Uchaguzi 2020 Tundu Lissu amjibu Msajili wa Vyama vya Siasa kuhusu karipio la kuongeza ubeti kwenye Wimbo wa Taifa

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu amjibu Msajili wa Vyama vya Siasa kuhusu karipio la kuongeza ubeti kwenye Wimbo wa Taifa

Mwambieni Msajili wa Vyama vya Siasa akasome Sheria ya Nembo za Taifa ya 1971 ili ajiridhishe kama Wimbo wa Taifa ni mojawapo ya Nembo za Taifa zinazolindwa kisheria kabla hajatoa vitisho vya bure kama hivi. Ataje Sheria iliyovunjwa, kama ipo, kabla hajatoa kauli za aina hii. - Tundu Lissu


Tatizo huyu sumu ya risasi haijaisha kichwani. Ni mropokaji asiyejua kuwa ana mapingufu makubwa katika Tasnia ya sheria. Alituaminisha Serikali kuibana Barrick Gold tumebugi kumbe yeye ndie kilaza. Ubunge wake pia chali mahakamani. Anadhani anajua kila sheria na kiranja wa sheria nchini asichokijua sheria na siasa ni vitu viwili tofauti. Siasa ni mchezo wa kuviziana mno
 
Nadhani Lissu aache tit for tat, hazimsaidii

Watanzania hawapendi arrogance/much know.

Angeweza kupeleka maoni yake kwa mwaanasheria wa chama, kisha Chama kikatoa statement, siyo yeye kuingia front na kuanza malumbano

Lissu ajue kuwa yeye sasa ni potential president inabidi aact presidentially, siyo kama mere activist.

Siyo lazima aseme kila kitu!
Vyovyote iwavyo..!tumechoka kama Ni ugoko Basi nikuweka chuma.
 
Tatizo huyu sumu ya risasi haijaisha kichwani. Ni mropokaji asiyejua kuwa ana mapingufu makubwa katika Tasnia ya sheria. Alituaminisha Serikali kuibana Barrick Gold tumebugi kumbe yeye ndie kilaza. Ubunge wake pia chali mahakamani. Anadhani anajua kila sheria na kiranja wa sheria nchini asichokijua sheria na siasa ni vitu viwili tofauti. Siasa ni mchezo wa kuviziana mno
Wewe ndo inaijua Sana Sheria kuliko Lissu?
 
Kama mteuliwa wa kugombea nafasi ya urais, Tundu Lisu anapaswa kuacha siasa za aina hii.

Angewasiliana na msajili moja kwa moja kuweka heshima kwenye nafasi yake kama mgombea wa nafasi ya urais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania.

Aache mipasho isiyo ya lazima, tunafahamu anaifahamu sheria, sasa avae u candidate.
 
[emoji23] kama trump vile...
"Someone tell..."
 
Jamani kwamba chadema hawana watunzi wa nyimbo mpaka wabadirishe maneno ya wimbo wa taifa??Kuna ajenda hapa.wimbo unafundishwa kila kona ya nchi kwa watoto wetu.you are confusing our kids.please stop this.
 
Huko tunakoelekea na hizi political correctness watakuja kushitaki watu kwa kukosea kuimba wimbo wa Taifa, au kuimba wimbo kabla ya kuoga....,au kabla ya kupiga mswaki

Political Correctness gone Mad...
 
Kama mteuliwa wa kugombea nafasi ya urais, Tundu Lisu anapaswa kuacha siasa za aina hii.

Angewasiliana na msajili moja kwa moja kuweka heshima kwenye nafasi yake kama mgombea wa nafasi ya urais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania.

Aache mipasho isiyo ya lazima, tunafahamu anaifahamu sheria, sasa avae u candidate.
Mbona yeye Msajili hakuwasiliana na Chadema moja kwa moja?
 
Exactly!

Kama Mutungi ameyakuza, basi Lissu kayakuza zaidi.

Mambo mengine ni ya ku ignore tu.

Lissu alenge katika kuendesha kampeni yake. Haya mambo mengine madogo madogo awaachie surrogates.
Inawezekana hii ilikuwa ni fimbo inaandaliwa imchape sasa kaichukua mapema. Jaji anafahamu ni nn anafanya. Siasa ni mitego.
 
Back
Top Bottom