Uchaguzi 2020 Tundu Lissu amewasilisha barua kwa Katibu Mkuu wa CHADEMA kuomba kuteuliwa kugombea Urais wa Tanzania

Mimi lissu akigombea nitampigiaa kampeni mikoa mitatu bure japo kutangazwa Ni kazi kwa tume hii
 
Maajabu hayatoisha. Lissu awe rais....! Hahaaa aisee! Linaweza kuwa ajabu jingine la Dunia.
Hili ajabu haliwezi kutokea. Anabwabwaja tu Lissu awe rais! Hi saccos iangalie namna ya kupata wabunge ili mwenyekiti aendelee kuchangiwa laki 5 kila mwezi mil 1.5 kila kila mwezi toka viti maalumu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tumekuwa watu wa uzushi tu
 
Lisu anategeme kura za huruma kama mlemvu wa kuomba pesa pale ubungo stand
Jiwe hapo, kashaanza kuingiwa kiwewe, mtamuua jiwe jamani.

Twende na lisu 2020.
 
Kaja lini tz, au barua ametuma kwa Fedex/ DHL.
Ngoja nisubilie taarifa sahihi kutoka watu wa lumumba na ufipa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…