Uchaguzi 2020 Tundu Lissu amewahoji wafanyabiashara wanavyolipa kodi TRA kama nani?

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu amewahoji wafanyabiashara wanavyolipa kodi TRA kama nani?

Don’t worry, wazazi wako au watoto wako watakufa kifo kibaya sana. Watakao waua wala hawatakosea maagizo ya akili zao. Hilo nakuombea sana likukute

And you will as well die someday! sio ata nakuombea but just be sure you will be gone someday! in anyway unayojaribu kuifanya kama sala let God stick to his rules, kwa sababu hata BC ilikua halali mtu kuuliwa akitenda dhambi , mfano wale wazinzi walikua wanapigwa mawe mpaka wanakufa! whats new sasa unataka kuelezea?
 
Wasiojulikana zaidi ya wanne na risasi full magazine walishindwa maneno yako ndio hata hayamfanyo chochote

Mm sina ata shida nae mm nmeuliza tu, Kwanza jinsi nlivokua nateseka na hii route ya mwenge mpaka buguruni alafu nkimskiliza uyo dogo, nadhan ni wa kunyoosha tu!
 
Au unajua Hana uwezo kwakuwa hamkumlipa stahiki zake na kazi yake mlimpora kikatili.

uwezo upi huo unaongelea? singida amekua mbunge miaka mingap? ushafika singida lakini? sidhan hata kama imequalify kua manispaa, ndo anataka kuongoza tanzania? NO PLZ
 
Tangaza nchi ya chama kimoja basi

kuna wapinzani ambao wanajitahidi, hata chadema kuna wanaojitahidi sana kwa sera nzuri na uwakilishi mzuri, my problem ni huyu mgombea uraisi wenu! hata kuchana nywele hachani na anagombea nafasi ya juu kabisa nchini, yuko rough sana!


kwa mfano huyu dogo ni chadema lakini anatoa nondo zmetulia, kwann nisimpigie kura! na wengine wengi including vyama vingine!
mm inaniuma sana anavosema sjui kuleni fly over na jinsi napigika na route ya mwenge buguruni, alafu nkimskiliza nashangaa kwann moshi walimkosa na mawe, sjui walirusha vp wakawa wanamkosa
 
uwezo upi huo unaongelea? singida amekua mbunge miaka mingap? ushafika singida lakini? sidhan hata kama imequalify kua manispaa, ndo anataka kuongoza tanzania? NO PLZ
Umesahau,maendeleo ya Singida haha kuwa na chama.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Umesahau,maendeleo ya Singida haha kuwa na chama.

Lissu anaweza akawa ana pointi za msingi sana za maisha ya wananchi ila the way he acts kwa binadam wengine ni kama wengine ni takataka, sasa kwenye issue kama izi Mungu anafanyaga ufundi wake vizuri, anasema! UKijishusha anakuinua, ukijipandisha jiandae kupata aibu
 
Makamu mwenyekiti wa CHADEMA ambaye ndio mgombea urais wa JMT wa chama hicho mh Tundu Lissu amewahoji wafanyabiashara wa pembejeo sokoni kariakoo namna wanavyolipa kodi zao TRA.

Lissu alitaka pia kujua kama wafanyabiashara wana uelewa wa usahihi wa kodi wanayolipa.

Source ITV habari.

My take; Tundu Lisu amewahoji wafanyabiashara akiwa kama nani?

Maendeleo hayana vyama!
Ujue ww jamaa unanifanya nisikitike kuitwa John!?
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Lissu anaweza akawa ana pointi za msingi sana za maisha ya wananchi ila the way he acts kwa binadam wengine ni kama wengine ni takataka, sasa kwenye issue kama izi Mungu anafanyaga ufundi wake vizuri, anasema! UKijishusha anakuinua, ukijipandisha jiandae kupata aibu
Tofautisha kujiinua katika dhambi na kujiinua katika haki.Mungu anazidi kumwinua anayepigania haki na sii vinginevyo.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Makamu mwenyekiti wa CHADEMA ambaye ndio mgombea urais wa JMT wa chama hicho mh Tundu Lissu amewahoji wafanyabiashara wa pembejeo sokoni kariakoo namna wanavyolipa kodi zao TRA.

Lissu alitaka pia kujua kama wafanyabiashara wana uelewa wa usahihi wa kodi wanayolipa.

Source ITV habari.

My take; Tundu Lisu amewahoji wafanyabiashara akiwa kama nani?

Maendeleo hayana vyama!
Hiyo "My take" itendee haki acha umburula. Ulitakiwa utoe maoni yako sio unauliza swali.
 
  • Kicheko
Reactions: BAK
Kwani wewe ni nani,na unauliza kama nani,sura kama nyani anayekula majani acha upunguani,kwanini unacheza juani,vaa miwani,yoo yoo oh yeah.
This by far is quote of the week. Thank you 🙏🏽 Mkuu 👊🏽👊🏽👊🏽👊🏽
 
Makamu mwenyekiti wa CHADEMA ambaye ndio mgombea urais wa JMT wa chama hicho mh Tundu Lissu amewahoji wafanyabiashara wa pembejeo sokoni kariakoo namna wanavyolipa kodi zao TRA.

Lissu alitaka pia kujua kama wafanyabiashara wana uelewa wa usahihi wa kodi wanayolipa.

Source ITV habari.

My take; Tundu Lisu amewahoji wafanyabiashara akiwa kama nani?

Maendeleo hayana vyama!
Mtafiti
 
Hiyo "My take" itendee haki acha umburula. Ulitakiwa utoe maoni yako sio unauliza swali.
Akiwa kama mgombea HALALI wa URAIS Jamhuri ya muungano sawa na huyo unayemdhania eote wana haki sawa ili tuwapime. Kura za wa Tz zitaamua usishangae yajayo ikawa pressure.
 
Mimi hapo ndiyo huwa nashindwa kuelewa mindset ya MaCCM. Ni IQ problem? Wewe umeshangaa kuona anahoji? Unbelievable
Mkuu usiwaze sana huwa yanakabidhi akili kwa Polepole yanabaki na makopo tu yasiyokuwa na akili! Vichwa vimebaki vya kufugia chawa!
 
Mleta Mada Acha Punic
Anauliza Kama Mtanzania Yoyote Anavyoweza Kutaka Kujua
Bila Kuvunja Sheria, Kanuni, Taratibu Za Nchi Yetu
Punguzeni Nongwa Kuuliza Siyo Dhambi!!!
 
Back
Top Bottom