Uchaguzi 2020 Tundu Lissu amewasilisha barua kwa Katibu Mkuu wa CHADEMA kuomba kuteuliwa kugombea Urais wa Tanzania

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu amewasilisha barua kwa Katibu Mkuu wa CHADEMA kuomba kuteuliwa kugombea Urais wa Tanzania

Mahakama ya Kisutu inamsubiri, Kheri arudi kesi zake ziishe.
 
Kwa hiyo TL anatafuta huruma ya Watanzania kwa kupigwa risasi na njama za Chadema vile vile kuwatukana Watanzania huko nje? Je, amemaliza kulipa deni analodaiwa Bungeni? Je, ni nani yupo nyuma ya kuwezesha kampeni za TL na Chadema?
 
Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba yule mtu aliyesubiriwa kwa hamu na Watanzania , ameanza ule mchakato muhimu .

View attachment 1468548

Taarifa zinaonyesha kwamba maombi ya watanzania yamejibiwa baada ya Mh Lissu kuandika barua kwenye chama chake akiomba kufikiriwa kwenye uteuzi wa kugombea Urais wa Tanzania kwenye uchaguzi utakaopigwa octoba 2020 .

Siku yoyote kuanzia sasa ataongea na Wananchi moja kwa moja .
Mwenyekiti ameridhia?
 
Ngoja tuone kama atafikisha kura za Mamvi maana atakayetangazwa anajulikana.
 
Ingekuwa ni uchaguzi. Kwa likes na dislikes bac tundulisu kashashida mapena sana.
Screenshot_20200604-201853.jpg
 
Back
Top Bottom