Unahitaji kuwepo kesi? Kuthibitisha kuwa hayo mabilioni yametafunwa, tofauti na kampeni za miaka iliyopita wakitumia chopa, mgombea Urais na M/Kiti (wanachememea kwa majeraha waliopata) zamu hii wanatumia magari na ndege ndogo! Isitoshe hadi sasa hawajaweza kujibu kuhusu kutokuwa na ofisi ya chama badala yake wanaendelea kuwa wapangaji.Nani kafisadi nini??? Kesi imefunguliwa wapi na katiwa hatiani na mahakama ipi???
wamewekaIna maana CHADEMA hawajaweka mgombea Zanzibar?
Sawa mbona mrema cheyo mbatia wamnadi mgombea wa ccm
Juzi magufuli alimnadi ezekia wenje kule rorya
Somo la propaganda ulipata zero huoni unampigia kampeni Lissu usiyempenda.
Sasa wewe unawashwa washwa nini..
Badala ya kumpigia kampeni Mgombea wako ili akukumbuke tena kwenye teuzi ,wewe umekalia maneno tu kama Kigwa.
Lissu anatumia akili kufahamu matakwa ya wananchi wa Zanzibar.Si yeye t hata Mimi bila kupepesa macho ningemnadi Maalim seif Sharif Hamad kwani ndiye kipenzi Cha Wazanzibar na hata wapinzani wote wanalijua Hilo.
Dk 45 ccm hoi ni mwendo wa mafuso kujaza watoto uwanjaniView attachment 1562259
Je Mgombea urais wa Chadema Zanzibar alifika ofisi za NEC kuchukua fomu ?
Mataga mnapigwa spana kila kukicha.Maamuzi yote mazito ya chama huamuliwa na vikao vizito vya chama..
CHADEMA kupitia vikao vyake Halali vya kamati kuu, baraza kuu na mkutano mkuu waliteua mgombea urais wa Zanzibar
Lissu kasema kura za Zanzibar apewe Maalim Seif wa ACT wazalendo kajitamkia bila ridhaa ya kamati kuu, baraza kuu wala mkutano kuu.
CHADEMA Hayo maamuzi aliyotamka Lissu mlikaa kikao gani kuyaamua?
Mgombea wenu anavunja katiba ya CHADEMA mchana kweupe.
Sasa huyo mgombea mliyemwidhinisha kuwa agombee urais Zanzibar mbona mnatapeli mchana kweupe.
Nijibu maswali yangu! Acha kuweweseka mataga mkubwa wewe!!Unahitaji kuwepo kesi? Kuthibitisha kuwa hayo mabilioni yametafunwa, tofauti na kampeni za miaka iliyopita wakitumia chopa, mgombea Urais na M/Kiti (wanachememea kwa majeraha waliopata) zamu hii wanatumia magari na ndege ndogo! Isitoshe hadi sasa hawajaweza kujibu kuhusu kutokuwa na ofisi ya chama badala yake wanaendelea kuwa wapangaji.
Wawe jasiri kuwaeleze walipa kodi hayo mabilioni ya ruzuku wameyafanyia nini yenye manufaa kitaifa. Wakiweza kufanya hivyo watakuwa na uhalali wa kuomba ridhaa ya WaTz kukabidhiwa nchi.
Nimekwambia hujui kinachoendelea, Ronadol akijiangusha kwenye 18 utasema hajui mpira kumbe mwenzako anatafuta penati.Kamanda propaganda ya Tundu kuuza mgombea Chadema kwa Sefu ndio kupata 100
Watajua hawajui mwaka huu
Divide and rule imefeli vibaya mwaka huu. Dadeki. Hiyo ndo akili kubwa Lissu!!ππKwahiyo na Lissu kafika bei kwa Sefu
Pumba kabisa.. nani kakwambia wananchi wanahitaji ofisi ya chama??Unahitaji kuwepo kesi? Kuthibitisha kuwa hayo mabilioni yametafunwa, tofauti na kampeni za miaka iliyopita wakitumia chopa, mgombea Urais na M/Kiti (wanachememea kwa majeraha waliopata) zamu hii wanatumia magari na ndege ndogo! Isitoshe hadi sasa hawajaweza kujibu kuhusu kutokuwa na ofisi ya chama badala yake wanaendelea kuwa wapangaji.
Wawe jasiri kuwaeleze walipa kodi hayo mabilioni ya ruzuku wameyafanyia nini yenye manufaa kitaifa. Wakiweza kufanya hivyo watakuwa na uhalali wa kuomba ridhaa ya WaTz kukabidhiwa nchi.
Kachanganyikiwa huyo!! Achana nae!! Spana za Lissu si mchezo na sasa anaweweseka tuπππPumba kabisa.. nani kakwambia wananchi wanahitaji ofisi ya chama??
kwani huyu anagombea udiwani?Ina maana CHADEMA hawajaweka mgombea Zanzibar?
Ndiyo alishachukua lkn tunampango asirudishe fomu ya kugombea uraisKina yule makamu mwenyekiti Zanzibar alipitishwa, ameishia wapi?
Hapana , yy Ni mgombea wetu kupitia Zanzibar tuUnazungumzia mgombea mwenza wa Lissu? Salum Mwalim!