ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,050
- 6,199
Au kama wanavyokiita wengine kule Znz, Chanzo Cha MatatizoTunataka kizazi Cha kuhoji. Tundu Lissu kaonyesha njia.
MAGUFULI anataka kutuziba mdomo, anunue ndege Kama karanga tusiulize kwanini Hilo Jambo halikupitia bungeni.
Mnataka tuwe MAZEZETA Kama mlivyo wa CHAMA CHA MAZEZETA?
😂😂😂😂sasa mbna mnatuchanganya! anagombea kitic cha uraisi ama anataka kufungua biashara Kariakoo
Kama mwananchi na mgonmbea urais. Lazima ajue namna ya kuweka Kofi Rafiki kwa wafanya biashara. Hats weweub unaweza kuhoji tu siyo lazima use na cheoMakamu mwenyekiti wa CHADEMA ambaye ndio mgombea urais wa JMT wa chama hicho mh Tundu Lissu amewahoji wafanyabiashara wa pembejeo sokoni kariakoo namna wanavyolipa kodi zao TRA.
Lissu alitaka pia kujua kama wafanyabiashara wana uelewa wa usahihi wa kodi wanayolipa.
Chanzo: ITV habari.
My take; Tundu Lisu amewahoji wafanyabiashara akiwa kama nani?
Maendeleo hayana vyama!
Mkuu kwani Pole Pole kasema nini vile?Makamu mwenyekiti wa CHADEMA ambaye ndio mgombea urais wa JMT wa chama hicho mh Tundu Lissu amewahoji wafanyabiashara wa pembejeo sokoni kariakoo namna wanavyolipa kodi zao TRA.
Lissu alitaka pia kujua kama wafanyabiashara wana uelewa wa usahihi wa kodi wanayolipa.
Chanzo: ITV habari.
My take; Tundu Lisu amewahoji wafanyabiashara akiwa kama nani?
Maendeleo hayana vyama!
Jamaa zumbu kuku sanaUnajua Jo umejaa upumbavu mwingi sana halafu wala huoni aibu kuonesha kiwango chako cha upumbavu
Sasa kwenye kampeni anahubiri kufuta kodi gani?!Kama mgombea urais.
Kama kiongozi wa chama cha upinzani.
Kama Mtanzania.
Kwani kuna katazo la Watanzania kubadilishana mawazo kuhusu kazi zao?
Tatizo mko Chadema lakini sera za chama chenu hamzijui!Jamaa zumbu kuku sana
Tatizo mko Chadema lakini sera za chama chenu hamzijui!
Raisi sana kupenda na kujiunga na Jeshi kama sio wakati wa VITA!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sawa Msanii.Kwani wewe ni nani,na unauliza kama nani,sura kama nyani anayekula majani acha upunguani,kwanini unacheza juani,vaa miwani,yoo yoo oh yeah.
Ungejua sera ya Chadema ya kufuta kodi usingenihoji kimbegembege namna hii, lakini kwa sababu uko hapo Ufipa kimigombani zaidi nakupa pole!Mimi sina chama lakini sitaki ujinga unao utaka wewe yaani mpaka una shangaa mtu abaye uliza ili kujua. Hilo lichama lenu limewafanya kuwa wajinga kazi kupongeza na kushangilia hata mambo ya kijinga kabisa. Yaani karne hii una shangaa mtu anaye uliza? Kwani kavunja sheria gani? Kuna mambo ya kushamgaa lakini siyo hilo
wewe ushakuwa msukule! sasa usiwe unacoment humu!! Mgombea wenu ana meza vidonge zaidi ya 18 kwa siku🤣🤣🤣.Watanzania wanaotaka mageuzi awamezi wala mgombea wao ana dozi🙏🙏 kama una gombea Uraisi wa Tanzania na Makanisa 2.Rutheran na Catholic awakukubali basi unafanya kazi bure!?Jua hilo !!Kuheshimu watu ni bure,
wewe ushakuwa msukule! sasa usiwe unacoment humu!! Mgombea wenu ana meza vidonge zaidi ya 18 kwa siku🤣🤣🤣.Watanzania wanaotaka mageuzi awamezi wala mgombea wao ana dozi🙏🙏 kama una gombea Uraisi wa Tanzania na Makanisa 2.Rutheran na Catholic awakukubali basi unafanya kazi bure!?Jua hilo !!
Na kesho atakuwa uw Taifa!!🤣🤣🤣aende tu Na FIESTA yake.Wanavijiji awali flyover na madaraja au intersections au mapantoni!! 2020 is Fucking the Wrong Ninger for You and your Chama🤣🤣🤣🤣Ndo ilani yenu hii? Kwan Hujui leo kuna lutheran, jews, muslims, and many more na wote wanatafautiana
Wewe unahoji km nani???Makamu mwenyekiti wa CHADEMA ambaye ndio mgombea urais wa JMT wa chama hicho mh Tundu Lissu amewahoji wafanyabiashara wa pembejeo sokoni kariakoo namna wanavyolipa kodi zao TRA.
Lissu alitaka pia kujua kama wafanyabiashara wana uelewa wa usahihi wa kodi wanayolipa.
Chanzo: ITV habari.
My take; Tundu Lisu amewahoji wafanyabiashara akiwa kama nani?
Maendeleo hayana vyama!
"SERIKALI YACHADEMA ITATUMIA WATAALAMU WAKE KUAHAKIKISHA MNAKWENDA KUCHUNGA KWENYE HIFADHI" 😂🤣😂🤣Makamu mwenyekiti wa CHADEMA ambaye ndio mgombea urais wa JMT wa chama hicho mh Tundu Lissu amewahoji wafanyabiashara wa pembejeo sokoni kariakoo namna wanavyolipa kodi zao TRA.
Lissu alitaka pia kujua kama wafanyabiashara wana uelewa wa usahihi wa kodi wanayolipa.
Chanzo: ITV habari.
My take; Tundu Lisu amewahoji wafanyabiashara akiwa kama nani?
Maendeleo hayana vyama!