Madimba jr
JF-Expert Member
- Aug 12, 2017
- 1,577
- 3,146
we unauliza kama nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aache kujipendekeza kwenye chama cha Mbowe.Kama makamu mwenyekiti wa CHADEMA na pia kama mmoja wa wanaoandaa sera za CHADEMA
Mkuu vipi mbona unafokea mtuUnajua Jo umejaa upumbavu mwingi sana halafu wala huoni aibu kuonesha kiwango chako cha upumbavu
Mayanga Construction 🤒
Huyo wa kwenu anayechana nywele ana nn kichwani? Shida yenu mna akili za kula rambirambi tu na siyo mambo mengine.
Mkuu unaanza kuchanganyikiwa sasa,hueleweki.
anza na kuokota makopo majalalani kabisa kabla ya october 30
Kuhoji kwa aina ile inaonesha ni mtu anayejifunza kwa taabu. Huyu na wengine wako kundi la majivuno ya kijinga. Kila wakati, kila siku anaamini ufahamu ni vifungu vya sheria tu. Iweje miaka yote hiyo bungeni asijue wananchi wake wanalipaje kodi, hadi siku ya kugombea urais? Alichojifunza kwa miaka yopte hiyo ni nini?Amehoji yeye kama Lissu! Tatizo wengi wenu, Bwashee mmeshikiwa akili na chakubanga! Fikiria nje ya 📦, hata Wewe unaweza kuhoji tu!
Kipya kipi kipo CCM? Kwani kero ni mpya? Kero zote zipo tokea 2015 mpaka sasasiasa zenu tumshazizoea na hakuna kipya mtasema! mfundisheni mgombea wenu awe neat kama wagombea wengine wanavojiweka
Walikosea sababu haikuwa mpango wa Mungu kama ilivyokosewa kwa yai lililotunga mimba ya stakehigh pale kwenye mkesha wa mbio za mwenge baada ya condom kukosekana.
Kipya kipi kipo CCM? Kwani kero ni mpya? Kero zote zipo tokea 2015 mpaka sasa
Kesi za kubambikiwa kishetani ajiandae kisakolojia kivipi? Dubai kote wanajua upumbavu wenu mungu atamlinda dhidi ya ushetani wenukesi zake wamesema ztaskilizwa mfululizo, kwahio ajiandae kisaikolojia
Kesi za kubambikiwa kishetani ajiandae kisakolojia kivipi? Dubai kote wanajua upumbavu wenu mungu atamlinda dhidi ya ushetani wenu
Kuhoji kwamba kwanini WAKULIMA wa KOROSHO huko kusini walioporwa KOROSHO zao kifashist unatakiwa uwe na cheo? Kwamba tumeongezewa tozo/makato ya mikopo ya elimu ya juu toka 8- 15% bila hata kushirikishwa lazima uwe naaMakamu mwenyekiti wa CHADEMA ambaye ndio mgombea urais wa JMT wa chama hicho mh Tundu Lissu amewahoji wafanyabiashara wa pembejeo sokoni kariakoo namna wanavyolipa kodi zao TRA.
Lissu alitaka pia kujua kama wafanyabiashara wana uelewa wa usahihi wa kodi wanayolipa.
Chanzo: ITV habari.
My take; Tundu Lisu amewahoji wafanyabiashara akiwa kama nani?
Maendeleo hayana vyama!
Mpumbavu weweAlishawahi kuhoji wizi wa billion 8 za michango ya wabunge wa Chadema?
Wewe unafanyia kampeni ya CCM uvunguni? Kwani hapo unapoandikia ujinga wako si ni online? Mgombea wa CCM ndiyo habebeki mnatumia Polisiccm kulazimisha kupendwahawa praise team ya ufipa mnajitahidi kumfanyia kampeni online lakini ndo kwanza habebeki
Hayo mambo ya kugombea viti yapo ccm lisu anawania Uraisi