Bye wapi sasa. Wabunge tu ni Zaidi ya 80%.. JPM anashinda kwa Zaidi ya 80%.Tuliza mshono dogo, mambo ya siasa waachie mabosi wako kina chakubanga ndiyo wanao jua ukweli.
Safari hii ccm ndiyo bye [emoji112]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ameiga sera ya Agostino Mrema ambaye yeye anamwunga mkono JPMSubiri kimbunga na Chadema na ACT wana mikakati mizito.
Hayo ndiyo mawazo ya wanywa gongo wanapo kuwa wanadanganyana huku wakipokezana kilauli cha gongo.Bye wapi sasa. Wabunge tu ni Zaidi ya 80%.. JPM anashinda kwa Zaidi ya 80%.
Nikiumia au nisipoumia we inakuhusu niniUnaumia kuhusu hilo?
Kwa hiyo mmeona wivu? Vipi kama angempigia debe Mwinyi? Mbona hujalalamika mwenyekiti wenu kumnadi Ezekiel Wenje kule Rorya? Chama kilifanya vikao lini vya kumwunga mkono Wenje?Wale walikaa vikao vya vyama kuamua kuunga mkono mgombea wa CCM
Hakuna kikao cha Chadema kilikaa kutengua uteuzi wa mgombea uraisi Zanzibar kupitia chadema na kuamua kuwa kinamuunga mkono Maalim Seif
Hatukatai kufunga mkono lakini wanachama maamuzi yao ni muhimu kupitia vikao vya kamati kuu na mkutano mkuu ndicho tunahoji .
Jimama26 nakupenda bure kabisa kwa hizi comments!!Rais wetu wa Tanzania sasa ni Tundu Lissu. Tunamuhitaji yeye zaidi ya anavyotuhitaji.
Acha kujipa matumani hewa. CCM iko na watu, bongo fleva wanafurahisha tu watu.Hayo ndiyo mawazo ya wanywa gongo wanapo kuwa wanadanganyana huku wakipokezana kilauli cha gongo.
Kubali kataa ccm yenu imeshakataliwa na watanzania, ndiyo maana badala ya kufanya mikutano mnafanya matamasha ya fiesta za bongo movie, bongo fleva na futuhi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ccm imebaki mioyoni mwa tume.... Naona hata polisi angalau wameanza kuondoa kwenye mioyo yaoNakuunga mkono kwa 100%, watanzania wanahitaji mabadiliko na ccm haina nafasi tena mioyoni mwa watanzania.
Sent using Jamii Forums mobile app
Chama cha matamasha ya fiesta [emoji23][emoji23][emoji23]Acha kujipa matumani hewa. CCM iko na watu, bongo fleva wanafurahisha tu watu.
Wewe mwenyewe unajua kabisa huwezi enda kwenye mkutani wa CCM hata kama anaimba Diomond/Alikiba.
Utafika muda watabakia na kina kipara kipya na kina @wakudadavua na jinga laoCcm imebaki mioyoni mwa tume.... Naona hata polisi angalau wameanza kuondoa kwenye mioyo yao
unawazungumzia watanzania wapi hao?au unamaanisha watanzania wanaoishi ghetto kwako ingawa sina uhakika hata hilo ghetto kama unalo?Hayo ndiyo mawazo ya wanywa gongo wanapo kuwa wanadanganyana huku wakipokezana kilauli cha gongo.
Kubali kataa ccm yenu imeshakataliwa na watanzania, ndiyo maana badala ya kufanya mikutano mnafanya matamasha ya fiesta za bongo movie, bongo fleva na futuhi
Sent using Jamii Forums mobile app
Piga makofi kwa kikosi cha maangamizi!Utafika muda watabakia na kina kipara kipya na kina @wakudadavua na jinga lao
Sent using Jamii Forums mobile app
Mnaangamiza ukokoko kwa mama nitiliePiga makofi kwa kikosi cha maangamizi!
Nazungumzia watanzania million zaidi ya 23 ambao wamechoshwa na utawala wa ccm.unawazungumzia watanzania wapi hao?au unamaanisha watanzania wanaoishi ghetto kwako ingawa sina uhakika hata hilo ghetto kama unalo?
Jikite kwenye mada!
Utadaiwa kifurushi cha watu hukitumii kwa matumizi yaliyokusudiwa!
Haya haya ya kukupa za shingo kwangu mimi naona ni matumizi halali kabisa.Utadaiwa kifurushi cha watu hukitumii kwa matumizi yaliyokusudiwa!
Akitoa kauli hadharani na kisha kuandamana na Lissu kwenye kampeni za Lissu itapendeza zaidi.