stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 7,134
- 4,556
Wewe unafanyia kampeni ya CCM uvunguni? Kwani hapo unapoandikia ujinga wako si ni online? Mgombea wa CCM ndiyo habebeki mnatumia Polisiccm kulazimisha kupendwa
Numbers dont lie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe unafanyia kampeni ya CCM uvunguni? Kwani hapo unapoandikia ujinga wako si ni online? Mgombea wa CCM ndiyo habebeki mnatumia Polisiccm kulazimisha kupendwa
Na mtachanganyikiwa sana
Hapo ulipo huna Ubongo wewe nini mbumbumbu huna unachokijua zaidi ya kukariri zidumu fikra zisizo sahihi za mtukufu mwenyekiti wa CCM umejitoa fahamu zote hata uambiwe nini utaona wanaokusoa wanajifanya wajuaji, kesi zote ni haramu hakuna ushahidindo tatizo la kujiona mjuaji, unakuta unaongea mpaka vitu vya ajab! sasa kilichomtuma kusema wakurugenzi wameitwa dodoma ni nan? unaona sasa kilichomponza, ushahidi hana! wacha kesi zimuandame tu
Sasa anahubiri kuondoa kodi gani wakati hajui lolote kuhusu kodi?Nafkiri wewe ndiye tunatakiwa kukuliza unahoji kitendo hicho cha Lissu ukiwa kama nani???? Zaidi ya yote naona ni wewe pekeako ndo hujuwi Lissu ni nani katika jamii yetu, lakini wengine tunajua Lissu ni nani!
Kwanza ifahamike kwamba kodi inayokusanywa na serikali ni fedha umma, ndio maana hupelekwa moja kwa kwenye miradi ya maendeleo na pia kulipa mishahara watumishi wa umma.
Sasa kama kodi ni mali umma, kumbe kila mwananchi ana haki ya kuhoji chochote kuhusu malipo mpaka matumizi yake!
Wewe kibaraka wa chato acha ujinga kwani huko ubelgiji bila wewe kumpiga angefikaje? Attention za kijinga unazo wewe kwani Lisu ka kulazimisha kuwa attention?Huyo kibaraka wa beberu si alisema anataka kufuta kodi, wabelgiji wampe pesa za kuendesha nchi?. Ziara yake kariakoo,ni kutafuta attention za kijinga kabisa.
Wewe mwenyewe huna unachokijua zaidi ya kukariri zidumu fikra zisizo sahihi za mtukufu magufuli na polepoleSasa anahubiri kuondoa kodi gani wakati hajui lolote kuhusu kodi?
Wapi ulipoambiwa hajuwi lolote kuhusu kodi??? Kwasasa yeye presidential candidate, anawezaenda kuuliza ili kupata taarifa sahihi ya ili atakaposhusha nondo, watu wasianze kusema kaongea vitu visivyo sahihi au visivyothibitika! Shida tu kumkwamisha katika vita!Sasa anahubiri kuondoa kodi gani wakati hajui lolote kuhusu kodi?
Hapo ulipo huna Ubongo wewe nini mbumbumbu huna unachokijua zaidi ya kukariri zidumu fikra zisizo sahihi za mtukufu mwenyekiti wa CCM umejitoa fahamu zote hata uambiwe nini utaona wanaokusoa wanajifanya wajuaji, kesi zote ni haramu hakuna ushahidi
CCM bila Polisiccm bila Tumeccm bila mahakamaccm bila wakurugenziccm bila Msajiliccm ni weupe sana
kwa hiyo nchi itajengwa na nini kama kodi hailipwi wewe kukuLisu akiwa Rais hakuna atayelipa kodi na wote tutajua kingereza.
Upo ushahidi wewe subiria utaona au unataka uletewe hapo gheto kwa cyprian Musiba?lissu ametoa wap ushahidi wa kusema wakurugenzi wameitwa dodoma?
Wewe unatoa wapi uhalali wa kuhoji Lisu juu ya kuhoji mapungufu ya CCM?lissu ametoa wap ushahidi wa kusema wakurugenzi wameitwa dodoma?
Lissu ana wenge sana kampeni za masokoni ni za wagombea udiwani!Wewe mwenyewe huna unachokijua zaidi ya kukariri zidumu fikra zisizo sahihi za mtukufu magufuli na polepole