Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Nafasi moja ya Mjumbe kati ya zile sita kutoka kwa Mwenyekiti ni nafasi Ya Mzee Slaa...
 
..nilitegemea Catherine Ruge awe Naibu Katibu Mkuu.

..maadam amechaguliwa mwingine ningefurahi kama atateuliwa kuwa mmoja wa wakurugenzi wa sekretariet.
Nakuunga mkono kabisa. Pale juu alihitajika mwanamke. Catherine Ruge angefaa sana kwenye nafasi ya NKM. Au hakuwa upande pendwa?

Amandla...
 
Catherine Ruge aliteleza, mwanzoni alikuwa neutral baadaye dakika za mwisho akawa timu Mbowe, akaharibu.
Kama ni kweli, hakuharibu. Alionyesha kuwa ni mtu mwenye msimamo. Mimi nadhani alikuwa timu Lissu. Kuna watu waliteleza wakamtaja wazi kuwa ni timu Lissu. Na Bawacha ni ya Mbowe. Anastahili heshima kama yule binti mpambanaji wa Dodoma. Lakini kama mnataka watu mfano wa Hilda....

Amandla...
 
Lissu amtafutie kitengo Lema.
Jamaa mtu muhimu sana..
Lissu hawezi kumtupa Lema; ni mtu muhimu kwake na kwa Chadema.
Lissu hana budi kuwa muangalifu na Ansbert Ngurumo na ushauri wake wa kichochezi kwa chama!
 
Hivi ktk wale COVID 19 Mke wa Salim Mwalimu ni yupi ,wa Ben Kigaila je?
 
Nakuunga mkono kabisa. Pale juu alihitajika mwanamke. Catherine Ruge angefaa sana kwenye nafasi ya NKM. Au hakuwa upande pendwa?

Amandla...

..kuna mahali hapa JF nilisikia Ruge alikuwa upande wa TL.

..lakini Ruge ndio alikuwa engine, na msemaji wa Bawacha, tangu maasi ya wanawake 19.

..kwa maoni yangu sio busara kuacha kutumia uwezo na kipaji chake kukitumikia chama.
 
 
Viva chadema viva!
 
Sultan Mbowe amesha BWAGWA, bado unasumbuka na nini wewe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…