Uchaguzi 2020 Tundu Lissu amuunga mkono Maalim Seif Urais Zanzibar

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu amuunga mkono Maalim Seif Urais Zanzibar

Bye wapi sasa. Wabunge tu ni Zaidi ya 80%.. JPM anashinda kwa Zaidi ya 80%.
Hayo ndiyo mawazo ya wanywa gongo wanapo kuwa wanadanganyana huku wakipokezana kilauli cha gongo.

Kubali kataa ccm yenu imeshakataliwa na watanzania, ndiyo maana badala ya kufanya mikutano mnafanya matamasha ya fiesta za bongo movie, bongo fleva na futuhi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha uvcc a.k.a jeshi la akiba litaenda Zanzibar soon kulinda mapinduzi ya ccm Zanzibar
 
Wale walikaa vikao vya vyama kuamua kuunga mkono mgombea wa CCM

Hakuna kikao cha Chadema kilikaa kutengua uteuzi wa mgombea uraisi Zanzibar kupitia chadema na kuamua kuwa kinamuunga mkono Maalim Seif

Hatukatai kufunga mkono lakini wanachama maamuzi yao ni muhimu kupitia vikao vya kamati kuu na mkutano mkuu ndicho tunahoji .
Kwa hiyo mmeona wivu? Vipi kama angempigia debe Mwinyi? Mbona hujalalamika mwenyekiti wenu kumnadi Ezekiel Wenje kule Rorya? Chama kilifanya vikao lini vya kumwunga mkono Wenje?
 
Hayo ndiyo mawazo ya wanywa gongo wanapo kuwa wanadanganyana huku wakipokezana kilauli cha gongo.

Kubali kataa ccm yenu imeshakataliwa na watanzania, ndiyo maana badala ya kufanya mikutano mnafanya matamasha ya fiesta za bongo movie, bongo fleva na futuhi

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kujipa matumani hewa. CCM iko na watu, bongo fleva wanafurahisha tu watu.

Wewe mwenyewe unajua kabisa huwezi enda kwenye mkutani wa CCM hata kama anaimba Diomond/Alikiba.
 
Hayo ndiyo mawazo ya wanywa gongo wanapo kuwa wanadanganyana huku wakipokezana kilauli cha gongo.

Kubali kataa ccm yenu imeshakataliwa na watanzania, ndiyo maana badala ya kufanya mikutano mnafanya matamasha ya fiesta za bongo movie, bongo fleva na futuhi

Sent using Jamii Forums mobile app
unawazungumzia watanzania wapi hao?au unamaanisha watanzania wanaoishi ghetto kwako ingawa sina uhakika hata hilo ghetto kama unalo?
 
Piga makofi kwa kikosi cha maangamizi!
Mnaangamiza ukokoko kwa mama nitilie
FB_IMG_1595186692594.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
unawazungumzia watanzania wapi hao?au unamaanisha watanzania wanaoishi ghetto kwako ingawa sina uhakika hata hilo ghetto kama unalo?
Nazungumzia watanzania million zaidi ya 23 ambao wamechoshwa na utawala wa ccm.

Hao watanzania million 23 sasa wameamua kuuchagua upinzani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
😂😂😂😂😂 Kimbunga cha Membe hichoooooo!!



Akitoa kauli hadharani na kisha kuandamana na Lissu kwenye kampeni za Lissu itapendeza zaidi.
 
Back
Top Bottom