Uchaguzi 2020 Tundu Lissu amewahoji wafanyabiashara wanavyolipa kodi TRA kama nani?

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu amewahoji wafanyabiashara wanavyolipa kodi TRA kama nani?

K
Makamu mwenyekiti wa CHADEMA ambaye ndio mgombea urais wa JMT wa chama hicho mh Tundu Lissu amewahoji wafanyabiashara wa pembejeo sokoni kariakoo namna wanavyolipa kodi zao TRA.

Lissu alitaka pia kujua kama wafanyabiashara wana uelewa wa usahihi wa kodi wanayolipa.

Source ITV habari.

My take; Tundu Lisu amewahoji wafanyabiashara akiwa kama nani?

Maendeleo hayana vyama!
Kwani were hujui no mgombea urais yuko kwenye fact finding?Hivyo ndiyo ilipaswa kuwa hata kwa mheshimiwa sana afuatilie hali halisi ya watu wake kuliko kusema Tu msipo chagua Silinde Hamta pata maji.Nawao sijui hawata lipa kodi?
 
opinion
/əˈpɪnjən/
noun

a view or judgement formed about something, not necessarily based on fact or knowledge.
.
.
.
Sema nyie mmelogwa kwa kutetea hata visivyokweli, mkioneshwaa K mnaweza mkasema hii sio K ni Tigo.
Maoni ya mhariri!
 
K

Kwani were hujui no mgombea urais yuko kwenye fact finding?Hivyo ndiyo ilipaswa kuwa hata kwa mheshimiwa sana afuatilie hali halisi ya watu wake kuliko kusema Tu msipo chagua Silinde Hamta pata maji.Nawao sijui hawata lipa kodi?
Mbona alisema atapunguza kodi kumbe hajafanya utafiti?!!!!
 
Mbona majukwaani huwa anapayuka atapunguza kodi? Kumbe hajui hata kodi yenyewe inavyolipwa?!!!

Pumbaf wewe mwenyewe bwashee!
Ficha upumbaaf wako kwa kukaa kimya....! Tundu Lissu Ni Wakili Msomi anajua kila kitu kuhusu sheria ya Kodi!
Anajua kuna uonevu mwingi sana kwenye ulipaji wa Kodi through TRA ndiyo maana kaulizwa Swali la kichokozi makusidi...!!!
 
Makamu mwenyekiti wa CHADEMA ambaye ndio mgombea urais wa JMT wa chama hicho mh Tundu Lissu amewahoji wafanyabiashara wa pembejeo sokoni kariakoo namna wanavyolipa kodi zao TRA.

Lissu alitaka pia kujua kama wafanyabiashara wana uelewa wa usahihi wa kodi wanayolipa.

Source ITV habari.

My take; Tundu Lisu amewahoji wafanyabiashara akiwa kama nani?

Maendeleo hayana vyama!
Kwani katiba inazuia mgombea kuuliza maswalii wapiga kura?
 
Ujinga unaongezeka chini ya CCM Yani kuhoji tra inakataje makato ni Jambo la kushangaza aisee ondokeni mtuachie nchi yetu .
 
Ficha upumbaaf wako kwa kukaa kimya....! Tundu Lissu Ni Wakili Msomi anajua kila kitu kuhusu sheria ya Kodi!
Anajua kuna uonevu mwingi sana kwenye ulipaji wa Kodi through TRA ndiyo maana kaulizwa Swali la kichokozi makusidi...!!!
Wewe ndio mpumbavu meku!

Kupunguza/ kufuta kodi ni sera ya Chadema, huyi Lisu hajafundishwa na akina John Mrema hadi aanze kuvamia wafanyabiashara kariakoo?
 
Mbona alisema atapunguza kodi kumbe hajafanya utafiti?!!!!
Wewe ni mpuuzi wa kupuuzwa tu.
Hapo ulipo huna Biashara yoyote na hujui lolote kuhusu malipo ya Kodi!
MALALAMIKO ya Wafanyabiashara nchi hii yanajulikana kwa kila Mtz! Hili hata TRA na Magufuli wanalijua....!!
You better shut up your silly mouth than continue shouting non-sense!
 
Makamu mwenyekiti wa CHADEMA ambaye ndio mgombea urais wa JMT wa chama hicho mh Tundu Lissu amewahoji wafanyabiashara wa pembejeo sokoni kariakoo namna wanavyolipa kodi zao TRA.

Lissu alitaka pia kujua kama wafanyabiashara wana uelewa wa usahihi wa kodi wanayolipa.

Source ITV habari.

My take; Tundu Lisu amewahoji wafanyabiashara akiwa kama nani?

Maendeleo hayana vyama!
Hivi hii HOFU yote mnatoa wapi aisee?

You people will die alone kwa HOFU tu...

We cant help ya!
 
Anataka kusuka rasta
Yanihusu vp wakati anagombea uraisi? vp na wewe zmekuruka? alafu mwambieni achane nywele bana, anagombea position kubwa sana: mambo ya kwenda sehem bila kuchana nywele yaishie kwenye lile jengo la kupangisha pale ufipa
 
Wewe ndio mpumbavu meku!

Kupunguza/ kufuta kodi ni sera ya Chadema, huyi Lisu hajafundishwa na akina John Mrema hadi aanze kuvamia wafanyabiashara kariakoo?
Wewe vipi?
Do you think everybody is a Chaga by tribe a.k.a Meku? I am NOT! Hemu tuondolee uchizi wako hapa JF!
 
Ujinga unaongezeka chini ya CCM Yani kuhoji tra inakataje makato ni Jambo la kushangaza aisee ondokeni mtuachie nchi yetu .
Wewe mbwiga Chadema wanahubiri kufuta kodi kwenye sera zao, iweje waanze utafiti leo?

Wanadanganya wananchi?!!
 
Makamu mwenyekiti wa CHADEMA ambaye ndio mgombea urais wa JMT wa chama hicho mh Tundu Lissu amewahoji wafanyabiashara wa pembejeo sokoni kariakoo namna wanavyolipa kodi zao TRA.

Lissu alitaka pia kujua kama wafanyabiashara wana uelewa wa usahihi wa kodi wanayolipa.

Source ITV habari.

My take; Tundu Lisu amewahoji wafanyabiashara akiwa kama nani?

Maendeleo hayana vyama!
Amehoji yeye kama Lissu! Tatizo wengi wenu, Bwashee mmeshikiwa akili na chakubanga! Fikiria nje ya 📦, hata Wewe unaweza kuhoji tu!
 
Wewe ndio mpumbavu meku!

Kupunguza/ kufuta kodi ni sera ya Chadema, huyi Lissu hajafundishwa na akina John Mrema hadi aanze kuvamia wafanyabiashara kariakoo?
So hopeless! it seems wewe na chakubanga ni mapacha.
 
Huyo wa kwenu anayechana nywele ana nn kichwani? Shida yenu mna akili za kula rambirambi tu na siyo mambo mengine.

Kwani basi huyo wa kwao hata hizo nywele anazo zaidi ya Kipara na Kichwa chenye Nundu?🤣🤣
 
Amehoji yeye kama Lissu! Tatizo wengi wenu, Bwashee mmeshikiwa akili na chakubanga! Fikiria nje ya 📦, hata Wewe unaweza kuhoji tu!

Tatizo la huyu mpuuzi toka Lumumba hajawahi fanya Biashara yoyote ndo maana anaona mtu kuhoji mambo ya Kodi/TRA kwake ni kosa la jinai!!
Pambaf zake!
 
Back
Top Bottom