Uchaguzi 2020 Tundu Lissu amuunga mkono Maalim Seif Urais Zanzibar

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu amuunga mkono Maalim Seif Urais Zanzibar

Nani kafisadi nini??? Kesi imefunguliwa wapi na katiwa hatiani na mahakama ipi???
Unahitaji kuwepo kesi? Kuthibitisha kuwa hayo mabilioni yametafunwa, tofauti na kampeni za miaka iliyopita wakitumia chopa, mgombea Urais na M/Kiti (wanachememea kwa majeraha waliopata) zamu hii wanatumia magari na ndege ndogo! Isitoshe hadi sasa hawajaweza kujibu kuhusu kutokuwa na ofisi ya chama badala yake wanaendelea kuwa wapangaji.

Wawe jasiri kuwaeleze walipa kodi hayo mabilioni ya ruzuku wameyafanyia nini yenye manufaa kitaifa. Wakiweza kufanya hivyo watakuwa na uhalali wa kuomba ridhaa ya WaTz kukabidhiwa nchi.
 
Kamanda jenga hoja acha kubwabwaja
Sasa wewe unawashwa washwa nini..
Badala ya kumpigia kampeni Mgombea wako ili akukumbuke tena kwenye teuzi ,wewe umekalia maneno tu kama Kigwa.
 
Waswahili tunasema "ukiona kenge anatoa damu masikioni ujue anakufa"
Lissu anatumia akili kufahamu matakwa ya wananchi wa Zanzibar.Si yeye t hata Mimi bila kupepesa macho ningemnadi Maalim seif Sharif Hamad kwani ndiye kipenzi Cha Wazanzibar na hata wapinzani wote wanalijua Hilo.
 
Maamuzi yote mazito ya chama huamuliwa na vikao vizito vya chama..

CHADEMA kupitia vikao vyake Halali vya kamati kuu, baraza kuu na mkutano mkuu waliteua mgombea urais wa Zanzibar

Lissu kasema kura za Zanzibar apewe Maalim Seif wa ACT wazalendo kajitamkia bila ridhaa ya kamati kuu, baraza kuu wala mkutano kuu.

CHADEMA Hayo maamuzi aliyotamka Lissu mlikaa kikao gani kuyaamua?

Mgombea wenu anavunja katiba ya CHADEMA mchana kweupe.

Sasa huyo mgombea mliyemwidhinisha kuwa agombee urais Zanzibar mbona mnatapeli mchana kweupe.
Mataga mnapigwa spana kila kukicha.
 
Unahitaji kuwepo kesi? Kuthibitisha kuwa hayo mabilioni yametafunwa, tofauti na kampeni za miaka iliyopita wakitumia chopa, mgombea Urais na M/Kiti (wanachememea kwa majeraha waliopata) zamu hii wanatumia magari na ndege ndogo! Isitoshe hadi sasa hawajaweza kujibu kuhusu kutokuwa na ofisi ya chama badala yake wanaendelea kuwa wapangaji.

Wawe jasiri kuwaeleze walipa kodi hayo mabilioni ya ruzuku wameyafanyia nini yenye manufaa kitaifa. Wakiweza kufanya hivyo watakuwa na uhalali wa kuomba ridhaa ya WaTz kukabidhiwa nchi.
Nijibu maswali yangu! Acha kuweweseka mataga mkubwa wewe!!
 
Duh.. lichama limeshindwa kila chaguzi Znz tangu 1995 hadi sasa, lakini wanaendelea kutawala kwa utapeli, hila, ghiliba, nk.. afu kila mara utaskia kinara wao: "Tunamtanguliza Mungu.."
 
Unahitaji kuwepo kesi? Kuthibitisha kuwa hayo mabilioni yametafunwa, tofauti na kampeni za miaka iliyopita wakitumia chopa, mgombea Urais na M/Kiti (wanachememea kwa majeraha waliopata) zamu hii wanatumia magari na ndege ndogo! Isitoshe hadi sasa hawajaweza kujibu kuhusu kutokuwa na ofisi ya chama badala yake wanaendelea kuwa wapangaji.

Wawe jasiri kuwaeleze walipa kodi hayo mabilioni ya ruzuku wameyafanyia nini yenye manufaa kitaifa. Wakiweza kufanya hivyo watakuwa na uhalali wa kuomba ridhaa ya WaTz kukabidhiwa nchi.
Pumba kabisa.. nani kakwambia wananchi wanahitaji ofisi ya chama??
 
Back
Top Bottom