Mwaka huu Uchaguzi unavutia sana...Maana Upinzani kama ni kucheza karata basi wamelamba DUME.
Anajiingiza kwenye kumi nanae taraatiibuu
Kweli Tundu Lissu amerudi [emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
Tatizo huyu sumu ya risasi haijaisha kichwani. Ni mropokaji asiyejua kuwa ana mapingufu makubwa katika Tasnia ya sheria. Alituaminisha Serikali kuibana Barrick Gold tumebugi kumbe yeye ndie kilaza. Ubunge wake pia chali mahakamani. Anadhani anajua kila sheria na kiranja wa sheria nchini asichokijua sheria na siasa ni vitu viwili tofauti. Siasa ni mchezo wa kuviziana mnoMwambieni Msajili wa Vyama vya Siasa akasome Sheria ya Nembo za Taifa ya 1971 ili ajiridhishe kama Wimbo wa Taifa ni mojawapo ya Nembo za Taifa zinazolindwa kisheria kabla hajatoa vitisho vya bure kama hivi. Ataje Sheria iliyovunjwa, kama ipo, kabla hajatoa kauli za aina hii. - Tundu Lissu
Vyovyote iwavyo..!tumechoka kama Ni ugoko Basi nikuweka chuma.Nadhani Lissu aache tit for tat, hazimsaidii
Watanzania hawapendi arrogance/much know.
Angeweza kupeleka maoni yake kwa mwaanasheria wa chama, kisha Chama kikatoa statement, siyo yeye kuingia front na kuanza malumbano
Lissu ajue kuwa yeye sasa ni potential president inabidi aact presidentially, siyo kama mere activist.
Siyo lazima aseme kila kitu!
Anzeni nyie kwanzaHuyo Lissu naye apunguze kiherehere...
Mkuu japo tupo pamoja jirekebishe uandishi wako unakereketa!Huyo ndio gwiji la xheria tanzani hapo maccm milion kumi lisu pekeake .huyo jaji axeme kavunja xheria kwa kanuni ipi
Wewe ndo inaijua Sana Sheria kuliko Lissu?Tatizo huyu sumu ya risasi haijaisha kichwani. Ni mropokaji asiyejua kuwa ana mapingufu makubwa katika Tasnia ya sheria. Alituaminisha Serikali kuibana Barrick Gold tumebugi kumbe yeye ndie kilaza. Ubunge wake pia chali mahakamani. Anadhani anajua kila sheria na kiranja wa sheria nchini asichokijua sheria na siasa ni vitu viwili tofauti. Siasa ni mchezo wa kuviziana mno
Huyo Lissu naye apunguze kiherehere...
Na wewe umezidi kiherehere mkuuHuyo Lissu naye apunguze kiherehere...
Hawawezi kuifanya kwa weredi kama zamani, hawana morali tena , hata wao wamenyooshwa na hawampendi jiwe.Nape na makamba watarudishwa mkuu waifanye kazi ya technician.
Wewe mbona hujapunguza kiherehere Cha kumfuatilia lissuHuyo Lissu naye apunguze kiherehere...
Mbona yeye Msajili hakuwasiliana na Chadema moja kwa moja?Kama mteuliwa wa kugombea nafasi ya urais, Tundu Lisu anapaswa kuacha siasa za aina hii.
Angewasiliana na msajili moja kwa moja kuweka heshima kwenye nafasi yake kama mgombea wa nafasi ya urais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania.
Aache mipasho isiyo ya lazima, tunafahamu anaifahamu sheria, sasa avae u candidate.
Inawezekana hii ilikuwa ni fimbo inaandaliwa imchape sasa kaichukua mapema. Jaji anafahamu ni nn anafanya. Siasa ni mitego.Exactly!
Kama Mutungi ameyakuza, basi Lissu kayakuza zaidi.
Mambo mengine ni ya ku ignore tu.
Lissu alenge katika kuendesha kampeni yake. Haya mambo mengine madogo madogo awaachie surrogates.
Well, two wrong doesn't make right!Mbona yeye Msajili hakuwasiliana na Chadema moja kwa moja?
HakunaKama kuna Sheria imevunjwa. Wawajibishwe.