Tundu Lissu ameongea na Radio Citizen Kenya asubuhi ya leo, ameleezea hali ya usalama nchini pamoja na suala la Corona

Tundu Lissu ameongea na Radio Citizen Kenya asubuhi ya leo, ameleezea hali ya usalama nchini pamoja na suala la Corona

Ameenda kupiga kampeni Kenya. Na akirudi lazima apimwe corona na mirungi kichwani aiache huko huko
 
Ameenda kupiga kampeni Kenya. Na akirudi lazima apimwe corona na mirungi kichwani aiache huko huko
Screenshot_2020-08-02_085923.jpg
 
Awe makini kuhusu maswali ya mtego kuhusu Korona.

Wakenya wanataka kumtumia Lissu kipropaganda kuhusu ishu ya Korona ili ionekane sisi watanzania tumefanya ujinga tulivyopambana na Korona halafu wao Wakenya eti wamefanya vyema na malockdown yao.

Lissu akumbuke tu wapiga kura wake watarajiwa yaani Watanzania wanamuunga mkono sana Magufuli kwenye ishu ya kutoweka lockdown, kwa hiyo asiwape Wakenya wanachotaka yaani "endorsement" kutoka ndani ya Tanzania kwa jinsi wao walivyodeal na Korona. Maana sasa hivi ndani ya Kenya kuna public pressure ya kutaka Kenya ifanye kama Tanzania!.

Swali la Korona inabidi Lissu alijibu kisiasa, ila akijaribu kuiponda approach ya Magufuli alivyohandle hilo suala atapoteza uungwaji mkono nchini. Magufuli alifanikiwa kuvurugavuruga vyanzo vya taarifa rasmi kuhusu Korona, kisha akapiga propaganda kubwa sana kuwa tumeidhibiti Korona kiasi kwamba sehemu kubwa ya umma inakubaliana naye. Kwa hiyo inahitaji akili ya ziada kucrash sehemu kubwa ya approach ya Magufuli katika mapambano dhidi ya Korona
Unaandika kana kwamba wewe ndiye uliyempangia kipindi na ratiba nzima.Yeye ni Mtaalamu na fundi wa sheria.Huna utaalamu wala ufundi wa kumpangia cha kuongea.Tulia tu.Au vipi
 
Yaani mie huyu simuelewi kabisa, hivi wapiga kula wake wako kenya?, Watanzania wangapi wana access na hizo radio za kenya!
Kwakuwa unaakili ndogo hutamuelewa media za Tanzania zione aibu kwa biasness hii akitumia Media za ndani watakata umeme au watamhujumu sauti au media itapigwa mkwara na tcra na tra vyombo vya kikandamizi mwache atumie media huru za Kenya .
 
Ukisoma kanuni za uchaguzi, kuna sehemu inayozuia wagombea kushambuliana kwa matusi ya binafsi. Kama unakumbuka, ubunge wa Wassira ulienguliwa baada ya uchaguzi wa mwaka 1995 kwa sababu Wassira alikuwa anaendesha kampeni za kumtukana Waryoba binafsi.

Unaweza kuleta ushahidi wa kauli yoyote ambayo Lissu kamtukana Magufuli pindi alipokuwa Ulaya na baada ya kurudi?
 
Yaani mie huyu simuelewi kabisa, hivi wapiga kula wake wako kenya?, Watanzania wangapi wana access na hizo radio za kenya!
Kwani huku unakotaka aongee na media anakubaliwa kuongea nazo na kurusha.
 
Ataingia tu mtego wa nyang'au; manaake jamaa alivyo limbukeni anajisifia kuwa ana damu ya wakenya, duh.
Wakenya maswali Yao huandaliwa na maprofesa wa kulipwa wanapohoji mtu wa nje hasa nchi hasimu kibiashara Kama Tanzania

Lisu lazima ataulizwa maswali mtego ambayo ataingia chapchap mtegoni
 
Sawa, lakini siyo sahihi kusema Lissu kamtukana Magufuli, hajamtukana popote zaidi ya kukosoa utendaji wake wa kazi kitu ambacho ni sahihi kabisa na ni halali kabisa kisiasa.
[/QUOT]Kukusoa na kutusi ni vitu viwili tofauti; ninavijua sana. Sitaki kuleta video za Lissu akitumia lugha za matusi wakati akiwa Marekani kipindi fulani lakini zipo youtube. Ila kama nilivyosema, tusijiinginze kiundani katika mambo ambayo hayana lazima sana sasa hivi.
 
Awe makini kuhusu maswali ya mtego kuhusu Korona.

Wakenya wanataka kumtumia Lissu kipropaganda kuhusu ishu ya Korona ili ionekane sisi watanzania tumefanya ujinga tulivyopambana na Korona halafu wao Wakenya eti wamefanya vyema na malockdown yao.

Lissu akumbuke tu wapiga kura wake watarajiwa yaani Watanzania wanamuunga mkono sana Magufuli kwenye ishu ya kutoweka lockdown, kwa hiyo asiwape Wakenya wanachotaka yaani "endorsement" kutoka ndani ya Tanzania kwa jinsi wao walivyodeal na Korona. Maana sasa hivi ndani ya Kenya kuna public pressure ya kutaka Kenya ifanye kama Tanzania!.

Swali la Korona inabidi Lissu alijibu kisiasa, ila akijaribu kuiponda approach ya Magufuli alivyohandle hilo suala atapoteza uungwaji mkono nchini. Magufuli alifanikiwa kuvurugavuruga vyanzo vya taarifa rasmi kuhusu Korona, kisha akapiga propaganda kubwa sana kuwa tumeidhibiti Korona kiasi kwamba sehemu kubwa ya umma inakubaliana naye. Kwa hiyo inahitaji akili ya ziada kucrash sehemu kubwa ya approach ya Magufuli katika mapambano dhidi ya Korona
Umeandika vizur San kiongozi
 
Huyu anataka kuongoza hii nchi.. huku akikimbilia kutuonyesha hataki kutumia.. vyombo vya habari vya nchini.. huyu angeuza nchi yetu kama angebahatika kuchaguliwa kuwa Rais..

Anaonyesha yupo radhi.. media za nchi za nje ziendelee.. kuliko za nchini.. mpenda mabeberu.. hajali uchumi wa nchi yetu.. wala kusaidia kutengeneza ajira.. kwa sababu kawaona bora Kenyans waendelee.. poleni washabiki wake wafwu..

Magufuli [emoji817] Mzalendo
Kampeni ya Makonda oyeeeee ilifia wapi ?
 
Awe makini kuhusu maswali ya mtego kuhusu Korona.

Wakenya wanataka kumtumia Lissu kipropaganda kuhusu ishu ya Korona ili ionekane sisi watanzania tumefanya ujinga tulivyopambana na Korona halafu wao Wakenya eti wamefanya vyema na malockdown yao.

Lissu akumbuke tu wapiga kura wake watarajiwa yaani Watanzania wanamuunga mkono sana Magufuli kwenye ishu ya kutoweka lockdown, kwa hiyo asiwape Wakenya wanachotaka yaani "endorsement" kutoka ndani ya Tanzania kwa jinsi wao walivyodeal na Korona. Maana sasa hivi ndani ya Kenya kuna public pressure ya kutaka Kenya ifanye kama Tanzania!.

Swali la Korona inabidi Lissu alijibu kisiasa, ila akijaribu kuiponda approach ya Magufuli alivyohandle hilo suala atapoteza uungwaji mkono nchini. Magufuli alifanikiwa kuvurugavuruga vyanzo vya taarifa rasmi kuhusu Korona, kisha akapiga propaganda kubwa sana kuwa tumeidhibiti Korona kiasi kwamba sehemu kubwa ya umma inakubaliana naye. Kwa hiyo inahitaji akili ya ziada kucrash sehemu kubwa ya approach ya Magufuli katika mapambano dhidi ya Korona
Lissu awe makini sana kutumia Media za Kenya maana tayari Tanzania na Kenya hatuko na maelewano mazuri.

Ningemshauri atumie Radio ujerumani na BBC hizi ni radio Neutral na zinaushawishi nchini.

Hiki kitengo cha propaganda cha CHADEMA siku hizi kimejaa vilaza watupu.

Fame aliyoijenga Lissu kwa miaka kumi anaweza kuiharibu kwa media talk ya nusu saa tu.

Sijui nani anamshauri kutumia media za Kenya

Cc.CHADEMA
 
Yaani mie huyu simuelewi kabisa, hivi wapiga kula wake wako kenya?, Watanzania wangapi wana access na hizo radio za kenya!
Unajua wakenya wamemsaidiaje huyu Nabii yetu........Wkt serikali yenu inataka afe wakenya walijitolea kwa hali na mali.

Alafu vyombo vyenu takataka mbona haviripoti matukio ya chadema???....
 
Back
Top Bottom