Uchaguzi 2020 Tundu Lissu amelazimika kuvuka kwa Mtumbwi kuelekea Ukerewe baada ya kuambiwa kuwa kivuko ni kibovu

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu amelazimika kuvuka kwa Mtumbwi kuelekea Ukerewe baada ya kuambiwa kuwa kivuko ni kibovu

Attachments

  • Screenshot_20201006_123555.jpg
    Screenshot_20201006_123555.jpg
    96.1 KB · Views: 2
  • Screenshot_20201001_213102.jpg
    Screenshot_20201001_213102.jpg
    91.1 KB · Views: 2
  • FB_IMG_1601975787508.jpg
    FB_IMG_1601975787508.jpg
    101.3 KB · Views: 2
  • IMG_20201011_214103.jpg
    IMG_20201011_214103.jpg
    44.4 KB · Views: 2
huyo kiongozi wa nchi anastahili heshima gani kwa kitendo chake cha kumuoza mama yake mzazi kwa mwanaume mwingine kwa mahari ya kuku tena hadharani?

halafu nasikia mama mwenyewe ni mdhaifu masikini..
Anakuhusu si mama yake na wewe oza mama yako
Huu ni uratibu wa mkuu wa wilaya ya ukerewe, Mwl Magembe. Ni mtu hatari akiwa na madaraka, yuko tayari kuua

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Nampenda Sana Mwl Magembe ni mtu makini anasimamia Haki sana
 
Tujiulize Tu JE KAMA KWELI KIVUKO NI KIBOVU NI BUSARA KUHATALISHA MAISHA YA WATU PAMOJA NA YAKE MWENYEWE TL. JE ni Busara kwa MTU anaegombea HIGH OFFICE kukimbilia mtandaoni na Kuandika Mambo amboyo hayajathibitishwa kitaalam kama kweli Kivuko ni kizima ila kauzuiwa tu???

Kuna Wakati Najuulize Hawa watu ni Kama Wahuni Wasioweza Kukabili Chngamoto za Kampenii JE watawezaje Kukabili Chngamoto za Taifa hili Kama kila jambo litalotokea wanalalamika na kuona wanaonewa.

Leo Hii ALIEKUWA ANALIA NA KULALAMIKA MAENDELEO YA VITU ....ANALIA TENA BAADA YA KUDAI KUZUIA KUTUMIA VITU [emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23] Hizi Kampeni Tuaona Mengi

Na Mnaomsifia Lissu Anakili Kubwa Mtakuwa level sawa ya Ujinga na Lissu yaani Leo Lissu kupanda mtumbwi ni kitu cha kishujaaa sanaaa[emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23] kwani Lissu anatofauti gani kwa sasa na Wavuvi au wananchi Wa ukelewe mpka akipanda mtumbwi aonekane Shujaa.

Mwisho Hakuna Maendeleo yasio na Msukumo Wa Vitu..wacheni Magufuli ajenge vivuko acheni Ajenge Madaraja Acheni atengeneze Miundo mbinu Ili mpite bila wasiwasi

Tano Tena Wacha Tuapishwe na Wengine Warudi nchini kwao.
Wewe ni kenge
 
We panyabuku tangia lini ukawa na akili na ushamkabidhi chakubanga.
Tatizo sio clip za Lisu ttz ni uelewa wako mdogo uliochangiwa na utapiamlo sababu ya umaskini wa wazazi wako ulioletwa na CCM.
Sawa
 
Tujiulize Tu JE KAMA KWELI KIVUKO NI KIBOVU NI BUSARA KUHATALISHA MAISHA YA WATU PAMOJA NA YAKE MWENYEWE TL. JE ni Busara kwa MTU anaegombea HIGH OFFICE kukimbilia mtandaoni na Kuandika Mambo amboyo hayajathibitishwa kitaalam kama kweli Kivuko ni kizima ila kauzuiwa tu???

Kuna Wakati Najuulize Hawa watu ni Kama Wahuni Wasioweza Kukabili Chngamoto za Kampenii JE watawezaje Kukabili Chngamoto za Taifa hili Kama kila jambo litalotokea wanalalamika na kuona wanaonewa.

Leo Hii ALIEKUWA ANALIA NA KULALAMIKA MAENDELEO YA VITU ....ANALIA TENA BAADA YA KUDAI KUZUIA KUTUMIA VITU [emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23] Hizi Kampeni Tuaona Mengi

Na Mnaomsifia Lissu Anakili Kubwa Mtakuwa level sawa ya Ujinga na Lissu yaani Leo Lissu kupanda mtumbwi ni kitu cha kishujaaa sanaaa[emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23] kwani Lissu anatofauti gani kwa sasa na Wavuvi au wananchi Wa ukelewe mpka akipanda mtumbwi aonekane Shujaa.

Mwisho Hakuna Maendeleo yasio na Msukumo Wa Vitu..wacheni Magufuli ajenge vivuko acheni Ajenge Madaraja Acheni atengeneze Miundo mbinu Ili mpite bila wasiwasi

Tano Tena Wacha Tuapishwe na Wengine Warudi nchini kwao.
Just One condom could have served the world from this rubbish
 
We kiazi kamsome baba ako wa taifa kwenye kitabu chake cha Uhuru na maendeleo afu ndo uje ubweke bweke humu ndani kwa wanaume.
Hizi hasira zako unamtolea nani sasa hapa?
Nenda kamtolee huyo kibaraka wenu kwenye vyumba vyenu vya faragha.

Sisi hatuwezi kuchagua jitu linaropoka eti maendeleo ya vitu alafu leo linalialia linataka kutumia hivyo vitu, si utaahira huu?

Mwambieni aendelee kuwatetea juu ya faragha zenu mambo ya Urais hawezi
 
mbona hilo daraja haliendi huko alipoenda
Changamoto za vivuko zinafanana maeneo yote nchi hii.(Not reliable)

Kwa kutumia adha aliyokutana nayo Kisorya ataona logic ya madaraja popote nchini.

Hiyo ndo point yangu!
 
Back
Top Bottom