Uchaguzi 2020 Tundu Lissu amewasilisha barua kwa Katibu Mkuu wa CHADEMA kuomba kuteuliwa kugombea Urais wa Tanzania

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu amewasilisha barua kwa Katibu Mkuu wa CHADEMA kuomba kuteuliwa kugombea Urais wa Tanzania

So nyie wanawake lisu mmempendea nini
Unajua brother, Kuna watu waliona aibu kutawaliwa na Baba wa Taifa, na wengine Mwinyi, n.k. Bado Kuna wasiona ubora wa huyu aloyepo. Lakini kwakuwa wananchi waliamu, tuakubali kilicho amuliwa. Wewe aibu unayoiona kwa Lisu wengine hawaioni? Unajua pia kuwa watu wengine wanajiuliza mkeo alikupendea Nini? Wanaona aibu. Lakini mkeo anajua ubora wako. Waache wana wa nchi hiii waamue hatima ya usiyempenda!
 
Kila muhula chaguo la Mungu jipya hutokea na kutoweka.
 
Wananchi wataamua wanamtaka nani, tungependa tume itende haki.pia ikiwezekana uandaliwe mdahalo Wa kiingereza kwa wagombea wote Wa urais.
Tundu lissu ni sociopath huwezi kushindana na chizi utegemee wananchi wamchague
 
Kila muhula chaguo la Mungu jipya hutokea na kutoweka.
 
Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba yule mtu aliyesubiriwa kwa hamu na Watanzania , ameanza ule mchakato muhimu .

View attachment 1468548

Taarifa zinaonyesha kwamba maombi ya watanzania yamejibiwa baada ya Mh Lissu kuandika barua kwenye chama chake akiomba kufikiriwa kwenye uteuzi wa kugombea Urais wa Tanzania kwenye uchaguzi utakaopigwa octoba 2020 .

Siku yoyote kuanzia sasa ataongea na Wananchi moja kwa moja .
Mimi ningemshauri agombee Urais wa Wasafi au Urais wa Mashoga siyo huu wa Tanzania ambao anadhani anaweza kuchaguliwa akiwa Ubeligiji kama Umakamu Mwenyekiti Chadema
 
Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba yule mtu aliyesubiriwa kwa hamu na Watanzania , ameanza ule mchakato muhimu .

View attachment 1468548

Taarifa zinaonyesha kwamba maombi ya watanzania yamejibiwa baada ya Mh Lissu kuandika barua kwenye chama chake akiomba kufikiriwa kwenye uteuzi wa kugombea Urais wa Tanzania kwenye uchaguzi utakaopigwa octoba 2020 .

Siku yoyote kuanzia sasa ataongea na Wananchi moja kwa moja .
Ataongea kutoka ukumbi upi hujasema press yake ni wapi sisi waandishi wa habari tuende
 
Ndio mlinde kura kama lowasa
Wananchi wataamua wenyewe bila kujali uwepo wa hiyo tume mnayoitegemea iwafanyie kazi.
Nimekuheshimu sana kukupa jibu hili mtu kama wewe; kwa kawaida hupuuza tu maandishi ya watu wa kundi lenu humu JF.
 
Dikteta jiwe aanze kukarabati magereza mapema. Asante Lissu baba njoo utuondolee hili lishetani katili.
 
Lissu aache tamaa ya madaraka, ataongozaje nchi na huo ulemavu?

Wachaga wanamtumia kama walivyowatumia kina Silinde, Lijualikali, Prof Safari, Lwakatare.

Acha ukabila, ingekuwa vema kama ungehamia Rwanda Burundi au Kenya! Huko ni saizi yako na siyo Tz nchi ambayo haina ukabila(no tribalism, no nepotism)!
 
Back
Top Bottom