hafai hata kuwa konda wa dala dala.. Ana mitusi kuliko fundi umeme wa Tanesco.
He has no respect for any one big or small.. Kama anathubutu kumvunjia heshima kiongozi wa nchi kwa kumwita mshamba, je? Ataweza kumuheshimu nani mwingine!
Mimi nilimuona Bwege mtozeni alivyo kuwa ana mponda Mwl, mpaka nikawa nawaza huyu mtu ana wazazi kweli? Ingawa kuna mchangiaji moja aliandika kwamba aliomba Radhi/msamaha kwa hilo
 
Lissu ni mtu wa hovyo na domo lake halina breki.. Hafai hata kuwa konda wa dala dala.. Ana mitusi kuliko fundi umeme wa Tanesco.
He has no respect for any one big or small.. Kama anathubutu kumvunjia heshima kiongozi wa nchi kwa kumwita mshamba, je? Ataweza kumuheshimu nani mwingine!
All people are equal before the law the president is only give the mandate by the commoners......kwahiyo kama nimshamba lazima wanachi walio mchaguwa wajue, jambo ambalo ni la ukweli JPM nilimbukeni wakupindukia
 
Katumia mtumbwi na yuko Ukerewe. Ferry zilikuwepo kati ya Nansio na Kisorya hata kabla Magufuli hajazaliwa. Usidanganye watu. Danganya watoto wako unaowalisha.
Aogelee na Hilo tumbo tuone Kama atatoboa. Oooh tunataka maendeleo ya watu, Magufuli kaleta maendeleo ya vitu. Sasa Hilo li feli anataka la nini, apige mbizi
 
Tayari yupo ukerewe, leo lazima uhare View attachment 1599784
Ni hare na nini kwa sababu ya huyu jamaa. Huyu ni chizi Kama machizi wengine tu. Kushabikiwa Wala siyo issue. Hata Pierry Liquid Kuna kipindi watu walikuwa wanamshabikia. Dudu Baya ana mashabiki hata yule Mchomvu wa XXl ya Clouds ana mashabiki. Usishangae
 
Ama kwa hakika kama Chadema kwenye uchaguzi huu wangemsimamisha mtu legelege basi cha moto wangekiona. Huyu jamaa anapambana kwelikweli!
View attachment 1599690

Na ziwani humo humo anasalimiana na wavuvi
View attachment 1599699


HAPA CHINI NI VIDEO AKIPOKELEWA UKEREWE BAADA YA KUFIKA SALAMA AKITUMIA MTUMBWI
View attachment 1599732
Natamani awahutubie wanaukerewe akiwa kwenye mtumbwi ili maandiko yarudie kutimia ktk hichi kizazi cheti. HABARI NJEMA YA UKOMBOZI LAZIMA IWAFIKIE WATANZANIA WOTE
 
Lissu ni mtu wa hovyo na domo lake halina breki.. Hafai hata kuwa konda wa dala dala.. Ana mitusi kuliko fundi umeme wa Tanesco.
He has no respect for any one big or small.. Kama anathubutu kumvunjia heshima kiongozi wa nchi kwa kumwita mshamba, je? Ataweza kumuheshimu nani mwingine!
Ushamba sio tusi wewe..


Acha ushamba!
 
Murutunguru, Ukerewe
Tanzania

Kamanda Sijaona Karoli Mgombe ubunge kupitia tiketi ya CHADEMA Uchaguzi Mkuu 2020 aelezea vibaumbele vya wanaUkerewe wakati akipita kuomba ridhaa ya kura za wananchi

 
Back
Top Bottom