Tundu Lissu ameongea na Radio Citizen Kenya asubuhi ya leo, ameleezea hali ya usalama nchini pamoja na suala la Corona

Nimeisikiliza hii video, Lissu kapiga nondo sana, nachoweza sema Lissu ni kidume, Lissu ni jasiri sana, maneno aliyozungumza dhidi ya utawala wa jiwe na hali iliyopo hapa nchini sidhani kama kuna mtanzania yeyote angeweza zungumza

Long live Hon Tundu Lissu
 
Kenya ndo kuna uhuru wa kuongea hapa wakudhubutu wanagunhiwa. Gaxeti la Tanzania Daima liko wap
 
JPM katili sana, ndiye aliyebariki shambulio la Lissu kuchapwa zile mvua za risasi. Muda ukifika tutaweka wazi kila kitu.
 
Hahaha mnawasha masikio ya serikali, mmeona, ni marufuku media ya ndani kuuungana na media za nje, hivyo maudhui hayo au mahojiani ya Tundu Lisu hatuta yasikia .

Atakaye yarusha wanaye.

Ukisimama nchale na ukikimbia nchale, ukikaa nchale.
 
Kwa hiyo amewaomba mumpigie kura? Au kawatuma mumsaidie kulainisha media za Bongo zimuandike na zimuhoji?
 
Tundu labda awe Raisi wa Kenya hawezi kuwa Raisi wa Tanzania na hata hana uwezo wa Kumuwazisha magufuli
 
Ukweli sasa hivi ni kuwa nyie mtabana redio zenu ila option ya kumsikiliza ni mkubwa mno kupitia redio za nje na televisheni
 
JPM katili sana, ndiye aliyebariki shambulio la Lissu kuchapwa zile mvua za risasi. Muda ukifika tutaweka wazi kila kitu.

Mm namlaani aliyemkosa Tundu Lissu,natamani ningekuwa na uwezo,hiyo jamaa ningemmaiza mm. Angemmaliza ningeagiza soda! Namchukia huyu Tundu Lissu mpaka mwisho!
 
Yaani mie huyu simuelewi kabisa, hivi wapiga kula wake wako kenya?, Watanzania wangapi wana access na hizo radio za kenya!
Wewe ni nani? Tundu Lisu ataongea na vyombo vyote vya ndani na nje ya nchi. Tanzania sio kisiwa.
 
Mm namlaani aliyemkosa Tundu Lissu,natamani ningekuwa na uwezo,hiyo jamaa ningemmaiza mm. Angemmaliza ningeagiza soda! Namchukia huyu Tundu Lissu mpaka mwisho!
Hahahaha, wewe ni JPM au Makonda?
 
Mm namlaani aliyemkosa Tundu Lissu,natamani ningekuwa na uwezo,hiyo jamaa ningemmaiza mm. Angemmaliza ningeagiza soda! Namchukia huyu Tundu Lissu mpaka mwisho!
Kamroge, mbona tz wachawi tele..unaumia nini na wakati wazee wa tawire nambari moja kabisa duniani hko wapo..
 
Huy anatabia yakujipendekeza kwa siasa za Watanzania
Ili apate sifa kumbe Boya tu

Sijakuelewa hapa, mgombea urais wa Tanzania amehojiwa na redio ya Kenya, maana kwamba hayo mahojiano yamepeperushwa nchini Kenya, una maana nisitolee neno?
Humu huwa tunajadili hata siasa za Marekani.....
 
Hivi Lisu anataka urais wa tz au Kenya?

Maana ukiangalia hata katika hotuba zake zote hakuna inayoisha bila kutaja Kenya

Asingepelekwa Kenya Leo hii angekuwa marehemu. Anaitaja Kenya kutokana na mwelekeo wa maswali. Viruhusuni vyombo vya hapa nyumbani kumuhoji uone kama ataitaja Kenya.
 
Nahisi mikutano ya kampeni ya Lissu itazingirwa pande zote nne na mipolisi ili kuwatisha watu
 

Mkuu Lisu anaalikwa kwenye vipindi na hivyo vyombo vya nje, hivyo anajibu kutokana na maswali. Ni juu ya vyombo vya hapa nchini kumhoji hayo watakayo watanzania.
 
Yaani mie huyu simuelewi kabisa, hivi wapiga kula wake wako kenya?, Watanzania wangapi wana access na hizo radio za kenya!
Tumuache atapetape muda si mrefu atabaki na cheo chake cha makamu wa mwenyekiti.
Maana huku kwingine nafasi yake ndo ile ya ngamia kupenya kwenye tundu la sindano.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…