Uchaguzi 2020 Tundu Lissu amewahoji wafanyabiashara wanavyolipa kodi TRA kama nani?

Mi sidhan kama kuna shida hapo nadhani hata ww unaweza kwenda karikoo ukawauliza wale jamaa na ukapata majibu
 
Na kesho atakuwa uw Taifa!!🤣🤣🤣aende tu Na FIESTA yake.Wanavijiji awali flyover na madaraja au intersections au mapantoni!! 2020 is Fucking the Wrong Ninger for You and your Chama🤣🤣🤣🤣

You talk too much, haya apa bila wasanii
 
Kama Tundu Lissu
 
Rais mtarajiwa wa JMT
 
Mkuu PhD zinazidi kudhalilika
 
Labda nikuulize pia na wewe unahoji hilo la Lisu kama nani?
 
na wewe unahoji kuhoji kwa Tundu Lisu kama nani?
 

Kama mlipa kodi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…