Uchaguzi 2020 Tundu Lissu amewasilisha barua kwa Katibu Mkuu wa CHADEMA kuomba kuteuliwa kugombea Urais wa Tanzania

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu amewasilisha barua kwa Katibu Mkuu wa CHADEMA kuomba kuteuliwa kugombea Urais wa Tanzania

Lofa lisu anataka kugombea uraisi mbowe kwenye kikao atamuuliza una shilingi ngapi za kampeni ?

halafu chadema mnachekesha na Lisu mwanasheria koko anachekesha uraisi unaombwa kwa barua au kwa kuchukua fomu ya kugombea?

mgombea kawaida huchukua fomu ya kugombea hili la kuandika barua ndio nalisikia leo toka tanzania ipate uhuru kuanzia udiwani,ubunge na uraisi mtu hajawahi andika barua ya kuomba ni anachukua fomu

Iwekwe kwenye rekodi kuwa tundu lisu ndie mtu wa kwanza Tanzania toka tanzania ipate uhuru kuomba kugombea kwa kuandika barua!! stupid
 
Lisu atatia aibu maana atapata kura amabazo hata alipogombea ubunge zilikuwa nyingi
Ha ha ha, hawa wajamaa wanahangaika mno. Kwa sasa watanzania wote walishaona nia yao ni utawala tu, na sio dhati ya moyo kutatua shida za watanzania. Kama walichemsha 2015 na backup yote waliyokuwa nayo safari hii ushindi asubuhi na mapema..
 
Lofa lisu anataka kugombea uraisi mbowe kwenye kikao atamuuliza una shilingi ngapi za kampeni ?

halafu chadema mnachekesha na Lisu mwanasheria koko anachekesha uraisi unaombwa kwa barua au kwa kuchukua fomu ya kugombea?

mgombea kawaida huchukua fomu ya kugombea hili la kuandika barua ndio nalisikia leo toka tanzania ipate uhuru kuanzia udiwani,ubunge na uraisi mtu hajawahi andika barua ya kuomba ni anachukua fomu

Iwekwe kwenye rekodi kuwa tundu lisu ndie mtu wa kwanza Tanzania toka tanzania ipate uhuru kuomba kugombea kwa kuandika barua!! stupid
Tatizo mnakurupuka sana kuwahi malipo ya elfu 7 , wanafiki wakubwa nyie !
 
Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba yule mtu aliyesubiriwa kwa hamu na Watanzania , ameanza ule mchakato muhimu .

View attachment 1468548

Taarifa zinaonyesha kwamba maombi ya watanzania yamejibiwa baada ya Mh Lissu kuandika barua kwenye chama chake akiomba kufikiriwa kwenye uteuzi wa kugombea Urais wa Tanzania kwenye uchaguzi utakaopigwa octoba 2020 .

Siku yoyote kuanzia sasa ataongea na Wananchi moja kwa moja .
Asimwache dereva wake huko Ubeljiji. Lazima ahojiwe. Nashauri polisi wasimkamate Lissu kutokana na mashtaka mbali mbali yanayomhusu kwa sababu hapo ndipo CHADEMA walipotega. Wanataka Lissu akikamatwa tu watangaze kujitoa uchaguzi wa 2020. Wanajua hawataambulia chochote na njia pekee ya kukwepa aibu ni kususia uchaguzi
 
Lisu atatia aibu maana atapata kura amabazo hata alipogombea ubunge zilikuwa nyingi
Mkuu acha kabisa ,huyu jamaa akipitishwa
na Chama chake pawepo Tume huru au
La CCM wajipange,iyo machine nyingine,
Mkapa,kikwete wanamjua vizuri,
Si wakubezwa
 
Kasha ya kampeni nana kuionja mapema.......
Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba yule mtu aliyesubiriwa kwa hamu na Watanzania , ameanza ule mchakato muhimu .

View attachment 1468548

Taarifa zinaonyesha kwamba maombi ya watanzania yamejibiwa baada ya Mh Lissu kuandika barua kwenye chama chake akiomba kufikiriwa kwenye uteuzi wa kugombea Urais wa Tanzania kwenye uchaguzi utakaopigwa octoba 2020 .

Siku yoyote kuanzia sasa ataongea na Wananchi moja kwa moja .
 
Asimwache dereva wake huko Ubeljiji. Lazima ahojiwe. Nashauri polisi wasimkamate Lissu kutokana na mashtaka mbali mbali yanayomhusu kwa sababu hapo ndipo CHADEMA walipotega. Wanataka Lissu akikamatwa tu watangaze kujitoa uchaguzi wa 2020. Wanajua hawataambulia chochote na njia pekee ya kukwepa aibu ni
vileumewahi chez draft
 
Asimwache dereva wake huko Ubeljiji. Lazima ahojiwe. Nashauri polisi wasimkamate Lissu kutokana na mashtaka mbali mbali yanayomhusu kwa sababu hapo ndipo CHADEMA walipotega. Wanataka Lissu akikamatwa tu watangaze kujitoa uchaguzi wa 2020. Wanajua hawataambulia chochote na njia pekee ya kukwepa aibu ni kususia uchaguzi
Lissu hajawahi kuogopa kukamatwa na polisi uchwara wa Tanzania , fanya uchunguzi upya
 
Lissu hajawahi kuogopa kukamatwa na polisi uchwara wa Tanzania , fanya uchunguzi upya

KESI YA DEREVA ANAYEFICHWA NA LISSU NA CHADEMA INAMHUSU LISSU PIA. NDIO MAANA GHARAMA KUBWA ZINAINGIWA ILI ASIHOJIWE NA POLISI. KWA TAARIFA YAKO SABABU ZITATAFUTWA ILI DEREVA ASIJE TANZANIA. NA AKIJA TU LAZIMA AHOJIWE NA HAPO NDIPO WEWE UTAJUA LISSU ANAHUSIKA VIPI.
 
Namuonea Huruma mikiki mikiki ya kampeni bora waruhusu tuu online campaign... Hata akipata ulaisi atutawale tuu huko facebuku
 
Lisu atatia aibu maana atapata kura amabazo hata alipogombea ubunge zilikuwa nyingi
Unavyo hangaika hadi nakumbuka kuku anayetaka kutaga kwa Mara ya kwanza
 
Endelea na kazi yako ya kusafsha masinki ya mavi
Acheni kumsumbua huyo Lissu hatafanya kampeni yoyote hapa Nchini,Kwanza ana kesi ambayo inamsubiria,Pili afya yake sio imara kwa Sasa,Tatu usalama wake Ni mdogo ndani na nje ya Chama Chake,Nne sio Presidential material Ni Mtu anayeropoka na kupayuka ovyoo,Pia anaunga mkono Ndoa za Jinsia moja na mengine mengi
 
Kumbe zaman mlikuwa mnaibiwa hv CHADEMA walikuwa mamlakani vle?acha kuwa zumbukuku dogo
Zumbukuku? Kuwa tulikuwa tunaibiwa ni suala lipo wazi. Ndio maana JPM amesimamia ili tunafaike. Wewe nawe utanufaika hata na demu wako.
 
Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba yule mtu aliyesubiriwa kwa hamu na Watanzania , ameanza ule mchakato muhimu .

View attachment 1468548

Taarifa zinaonyesha kwamba maombi ya watanzania yamejibiwa baada ya Mh Lissu kuandika barua kwenye chama chake akiomba kufikiriwa kwenye uteuzi wa kugombea Urais wa Tanzania kwenye uchaguzi utakaopigwa octoba 2020 .

Siku yoyote kuanzia sasa ataongea na Wananchi moja kwa moja .
Kumekucha...kura yangu anayo shujaa Lissu.
 
Back
Top Bottom