Uchaguzi 2020 Tundu Lissu amewahoji wafanyabiashara wanavyolipa kodi TRA kama nani?

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu amewahoji wafanyabiashara wanavyolipa kodi TRA kama nani?

Huyo kibaraka wa beberu si alisema anataka kufuta kodi, wabelgiji wampe pesa za kuendesha nchi?. Ziara yake kariakoo,ni kutafuta attention za kijinga kabisa.
 
Huyo wa kwenu anayechana nywele ana nn kichwani? Shida yenu mna akili za kula rambirambi tu na siyo mambo mengine.

siasa zenu tumshazizoea na hakuna kipya mtasema! mfundisheni mgombea wenu awe neat kama wagombea wengine wanavojiweka
 
Mdomo ni wako na pumzi ni yako..., hata akili ni yako pia..., nani anaweza kukuzuia kuhoji chochote ukizingatia wewe pia ni mdau wa kinachofanywa na kile unachokihoji
 
Amehoji yeye kama Lissu! Tatizo wengi wenu, Bwashee mmeshikiwa akili na chakubanga! Fikiria nje ya 📦, hata Wewe unaweza kuhoji tu!
Kuhoji kwa aina ile inaonesha ni mtu anayejifunza kwa taabu. Huyu na wengine wako kundi la majivuno ya kijinga. Kila wakati, kila siku anaamini ufahamu ni vifungu vya sheria tu. Iweje miaka yote hiyo bungeni asijue wananchi wake wanalipaje kodi, hadi siku ya kugombea urais? Alichojifunza kwa miaka yopte hiyo ni nini?
 
siasa zenu tumshazizoea na hakuna kipya mtasema! mfundisheni mgombea wenu awe neat kama wagombea wengine wanavojiweka
Kipya kipi kipo CCM? Kwani kero ni mpya? Kero zote zipo tokea 2015 mpaka sasa
 
kesi zake wamesema ztaskilizwa mfululizo, kwahio ajiandae kisaikolojia
Kesi za kubambikiwa kishetani ajiandae kisakolojia kivipi? Dubai kote wanajua upumbavu wenu mungu atamlinda dhidi ya ushetani wenu
 
Kesi za kubambikiwa kishetani ajiandae kisakolojia kivipi? Dubai kote wanajua upumbavu wenu mungu atamlinda dhidi ya ushetani wenu

ndo tatizo la kujiona mjuaji, unakuta unaongea mpaka vitu vya ajab! sasa kilichomtuma kusema wakurugenzi wameitwa dodoma ni nan? unaona sasa kilichomponza, ushahidi hana! wacha kesi zimuandame tu
 
Makamu mwenyekiti wa CHADEMA ambaye ndio mgombea urais wa JMT wa chama hicho mh Tundu Lissu amewahoji wafanyabiashara wa pembejeo sokoni kariakoo namna wanavyolipa kodi zao TRA.

Lissu alitaka pia kujua kama wafanyabiashara wana uelewa wa usahihi wa kodi wanayolipa.

Chanzo: ITV habari.

My take; Tundu Lisu amewahoji wafanyabiashara akiwa kama nani?

Maendeleo hayana vyama!
Kuhoji kwamba kwanini WAKULIMA wa KOROSHO huko kusini walioporwa KOROSHO zao kifashist unatakiwa uwe na cheo? Kwamba tumeongezewa tozo/makato ya mikopo ya elimu ya juu toka 8- 15% bila hata kushirikishwa lazima uwe naa
Alishawahi kuhoji wizi wa billion 8 za michango ya wabunge wa Chadema?
Mpumbavu wewe
 
hawa praise team ya ufipa mnajitahidi kumfanyia kampeni online lakini ndo kwanza habebeki
Wewe unafanyia kampeni ya CCM uvunguni? Kwani hapo unapoandikia ujinga wako si ni online? Mgombea wa CCM ndiyo habebeki mnatumia Polisiccm kulazimisha kupendwa
 
Back
Top Bottom