Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Madai ya kwamba Lijuakali alipata ubunge kwa juhudi zake ni uongo , Chadema ndio iliyompigania hadi akafanikiwa kuwa mbunge , Tundu Lissu anadai kwamba hata mwaka 2013 Lissu alimpigia kampeni lijuakali kuwa diwani wa Ifakara kwa gharama zake
Tundu Lissu anadai kwamba Baba yake mzazi Lijuakali ni shahidi wa namna Lissu alivyomtoa mtoto wake jela baada ya kufungwa kwa uonevu kwa lengo la kuvuliwa ubunge .
Mh Lissu anadai kwamba hela za chama cha siasa ni pesa za umma , na hukaguliwa na CAG na mahesabu yake hupelekwa kwa Msajili wa vyama vya siasa , Kwahiyo Tuhuma za Lijuakali kwamba hela za michango ya wabunge zinaliwa zinapaswa kupuuzwa , bali inafahamika kwamba kila anayeondoka Chadema kwenda CCM A ama kwenda CCM B hutoa tuhuma zilezile za miaka nenda rudi ili kuwaridhisha waliomtuma .
Tundu Lissu anadai kwamba Baba yake mzazi Lijuakali ni shahidi wa namna Lissu alivyomtoa mtoto wake jela baada ya kufungwa kwa uonevu kwa lengo la kuvuliwa ubunge .
Mh Lissu anadai kwamba hela za chama cha siasa ni pesa za umma , na hukaguliwa na CAG na mahesabu yake hupelekwa kwa Msajili wa vyama vya siasa , Kwahiyo Tuhuma za Lijuakali kwamba hela za michango ya wabunge zinaliwa zinapaswa kupuuzwa , bali inafahamika kwamba kila anayeondoka Chadema kwenda CCM A ama kwenda CCM B hutoa tuhuma zilezile za miaka nenda rudi ili kuwaridhisha waliomtuma .