Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Poppy, huoni kwamba Mnyika kaachwa for continuity kwa sasa na anaweza kuondolewa baada ya transition?
Si unajua hata kina Timothy Apiyo na Balozi Rupia waliachwa kama Permanent Secretaries kwa muda baada ya marais wapya kuanza kazi, lakini baadaye wakaondolewa.
Si unajua hata kina Timothy Apiyo na Balozi Rupia waliachwa kama Permanent Secretaries kwa muda baada ya marais wapya kuanza kazi, lakini baadaye wakaondolewa.