Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
Wapi ulipotukanwa ? ni tangu lini jf iliruhusu matusi ?Kweli sina uwezo wa kufanya ligi ya matusi na yeyote wala si wewe tu.
Kama ligi za mambo mengine yenye tija kwa kutumia hoja naweza kufanya na wewe bila shida.