KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,187
- 17,167
Makao makuu ya kupanga kwa baba mkwe, pumbffffff zenu.Hizi ni salamu kwa wenye usafiri wasitumie usafiri kwani mapokezi yawe ni kwa mguu. Siku hiyo shughuli zitasimama kutokana na umati wa maelfu ya watu. Hivyo napendekeza muheshimiwa abebwe begani akiwa kwenye kiti cha ufalme mpaka makao makuu ya chama.
Historia inakwenda kuandikwa upya
Huku tukinyamaza kwa dk 1 kumlilia Mkapa
Tatizo wamelipokea kama mimi ndo muhusika vileMkuu umma wa watanzania hawakukuelewa kabisa
Kenge mkubwa ww, Nani anakudanganya kuwa pale tumepanga?? pumbaaafu ...nenda aridhi kaulizie kuwa prot no.37 mmiliki ni Nani ...bata weeeMakao makuu ya kupanga kwa baba mkwe, pumbffffff zenu.
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Hakuna kitu mtafanya, you don't have the numbers.Subiri uone vitendo mwaka huu
Kenge mkubwa ww, Nani anakudanganya kuwa pale tumepanga?? pumbaaafu ...nenda aridhi kaulizie kuwa prot no.37 mmiliki ni Nani ...bata weee
Mbona mnatuchanganya mara tarehe 27 mara 28, tushike lipi maana tuna mzuka wa kwenda kumpokea na kumsindikiza Central PoliceMwanasiasa wa upinzani nchin Tanzania Tundu Lissu amesema anatarajia kurudi nchini humo Julai 28.
Lissu ametangaza nia ya kugombea urais kupitia chama chake cha CHADEMA Oktoba mwaka huu. Mwanasiasa huyo kwa sasa yuko ughaibuni ambapo alienda kupata matibabu baada ya kushambuliwa kwa risasi mwaka 2017.
Akizungumza leo katika mkutano unaoendelea kwa njia ya mtandao ulioandaliwa na taasisi ya The Resistance Bureau, Lissu amesema ameshakata tiketi ya ndege na watanzania watarajie kumpokea Julai 28.
Akijibu swali kuhusu kama anahofu kuwa anaweza kuzuiwa kuingia nchini mwake, Lisu amesema: ''Sina sababu ya kuamini kuwa nitazuiwa kurudi nyumbani, mimi si mhalifu niliondoka nje ya Tanzania nikiwa sina fahamu, nilishambuliwa kwa risasi mara 16 na watu ambao mpaka sasa hawajakamatwa hivyo ninarejea nyumbani kuikabili serikali iliyosema kuwa haina hatia katika tukio hilo la jaribio la kuniua, kunizuia kutadhihirishia dunia kuwa ilihusika na shambulio la mwaka 2017 kama nilivyosema sina sababu ya kuamini kuwa nitazuiwa kurejea nyumbani''. Alieleza Lissu kwenye mkutano huo.
Central kwa mh Lissu siyo issue sanaMbona mnatuchanganya mara tarehe 27 mara 28, tushike lipi maana tuna mzuka wa kwenda kumpokea na kumsindikiza Central Police
juakali atakaa juani kwelix2 sidhani hata wanaomtumia watamthamini tena , ktk maisha kuna do na don't. Huwezi kuwa kiongizi faala hivyo.
Jimbo la Iramba ( Mgombea :Kishoa)
Jumla ya Kura 136
Kura za hapana 0
Kura za ndio 134
Zilizoharibika 2
katazo