Uchaguzi 2020 Tundu Lissu ametufumbua macho na kutujaza kujiamini kuwa Tanzania hii ni mali ya watanzania wote

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu ametufumbua macho na kutujaza kujiamini kuwa Tanzania hii ni mali ya watanzania wote

Tangu ametoka kwenye tanuru la mateso makali na kubezwa na kukashifiwa na kuitwa majina mabaya ya kila aina hapa duniani.

Amekuwa ni mtu wa kufurahia sana kila anapokuwa anazungumzia hayo madhila yake aliyopitia, anafurahi muda wote.

Amezidi kuimarika zaidi kwa kujiamini kwa kila jambo analolifanya na hivyo kulisimamia, kitu uoga kwake imekuwa ni kitendawili.

Ameweza kuwa kiongozi wa mfano mzuri kwa watanzania kwa kutokuwa na moyo wa malipizi, sifa ambayo wanayo viongozi wateule tu.

Ametuonyesha kuwa hakuna kisichowezekana, ametufumbua macho na kutujaza kujiamini kuwa Tanzania hii ni mali ya watanzania wote.

Hakika mh Lissu ni mtume wa kulikomboa taifa letu, atatuvusha bahari ya matatizo na machungu ya maisha na kutuingiza kwenye nchi ya asali na maziwa.

TWENDE NA LISSU, TUMCHAGUE LISSU.

ANATUFAA WATANZANIA.

View attachment 1549253
Tumefikia hatua ya tukidhani kuwa nchi Ni Mali ya magufuli .
 
Tundu Lisu na viongozi wa Chadema wanajua kabisa uchaguzi huu wanakwenda kushindwa kwa aibu kubwa na ndiomaana viongozi wengi wa juu wa Chadema Dalili zote zinaonyesha wamesha kata tamaa.
Uzi unaelezea jinsi Lissu alivyo na ujasiri wa kutisha na jinsi alivyoanza kuwabadilisha Watanzania kuwa na ari ya kupigania na kusimamia sheria na haki.
Lissu ni Daud mwana wa Yese.
 
Uzi unaelezea jinsi Lissu alivyo na ujasiri wa kutisha na jinsi alivyoanza kuwabadilisha Watanzania kuwa na ari ya kupigania na kusimamia sheria na haki.
Lissu ni Daud mwana wa Yese.
Amina kamanda
 
Masifu ya Mtakatifu TL[emoji3][emoji3]
Unlimited vituko
Tangu ametoka kwenye tanuru la mateso makali na kubezwa na kukashifiwa na kuitwa majina mabaya ya kila aina hapa duniani.

Amekuwa ni mtu wa kufurahia sana kila anapokuwa anazungumzia hayo madhila yake aliyopitia, anafurahi muda wote.

Amezidi kuimarika zaidi kwa kujiamini kwa kila jambo analolifanya na hivyo kulisimamia, kitu uoga kwake imekuwa ni kitendawili.

Ameweza kuwa kiongozi wa mfano mzuri kwa watanzania kwa kutokuwa na moyo wa malipizi, sifa ambayo wanayo viongozi wateule tu.

Ametuonyesha kuwa hakuna kisichowezekana, ametufumbua macho na kutujaza kujiamini kuwa Tanzania hii ni mali ya watanzania wote.

Hakika mh Lissu ni mtume wa kulikomboa taifa letu, atatuvusha bahari ya matatizo na machungu ya maisha na kutuingiza kwenye nchi ya asali na maziwa.

TWENDE NA LISSU, TUMCHAGUE LISSU.

ANATUFAA WATANZANIA.

View attachment 1549253
 
Sielewi mnaongea ninyi bavichaa?

Kwamba Lisu keshamshinda Magufuli au?

Kwa akili yenu mlifiiri Magufuli atapoteza muda wake aje kujibishana na huyo msaliti?

Lisu na chadema wote nyie ni hopeless!

Lisu alifikiri akija kuna mtu atamsumbuasumbua kumkamata,

Baadae mkasema atakatwa,
Hakatwi mtu ila atakatwa na watz kwenye sanduku la kura.

Mwambieni tutamnyoa kiduku kile
Mapimbi Kama ww waliandika kuwa lissu hawezi kurudi, na akirudi atakamatwa pale airport, akigombea ndani ya chadema hawezi kupitishwa , na akipitishwa na chama Tume haiwezi kumpatia fomu na akipatiwa fomu hawezi kuteuliwa ..nakuuliza wee matanga wa lumumba , kipi kimefanyika kuhusj lissu hadi Sasa?? Lissu ndo rais wa nchi hii , kubari kataa hbr ndo hiyo na jiandaeni kisaikolojia tu
 
Tangu ametoka kwenye tanuru la mateso makali na kubezwa na kukashifiwa na kuitwa majina mabaya ya kila aina hapa duniani.

Amekuwa ni mtu wa kufurahia sana kila anapokuwa anazungumzia hayo madhila yake aliyopitia, anafurahi muda wote.

Amezidi kuimarika zaidi kwa kujiamini kwa kila jambo analolifanya na hivyo kulisimamia, kitu uoga kwake imekuwa ni kitendawili.

Ameweza kuwa kiongozi wa mfano mzuri kwa watanzania kwa kutokuwa na moyo wa malipizi, sifa ambayo wanayo viongozi wateule tu.

Ametuonyesha kuwa hakuna kisichowezekana, ametufumbua macho na kutujaza kujiamini kuwa Tanzania hii ni mali ya watanzania wote.

Hakika mh Lissu ni mtume wa kulikomboa taifa letu, atatuvusha bahari ya matatizo na machungu ya maisha na kutuingiza kwenye nchi ya asali na maziwa.

TWENDE NA LISSU, TUMCHAGUE LISSU.

ANATUFAA WATANZANIA.

View attachment 1549253
Na kuunga mkono,Ndugu T.A Lissu ni Kiongozi pekee kuturudishia Watanzania mema tuliyostahili kwa miaka yote ya Uhuru wetu chini ya CCM tuliyakoseshwa.
Tukiwa na dhamira zetu timamu Yeye ndiyo tumaini letu,tuunganishe nguvu pamoja na kumpigia kura nyingi awe Rais wetu.Nchi hii sasa imefika Njia Panda,maamuzi ni yetu kupitia sanduku LA kura.
 
Chini ya hiyo picha November this year itaandikwa "Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Tundu Lissu".
Tangu ametoka kwenye tanuru la mateso makali na kubezwa na kukashifiwa na kuitwa majina mabaya ya kila aina hapa duniani.

Amekuwa ni mtu wa kufurahia sana kila anapokuwa anazungumzia hayo madhila yake aliyopitia, anafurahi muda wote.

Amezidi kuimarika zaidi kwa kujiamini kwa kila jambo analolifanya na hivyo kulisimamia, kitu uoga kwake imekuwa ni kitendawili.

Ameweza kuwa kiongozi wa mfano mzuri kwa watanzania kwa kutokuwa na moyo wa malipizi, sifa ambayo wanayo viongozi wateule tu.

Ametuonyesha kuwa hakuna kisichowezekana, ametufumbua macho na kutujaza kujiamini kuwa Tanzania hii ni mali ya watanzania wote.

Hakika mh Lissu ni mtume wa kulikomboa taifa letu, atatuvusha bahari ya matatizo na machungu ya maisha na kutuingiza kwenye nchi ya asali na maziwa.

TWENDE NA LISSU, TUMCHAGUE LISSU.

ANATUFAA WATANZANIA.

View attachment 1549253
 
Na kuunga mkono,Ndugu T.A Lissu ni Kiongozi pekee kuturudishia Watanzania mema tuliyostahili kwa miaka yote ya Uhuru wetu chini ya CCM. Tukiwa na dhamira zetu timamu Yeye ndiyo tumaini letu,tuunganishe nguvu pamoja.Nchi nimefika Njia Panda,maamuzi yetu kupitia sanduku LA kura ni lazima.
Huu ushauri wako ni muhimu sana kipindi hiki kuliko wakati wowote ule maana kama ni ng'ombe tayari tusha muweza kwa 95%.

Kilichobakia wanachojivunia kwa sasa ni ooo hii tume, hiii tume basi
 
Mapimbi Kama ww waliandika kuwa lissu hawezi kurudi, na akirudi atakamatwa pale airport, akigombea ndani ya chadema hawezi kupitishwa , na akipitishwa na chama Tume haiwezi kumpatia fomu na akipatiwa fomu hawezi kuteuliwa ..nakuuliza wee matanga wa lumumba , kipi kimefanyika kuhusj lissu hadi Sasa?? Lissu ndo rais wa nchi hii , kubari kataa hbr ndo hiyo na jiandaeni kisaikolojia tu
Tumemuacha Lisu atape tape! Kibano chake atakiona tarehe 28 mwezi wa 10

Kale kabeberu kake kamejaribu kutuma tuma vibarua vyake hakuna hata mtu aliehangaika kukajibu.

Mtafurahi sana mwaka huu
 
Tumemuacha Lisu atape tape! Kibano chake atakiona tarehe 28 mwezi wa 10

Kale kabeberu kake kamejaribu kutuma tuma vibarua vyake hakuna hata mtu aliehangaika kukajibu.

Mtafurahi sana mwaka huu
Maneno haya wanasemaga walio kata tamaa ya maisha
 
Tangu ametoka kwenye tanuru la mateso makali na kubezwa na kukashifiwa na kuitwa majina mabaya ya kila aina hapa duniani.

Amekuwa ni mtu wa kufurahia sana kila anapokuwa anazungumzia hayo madhila yake aliyopitia, anafurahi muda wote.

Amezidi kuimarika zaidi kwa kujiamini kwa kila jambo analolifanya na hivyo kulisimamia, kitu uoga kwake imekuwa ni kitendawili.

Ameweza kuwa kiongozi wa mfano mzuri kwa watanzania kwa kutokuwa na moyo wa malipizi, sifa ambayo wanayo viongozi wateule tu.

Ametuonyesha kuwa hakuna kisichowezekana, ametufumbua macho na kutujaza kujiamini kuwa Tanzania hii ni mali ya watanzania wote.

Hakika mh Lissu ni mtume wa kulikomboa taifa letu, atatuvusha bahari ya matatizo na machungu ya maisha na kutuingiza kwenye nchi ya asali na maziwa.

TWENDE NA LISSU, TUMCHAGUE LISSU.

ANATUFAA WATANZANIA.

View attachment 1549253
Ungeandika habari nyingine usiyo muhusu aliyekupa bundle ingetushtua wote!
 
Watawala waovu walikuwa wameshawaaminisha watanzania kuwa tanzania ni mali ya watawala, na kwamba watawaliwa hawaruhusiwi kuhoji, wala kusema chochote zaidi ya kufuata kile kitakachoamuliwa na watawala, kuhoji ikawa kosa la jinai na kila mtu akaogopa kumuongea bwana yule akihofia usalama wake!

Ilikuwa ukitamka jina la bwana yule katika public basi ni katika kusifu na kumuabudu.

Ikafika mbali hata baadhi ya wajinga na wapumbavu wakamuita "mungu" na "yesu" mbaya zaidi eti wakadai ipo siku "MUNGU" atashuka kuja kumuomba msaada mtu yule, hii kufuru kabisa kuwahi kutokea, shame upon the dictator and his failed system!

Viva Mtanzania lissu, umewaondolea madikteta ule utukufu waliodhani wanao, walijifanya miungumtu, aibu yao sasa vile tunawadharau, sio kitu wao!
Hao waliokuwa wakisifia kwa kiwango hiko wapo wapi sasa hivi?

Sio kila jambo la ajabu linalosemwa lina baraka kutoka kwa bwana mkubwa.
 
Swali jepesi na gumu pia. Bila shaka swali kuwa mabebaru ni watu gani litapata jibu siku ya mdahalo wa wagombea urais!
 
Back
Top Bottom