Mzalendo2015
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 6,710
- 9,063
Soma na hii ili ukashtaki TRA,TUME, MSAJILI, POLISI na Magufuli wako.Wewe mbwiga Chadema wanahubiri kufuta kodi kwenye sera zao, iweje waanze utafiti leo?
Wanadanganya wananchi?!!
Lissu ukishinda uchaguzi inabidi uisuke upya TRA ili kukomesha unyanyasaji wa wafanyabiashara