Uchaguzi 2020 Tundu Lissu amewahoji wafanyabiashara wanavyolipa kodi TRA kama nani?

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu amewahoji wafanyabiashara wanavyolipa kodi TRA kama nani?

"Makamu mwenyekiti wa CHADEMA ambaye ndio mgombea urais wa JMT wa chama hicho mh Tundu Lissu"

Kubalini tu akili zenu azina akili.
Unauliza majibu ambayo umeelezea tayari, MaCCM mnakesha kwa kucheza mdundo wa LISSU.
 
Lissu ni rais ajaye ana wahoji ili apate njia ya kujakuwapunguzia maumivu ya kodi waliorundikiwa na serekali ya Magufuli.
 
Lissu anaweza akawa ana pointi za msingi sana za maisha ya wananchi ila the way he acts kwa binadam wengine ni kama wengine ni takataka, sasa kwenye issue kama izi Mungu anafanyaga ufundi wake vizuri, anasema! UKijishusha anakuinua, ukijipandisha jiandae kupata aibu
Mkuu unaanza kuchanganyikiwa sasa,hueleweki.
 
Unajua Jo umejaa upumbav u mwingi sana halafu wala huoni aibu kuonesha kiwango chako cha upumbavu
Sio account yako Mashana Jr hii

Mashana hajawahi kuwa mpumbavu kama huyu aliyeandika matusi na ujinga huu

Jinga Sana wewe!!!
 
Makamu mwenyekiti wa CHADEMA ambaye ndio mgombea urais wa JMT wa chama hicho mh Tundu Lissu amewahoji wafanyabiashara wa pembejeo sokoni kariakoo namna wanavyolipa kodi zao TRA.

Lissu alitaka pia kujua kama wafanyabiashara wana uelewa wa usahihi wa kodi wanayolipa.

Source ITV habari.

My take; Tundu Lisu amewahoji wafanyabiashara akiwa kama nani?

Maendeleo hayana vyama!
Kama Mtanzania mwenye haki na nchi yake kama alivyo Magufuli
 
Makamu mwenyekiti wa CHADEMA ambaye ndio mgombea urais wa JMT wa chama hicho mh Tundu Lissu amewahoji wafanyabiashara wa pembejeo sokoni kariakoo namna wanavyolipa kodi zao TRA.

Lissu alitaka pia kujua kama wafanyabiashara wana uelewa wa usahihi wa kodi wanayolipa.

Source ITV habari.

My take; Tundu Lisu amewahoji wafanyabiashara akiwa kama nani?

Maendeleo hayana vyama!

Wewe ni pumbaaaf......!!!Yaani unauliza Swali halafu una Jibu mwenyewe!
Lissu ana kila HAKI ya kuwahoji wafanyabiashara wanalipaje Kodi kama Makamu Mwenyekiti CHADEMA chama Kikuu Cha Upinzani kinachotegemewa kuchukua dola....! Upo??
 
Makamu mwenyekiti wa CHADEMA ambaye ndio mgombea urais wa JMT wa chama hicho mh Tundu Lissu amewahoji wafanyabiashara wa pembejeo sokoni kariakoo namna wanavyolipa kodi zao TRA.

Lissu alitaka pia kujua kama wafanyabiashara wana uelewa wa usahihi wa kodi wanayolipa.

Source ITV habari.

My take; Tundu Lisu amewahoji wafanyabiashara akiwa kama nani?

Maendeleo hayana vyama!
Kama raia wa nchi hii, katiba haimkatazi.
 
Wewe ni pumbaaaf......!!!
Lissu ana HAKI ya kuwahoji wafanyaboashara wanalipaje Kodi kama Makamu Mwenyekiti CHADEMA chama Kikuu Cha Upinzani kinachotegemewa kuchukua dola....! Upo??
Mbona majukwaani huwa anapayuka atapunguza kodi? Kumbe hajui hata kodi yenyewe inavyolipwa?!!!

Pumbaf wewe mwenyewe bwashee!
 
Hata swali ni maoni pia bwashee!
opinion
/əˈpɪnjən/
noun

a view or judgement formed about something, not necessarily based on fact or knowledge.
.
.
.
Sema nyie mmelogwa kwa kutetea hata visivyokweli, mkioneshwaa K mnaweza mkasema hii sio K ni Tigo.
 
Back
Top Bottom