Goliati mbishi
Senior Member
- Apr 2, 2020
- 127
- 115
Umesema? Hataki kutumia vyombo vya ndani wakati vyombo vya ndani havitaki kurusha taarifa yake!!!! Kuwa reasonable Basi.Huyu anataka kuongoza hii nchi.. huku akikimbilia kutuonyesha hataki kutumia.. vyombo vya habari vya nchini.. huyu angeuza nchi yetu kama angebahatika kuchaguliwa kuwa Rais.
Anaonyesha yupo radhi.. media za nchi za nje ziendelee kuliko za nchini, mpenda mabeberu hajali uchumi wa nchi yetu, wala kusaidia kutengeneza ajira.. kwa sababu kawaona bora Kenyans waendelee, poleni washabiki wake.
Magufuli 💯 Mzalendo
Bora mimi kenge kuliko wewe bendera inayofuata upepo.Ndugu zangu unawajuwa wewe ke.nge wa kijani?
Mkapa hakuwahi kuhojiwa na waandishi wa habari wa bongo, aliwaona bogus...na mlimchagua mara mbili.Huyu anataka kuongoza hii nchi.. huku akikimbilia kutuonyesha hataki kutumia.. vyombo vya habari vya nchini.. huyu angeuza nchi yetu kama angebahatika kuchaguliwa kuwa Rais.
Anaonyesha yupo radhi.. media za nchi za nje ziendelee kuliko za nchini, mpenda mabeberu hajali uchumi wa nchi yetu, wala kusaidia kutengeneza ajira.. kwa sababu kawaona bora Kenyans waendelee, poleni washabiki wake.
Magufuli 💯 Mzalendo
Hili ndio dawaSerikali imeamua kumpuuza ajimalize mwenyewe....
mia 900 itapendeza zaidinchi tayari ipo shimoni Magu kashatuzamisha na mekuwa vipofu hamuoni macho yenu yametiwa mchanga na moshi
Kwani yeye anazungumza au anaulizwa na kujibu alichoulizwa?Ukweli ni kwamba wananchi wengi wamemuelewa sana rais jinsi amedeal na issue ya corona, sasa Lissu akipuyanga kwenye hilo atapoteza mvuto.
Hatuhitaji msaada wao..... Chadema ni chama cha mioyo ya watz wkt ccm ni chama cha mioyo ya polisi tume ya uchaguzi na msaji wa vyamaCHADEMA wanatakiwa kupeleka malalamiko rasmi tume ya uchaguzi na MCT kwa vyombo vya habari kugoma kutangaza matukio ya CHADEMA.