CAPO DELGADO
JF-Expert Member
- Aug 31, 2020
- 8,542
- 18,340
Mwalimu Jk Nyerere alisema.
"Udikteta ni selikali ya watu wachache ama kikundi cha watu kinachotunga sheria kandamizi atakayebisha atakipata cha moto".
Dikteta jiwe hataki kabisa kusikia hivi.
Amekandamiza uhuru wa vyombo vya Habari hadi Tasnia ya habari imeonekana ni kanjanja mno.
Jiwe out 2020
"Udikteta ni selikali ya watu wachache ama kikundi cha watu kinachotunga sheria kandamizi atakayebisha atakipata cha moto".
Dikteta jiwe hataki kabisa kusikia hivi.
Amekandamiza uhuru wa vyombo vya Habari hadi Tasnia ya habari imeonekana ni kanjanja mno.
Jiwe out 2020