Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukisikia Mataga ndo huyo mtoa uziAlikuwa mbunge
Raisi TLS
Mwenyekit kaimu Chadema
Mgombea uraisi chadema
Haya wewe ni naniii
Hamtaki watu waelemishwe eee
SureMi sidhan kama kuna shida hapo nadhani hata ww unaweza kwenda karikoo ukawauliza wale jamaa na ukapata majibu
Na kesho atakuwa uw Taifa!!🤣🤣🤣aende tu Na FIESTA yake.Wanavijiji awali flyover na madaraja au intersections au mapantoni!! 2020 is Fucking the Wrong Ninger for You and your Chama🤣🤣🤣🤣
Angalau umenifurahishaUnajua Jo umejaa upumbavu mwingi sana halafu wala huoni aibu kuonesha kiwango chako cha upumbavu
Kama Tundu LissuMakamu mwenyekiti wa CHADEMA ambaye ndio mgombea urais wa JMT wa chama hicho mh Tundu Lissu amewahoji wafanyabiashara wa pembejeo sokoni kariakoo namna wanavyolipa kodi zao TRA.
Lissu alitaka pia kujua kama wafanyabiashara wana uelewa wa usahihi wa kodi wanayolipa.
Chanzo: ITV habari.
My take; Tundu Lisu amewahoji wafanyabiashara akiwa kama nani?
Maendeleo hayana vyama!
Rais mtarajiwa wa JMTMakamu mwenyekiti wa CHADEMA ambaye ndio mgombea urais wa JMT wa chama hicho mh Tundu Lissu amewahoji wafanyabiashara wa pembejeo sokoni kariakoo namna wanavyolipa kodi zao TRA.
Lissu alitaka pia kujua kama wafanyabiashara wana uelewa wa usahihi wa kodi wanayolipa.
Chanzo: ITV habari.
My take; Tundu Lisu amewahoji wafanyabiashara akiwa kama nani?
Maendeleo hayana vyama!
Mkuu PhD zinazidi kudhalilikaWe suppose to focus according our direction according our environment that's only way we can help our peoples no body should come and say that he is there to save the problems of our peoples we are the one we are leader we suppose to change the direction ...
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda nikuulize pia na wewe unahoji hilo la Lisu kama nani?Makamu mwenyekiti wa CHADEMA ambaye ndio mgombea urais wa JMT wa chama hicho mh Tundu Lissu amewahoji wafanyabiashara wa pembejeo sokoni kariakoo namna wanavyolipa kodi zao TRA.
Lissu alitaka pia kujua kama wafanyabiashara wana uelewa wa usahihi wa kodi wanayolipa.
Chanzo: ITV habari.
My take; Tundu Lisu amewahoji wafanyabiashara akiwa kama nani?
Maendeleo hayana vyama!
Embu mfokee kidogo kuonyesha hujapendezwa na uzwazwa wakeLabda nikuulize pia na wewe unahoji hilo la Lisu kama nani?
Nenda kwenye kampeni kamuulize, unaniuliza mimi kwani mimi msemaji wake?Sasa kwenye kampeni anahubiri kufuta kodi gani?!
na wewe unahoji kuhoji kwa Tundu Lisu kama nani?Makamu mwenyekiti wa CHADEMA ambaye ndio mgombea urais wa JMT wa chama hicho mh Tundu Lissu amewahoji wafanyabiashara wa pembejeo sokoni kariakoo namna wanavyolipa kodi zao TRA.
Lissu alitaka pia kujua kama wafanyabiashara wana uelewa wa usahihi wa kodi wanayolipa.
Chanzo: ITV habari.
My take; Tundu Lisu amewahoji wafanyabiashara akiwa kama nani?
Maendeleo hayana vyama!
Makamu mwenyekiti wa CHADEMA ambaye ndio mgombea urais wa JMT wa chama hicho mh Tundu Lissu amewahoji wafanyabiashara wa pembejeo sokoni kariakoo namna wanavyolipa kodi zao TRA.
Lissu alitaka pia kujua kama wafanyabiashara wana uelewa wa usahihi wa kodi wanayolipa.
Chanzo: ITV habari.
My take; Tundu Lisu amewahoji wafanyabiashara akiwa kama nani?
Maendeleo hayana vyama!