Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Safi kwa Mnyika.

Nshala hamna kitu.
 
Pole sana kwa walutheri wakiwemo askofu Shoo na Bagonza na waprotestant akina Askofu Mwamakula na walokole akina Askofu Mwanamapinduzi chama chenu cha Chadema wakatoliki wamechukua hatamu za chama kiko chini ya wakatoliki Lisu na Mnyika

Pole ziwafikie pia chama cha Christian Democrstic Union cha Ujerumani baba mlezi wa hiari wa Chadema kwa miaka nenda rudi
 
Safi sana naona kamati ya roho mbaya inazidi kukamilika.
Naomba Mheshimiwa mwenyekiti GODLESS LEMA awe MKURUGENZI WA ITIKADI NA UENEZI WA CHAMA.
HAPO KAMATI YA ROHO MBAYA KWA MAFISADI ITAKUWA IMEKAMILIKA KUWAPELEKEA MOTO WALE NZI WA KIJANI.
100%
 
..nilitegemea Catherine Ruge awe Naibu Katibu Mkuu.

..maadam amechaguliwa mwingine ningefurahi kama atateuliwa kuwa mmoja wa wakurugenzi wa sekretariet.
 
wajumbe wamepata posho zao?
 
Moving the right direction πŸ’ͺπŸΏπŸ™πŸΏπŸ‘ŒπŸΏ
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚TL anaogopa Mabadiliko.

Angetakiwa aanze upya na sura mpya πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…