Tundu Lissu amvua nguo Lijualikali

Tundu Lissu amvua nguo Lijualikali

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Madai ya kwamba Lijuakali alipata ubunge kwa juhudi zake ni uongo , Chadema ndio iliyompigania hadi akafanikiwa kuwa mbunge , Tundu Lissu anadai kwamba hata mwaka 2013 Lissu alimpigia kampeni lijuakali kuwa diwani wa Ifakara kwa gharama zake

Tundu Lissu anadai kwamba Baba yake mzazi Lijuakali ni shahidi wa namna Lissu alivyomtoa mtoto wake jela baada ya kufungwa kwa uonevu kwa lengo la kuvuliwa ubunge .

Mh Lissu anadai kwamba hela za chama cha siasa ni pesa za umma , na hukaguliwa na CAG na mahesabu yake hupelekwa kwa Msajili wa vyama vya siasa , Kwahiyo Tuhuma za Lijuakali kwamba hela za michango ya wabunge zinaliwa zinapaswa kupuuzwa , bali inafahamika kwamba kila anayeondoka Chadema kwenda CCM A ama kwenda CCM B hutoa tuhuma zilezile za miaka nenda rudi ili kuwaridhisha waliomtuma .
 
Madai ya kwamba Lijuakali alipata ubunge kwa juhudi zake ni uongo , Chadema ndio iliyompigania hadi akafanikiwa kuwa mbunge , Tundu Lissu anadai kwamba hata mwaka 2013 Lissu alimpigia kampeni lijuakali kuwa diwani wa Ifakara kwa gharama zake

Tundu Lissu anadai kwamba Baba yake mzazi Lijuakali ni shahidi wa namna Lissu alivyomtoa mtoto wake jela baada ya kufungwa kwa uonevu kwa lengo la kuvuliwa ubunge .

Mh Lissu anadai kwamba hela za chama cha siasa ni pesa za umma , na hukaguliwa na CAG na mahesabu yake hupelekwa kwa Msajili wa vyama vya siasa , Kwahiyo Tuhuma za Lijuakali kwamba hela za michango ya wabunge zinaliwa zinapaswa kupuuzwa , bali inafahamika kwamba kila anayeondoka Chadema kwenda CCM A ama kwenda CCM B hutoa tuhuma zilezile za miaka nenda rudi ili kuwaridhisha waliomtuma .
Lijualikali limeukata mbuyu kwa shoka moja tu!

Shoka moja mbuyu chini!
 
Kavuliwaje nguo sasa hapo. Cdm mnatumika sana na Mbowe.
FB_IMG_1589397986327.jpg


Angalia picha hii kwa umakini halafu tunga sentensi mbili
 
Kumbe kweli CHADEMA ilimpigania Lijualikali hadi akafanikiwa kuwa mbunge kama alivyosema mwenyewe namba zilichezewa kwenye ujumulishaji kura za wabunge.

Mengine wana CDM kausheni yule kijana anamwaga mboga mwanzo mwisho. Inaitwa ninyime ugali nimwage mboga, au niguse ninuke.

Sema Lijualikali nae kajiharibia sana kwa kufunguka mambo yale.

Huku Silinde, kule Lijualikali na pale Peter Msigwa, jahazi linapigwa mawimbi kila kona.
Huu mwaka wa mateso sana kila upande.

Episode moja baada ya nyingine vyama vyote. Coronavirus kaja kuchochea moto.
Miezi michche iliyopita CDM walikuwa wanashangilia tamthilia ya CCM na jasusi my uncle Bernad.
 
Kumbe kweli CHADEMA ilimpigania Lijualikali hadi akafanikiwa kuwa mbunge kama alivyosema mwenyewe namba zilichezewa kwenye ujumulishaji kura za wabunge.

Mengine wana CDM kausheni yule kijana anamwaga mboga mwanzo mwisho. Inaitwa ninyime ugali nimwage mboga, au niguse ninuke.

Sema Lijualikali nae kajiharibia sana kwa kufunguka mambo yale.

Huku Silinde, kule Lijualikali na pale Peter Msigwa, jahazi linapigwa mawimbi kila kona.
Huu mwaka wa mateso sana kila upande.

Episode moja baada ya nyingine vyama vyote. Coronavirus kaja kuchochea moto.
Miezi michche iliyopita CDM walikuwa wanashangilia tamthilia ya CCM na jasusi my uncle Bernad.
unaandika upuuzi gani wewe ?
 
Madai ya kwamba Lijuakali alipata ubunge kwa juhudi zake ni uongo , Chadema ndio iliyompigania hadi akafanikiwa kuwa mbunge , Tundu Lissu anadai kwamba hata mwaka 2013 Lissu alimpigia kampeni lijuakali kuwa diwani wa Ifakara kwa gharama zake

Tundu Lissu anadai kwamba Baba yake mzazi Lijuakali ni shahidi wa namna Lissu alivyomtoa mtoto wake jela baada ya kufungwa kwa uonevu kwa lengo la kuvuliwa ubunge .

Mh Lissu anadai kwamba hela za chama cha siasa ni pesa za umma , na hukaguliwa na CAG na mahesabu yake hupelekwa kwa Msajili wa vyama vya siasa , Kwahiyo Tuhuma za Lijuakali kwamba hela za michango ya wabunge zinaliwa zinapaswa kupuuzwa , bali inafahamika kwamba kila anayeondoka Chadema kwenda CCM A ama kwenda CCM B hutoa tuhuma zilezile za miaka nenda rudi ili kuwaridhisha waliomtuma .
Mwambieni huyo tapeli arudishe pesa za watu. Kwani chadema ndio waliompigia kula .

Mbowe arudishe billion 8 alizowapiga wabunge

Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
 
Ilikuwa uzinduzi wa barabara ya lami jimboni hai hapo mbowe alimwambia jk hakuna mtu makini ccm kama magufuli akidhania ccm watamuweka lowasa ***** ccm wakamuweka huyohuyo mbowe akapwatwa na kuhara akakimbia kununuliwa na lowasa
View attachment 1455320

Angalia picha hii kwa umakini halafu tunga sentensi mbili

Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
 
unaandika upuuzi gani wewe ?
Mkuu sasa umetuliza hasira baada ya kuona kidogo tu ya kile ninachozungumzia?
Au bado uana hasira uongeze tusi jingine nami nikuongezee ya akina Silinde na Msigwa?

Siyo kwamba siwezi kutukana kama wewe bali najitofautisha nisifanane na wewe uwezo wetu wa fikra na busara.
 
Hii tabia ya "kufukua makaburi", kurusha vijembe, taarabu na kuanza kujibishana na watu walioondoka kwenye vyama sio njema sana na ni dalili ya "umama". Sometimes kupiga kimya ni uungwana na silaha tosha sana.
 
Mkuu sasa umetuliza hasira baada ya kuona kidogo tu ya kile ninachozungumzia?
Au bado uana hasira uongeze tusi jingine nami nikuongezee ya akina Silinde na Msigwa?

Siyo kwamba siwezi kutukana kama wewe bali najitofautisha nisifanane na wewe uwezo wetu wa fikra na busara.
Huna uwezo wa kuweka ligi na mimi
 
Back
Top Bottom