Unajua brother, Kuna watu waliona aibu kutawaliwa na Baba wa Taifa, na wengine Mwinyi, n.k. Bado Kuna wasiona ubora wa huyu aloyepo. Lakini kwakuwa wananchi waliamu, tuakubali kilicho amuliwa. Wewe aibu unayoiona kwa Lisu wengine hawaioni? Unajua pia kuwa watu wengine wanajiuliza mkeo alikupendea Nini? Wanaona aibu. Lakini mkeo anajua ubora wako. Waache wana wa nchi hiii waamue hatima ya usiyempenda!
Mkuu ungeshauri nani agombee pale chedema kwa mtazamo wako binafsiLisu atatia aibu maana atapata kura amabazo hata alipogombea ubunge zilikuwa nyingi
Tundu lissu ni sociopath huwezi kushindana na chizi utegemee wananchi wamchagueWananchi wataamua wanamtaka nani, tungependa tume itende haki.pia ikiwezekana uandaliwe mdahalo Wa kiingereza kwa wagombea wote Wa urais.
Mimi ningemshauri agombee Urais wa Wasafi au Urais wa Mashoga siyo huu wa Tanzania ambao anadhani anaweza kuchaguliwa akiwa Ubeligiji kama Umakamu Mwenyekiti ChademaKuwa wa kwanza kufahamu kwamba yule mtu aliyesubiriwa kwa hamu na Watanzania , ameanza ule mchakato muhimu .
View attachment 1468548
Taarifa zinaonyesha kwamba maombi ya watanzania yamejibiwa baada ya Mh Lissu kuandika barua kwenye chama chake akiomba kufikiriwa kwenye uteuzi wa kugombea Urais wa Tanzania kwenye uchaguzi utakaopigwa octoba 2020 .
Siku yoyote kuanzia sasa ataongea na Wananchi moja kwa moja .
Je usalama wake ungekuwaje ?kama qngerudiAlionekana nchi nyingine akitalii badala ya kurudi kisutu kusikiliza hukumu yake
Ataongea kutoka ukumbi upi hujasema press yake ni wapi sisi waandishi wa habari tuendeKuwa wa kwanza kufahamu kwamba yule mtu aliyesubiriwa kwa hamu na Watanzania , ameanza ule mchakato muhimu .
View attachment 1468548
Taarifa zinaonyesha kwamba maombi ya watanzania yamejibiwa baada ya Mh Lissu kuandika barua kwenye chama chake akiomba kufikiriwa kwenye uteuzi wa kugombea Urais wa Tanzania kwenye uchaguzi utakaopigwa octoba 2020 .
Siku yoyote kuanzia sasa ataongea na Wananchi moja kwa moja .
Na hizo atazisomba sana tu.Jpm Mbele ya lissu ana kibarua cha ziada, labda amwagize mwenyekiti Wa tume Siku ya lissu kuchukua fomu afunge ofisi kama walivyofanya watendaji serikali za mitaa.Kura za huruma, I survive to tell the tell
Wananchi wataamua wenyewe bila kujali uwepo wa hiyo tume mnayoitegemea iwafanyie kazi.Ndio mlinde kura kama lowasa
Chama kilichokufa bdo mnapambana kwa kutumia mapolisccm kuweka ndani viongozi wake?Kwa chadema hii ilikufa
Rias yupi alikubali kushindwaKushinda hawezi kushinda shida huyu bwana si rahisi kukubali kushindwa je amejiandaaje?
Tume yako imesema wakala kupewa nakala ya matokeo sio lazima.Zitalindwa na mungu mkuuMtalinda tena kama mlivyolinda za lowasa
Matusi ndiyo lugha yenu LumumbaUwazimu huo vipi. Unaaashwa wewe sio siri unatafuta wa kukukuna humu
Lissu aache tamaa ya madaraka, ataongozaje nchi na huo ulemavu?
Wachaga wanamtumia kama walivyowatumia kina Silinde, Lijualikali, Prof Safari, Lwakatare.
Hawana mgombea watulie tu kwani lazima wagombee kuna vyama huwa haviweki wagombea kwa sababu kama hiziMkuu ungeshauri nani agombee pale chedema kwa mtazamo wako binafsi
Sent using Jamii Forums mobile app