Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Asante Mwenyekiti kwa kumwona JJ Mnyika my future President. Mnyika kwa kweli yuko vizuri!
 
Huu udini hautakiwi CHADEMA
 
Akili mgando za kiccm hizo
 
Yule Dada ambaye alikuwa Mbunge wa viti maalum anaitwa Suzan .

Huyu mama anastahili pia kupewa nafasi .

Pia Yule mama wa Bukoba Conchesta Rwamlaza na yeye Ana uwezo mkubwa sana .


Pia Chief Kalumuna Aliyekuwa Meya wa Bukoba mjini huyu jamaa anastahili kupewa nafasi .
 
sawasawa kabisa.amefanya vyema kumbakisha john mnyika, hata mimi binafsi nilitarajia hilo
 
Hizo Propaganda zenu zimeshindwa kabla hamjaanza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…