johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #161
Kuanzia November, 2020!Mfanyabiasha wa pembejeo ajae
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuanzia November, 2020!Mfanyabiasha wa pembejeo ajae
CCM wametengeneza kodi ambazo si rafiki kiasi kwamba wengi hawalipi kodi hukwepa na kufanya biashara kienyeji, Lisu ataifanya kodi kuwa rafiki kiasi kwamba hakuna Mtanzania ataiona ni mzigo kwake watailipa bila shinikizo lolote.Suala la kulipa kodi tusilichukulie kirahisi na tusilichukulie kisiasa.
Wafanyabiashara wanatakiwa kulipa kodi stahiki. Ili biashara ziendelee kuwepo. Na si vinginevyo
Wenge unao wewe usijejua kuwa mgombea Urais lazima ajue kero tokea chini live kwa masikio yake mwenyeweLisu ana wenge sana kampeni za masokoni ni za wagombea udiwani!
Alikuwa wapi kuzijua hizo kero siku zote?Wenge unao wewe usijejua kuwa mgombea Urais lazima ajue kero tokea chini live kwa masikio yake mwenyewe
Alikuwa Belgium baada ya wewe kutumwa na polepole mkaenda Dodoma na Bashite kumpiga risasiAlikuwa wapi kuzijua hizo kero siku zote?
Tunataka kizazi Cha kuhoji. Tundu Lissu kaonyesha njia.
MAGUFULI anataka kutuziba mdomo, anunue ndege Kama karanga tusiulize kwanini Hilo Jambo halikupitia bungeni.
Mnataka tuwe MAZEZETA Kama mlivyo wa CHAMA CHA MAZEZETA?
Amstadarm Aliyechangamka!Makamu mwenyekiti wa CHADEMA ambaye ndio mgombea urais wa JMT wa chama hicho mh Tundu Lissu amewahoji wafanyabiashara wa pembejeo sokoni kariakoo namna wanavyolipa kodi zao TRA.
Lissu alitaka pia kujua kama wafanyabiashara wana uelewa wa usahihi wa kodi wanayolipa.
Chanzo: ITV habari.
My take; Tundu Lisu amewahoji wafanyabiashara akiwa kama nani?
Maendeleo hayana vyama!
Kesi dhurumati🤣🤣🤣Yaani katika wagombea woote wa kwao tu ndo wanajua kujaza forms vizuri...yana mwishokesi zake wamesema ztaskilizwa mfululizo, kwahio ajiandae kisaikolojia
ITV wanaweza kuingia kikaangoniMakamu mwenyekiti wa CHADEMA ambaye ndio mgombea urais wa JMT wa chama hicho mh Tundu Lissu amewahoji wafanyabiashara wa pembejeo sokoni kariakoo namna wanavyolipa kodi zao TRA.
Lissu alitaka pia kujua kama wafanyabiashara wana uelewa wa usahihi wa kodi wanayolipa.
Chanzo: ITV habari.
My take; Tundu Lisu amewahoji wafanyabiashara akiwa kama nani?
Maendeleo hayana vyama!
Kuanzia November, 2020!
kama mwanasheria,wakili msomi na raisi mtarajiwa. Vip kwani unatesekaMakamu mwenyekiti wa CHADEMA ambaye ndio mgombea urais wa JMT wa chama hicho mh Tundu Lissu amewahoji wafanyabiashara wa pembejeo sokoni kariakoo namna wanavyolipa kodi zao TRA.
Lissu alitaka pia kujua kama wafanyabiashara wana uelewa wa usahihi wa kodi wanayolipa.
Chanzo: ITV habari.
My take; Tundu Lisu amewahoji wafanyabiashara akiwa kama nani?
Maendeleo hayana vyama!
ndani ya moyo wako,unajua lipi jema na lipi baya! ndani ya moyo wako unajua kama ao unaowatetea wanatenda haki mbele ya Mungu au wanatesa na kuua wasio na Hatia,ndani ya moyo wako unajua adhabu ya wauaji na wanaomwaga damu zisizo na hatia,ndani ya moyo wako unajua kama haya unayotetea ndivyo anavyotaka Mungu unaemwabudu au la.So sina cha kusema zaidi!! Mwenyezi Mungu akujalie wewe na wote wenye akili tope kama wewe lahaana ya milelekesi zake wamesema ztaskilizwa mfululizo, kwahio ajiandae kisaikolojia
NOMASANAKwani wewe ni nani,na unauliza kama nani,sura kama nyani anayekula majani acha upunguani,kwanini unacheza juani,vaa miwani,yoo yoo oh yeah.
Nasikia Kagame alisema akipewa bandari tu ataweza kutulisha sijui alitumia kikokotoo gani kuwezajua atapata net profit kiasi gani cha kufanikisha hiloLisu akiwa Rais hakuna atayelipa kodi na wote tutajua kingereza.
Hisia yangu ni kwamba tumejifanya kuyabeba matatizo ya wanasiasa bila wao kuyabeba ya kwetu. Eti tunakwazika sana tukisikia Lissu kapigwa risasi kuliko tukisikia mfuasi wa CHADEMA kapigwa risasi morogoro, au Mawazo wa CHADEMA kauwawa Geita.Kuhoji kwamba kwanini WAKULIMA wa KOROSHO huko kusini walioporwa KOROSHO zao kifashist unatakiwa uwe na cheo? Kwamba tumeongezewa tozo/makato ya mikopo ya elimu ya juu toka 8- 15% bila hata kushirikishwa lazima uwe naa
Mpumbavu wewe
Kama mgombea wa urais wa JMTMy take; Tundu Lisu amewahoji wafanyabiashara akiwa kama nani?
Nawe ni zezeta sana! Nini cha maana kilichowahi pitia bungeni ambacho unaweza kukionesha? Bunge lipi? Hilo la akina Mbowe na akina Zitto na Kibajaji, n.k. Utaratibu huo uliusikia mwaka gani kwamba serikali ikitaka kununua kitu inapitisha bungeni? Tatizo tunafuata yanayosemwa ana kina Lissu. Wengine wakasema tenda haikutangazwa, wengine wakasema vioo vya ndege vinaonesha zimetumika. Yooote umbumbumbu tu!Tunataka kizazi Cha kuhoji. Tundu Lissu kaonyesha njia.
MAGUFULI anataka kutuziba mdomo, anunue ndege Kama karanga tusiulize kwanini Hilo Jambo halikupitia bungeni.
Mnataka tuwe MAZEZETA Kama mlivyo wa CHAMA CHA MAZEZETA?
Huyo mgombea wenu tarehe 30 aanze kutafuta flemu hapo kariakoo anze biashara, kisha atapata elimu ya mlipa kodi huko.Tunataka kizazi Cha kuhoji. Tundu Lissu kaonyesha njia.
MAGUFULI anataka kutuziba mdomo, anunue ndege Kama karanga tusiulize kwanini Hilo Jambo halikupitia bungeni.
Mnataka tuwe MAZEZETA Kama mlivyo wa CHAMA CHA MAZEZETA?
Kuna watu kutozwa zaidi ya kawaida, lakini usidanganyinike, Lissu hakuuliza yale kwa nia ya kujifunza au kwa kuwa eti kwamba hajui! Lissu alikua kwenye kampeni zake, hata kama NEC wamemzuia!Kuhoji kwa aina ile inaonesha ni mtu anayejifunza kwa taabu. Huyu na wengine wako kundi la majivuno ya kijinga. Kila wakati, kila siku anaamini ufahamu ni vifungu vya sheria tu. Iweje miaka yote hiyo bungeni asijue wananchi wake wanalipaje kodi, hadi siku ya kugombea urais? Alichojifunza kwa miaka yopte hiyo ni nini?